Tanzania ni ya sita kijeshi Afrika

HaHAhahahah , wakenya Wakingia Vita na Tanzania, Kazkazini mwa kenya patakuwa eneo jipya la ISIS na Alshabab. Rwanda will be our new Tertory wasijaribu, Uganda that time tuitwaa Kampala Moja kwa Moja,
 
Huu utafiti ni wa lini? Maana sijui kama Libiya inajeshi kwa sasa na linasifa kuzidi jeshi la Tanzania. Tafiti hii tuijue lengo la kufanywa kwake na walioifadhili.
 
M
[QUOTEone, post: 4458926, member: 75985"]Changanya na zile silaha tulizoingiza juzikati kwanini tusiwe juu? Chezeiya tanganyika weye.[/QUOTE]
Mauzo ya bia ya "ukawa" vipi hapo Arusha?
 
Kwanza uzi wenyewe uko jukwaa la siasa.

Kijana hata ungeweka ya pili au kwanza kabisa poa tu.
 
Kwa sasa libya hakuna jeshi maalum la kitaifa tokea enzi za gadaffi. Majeshi imara zaidi ni pamoja na algeria, angola, nigeria, morocco na kenya.
 
Unauhakika Rwanda haileti maafisa wake kupata mafunzo Tanzania (monduli)?
 
Jeshi la Tz wapigane na Al-shaabab.Kwaio Somali itakuwa ya ngapi na sudani-kaska na kusi zitakuwa ya ngapi?
 
Yaani Afrika kusini, Ethiopia na Libya ziipite Misri!!! Misri ndio namba moja ikifuatiwa na Afrika ya kusini, sisi tuko nyuma ya Ethiopia. Tena hata Ethiopia yenyewe tutakuwa tumeipita.
 
Hii ripoti ni ya ajabu sana falcon mombasa sijui ulipita pande hizi??
Huyu jamaa takwimu katoa wapi sijui[emoji15]
 
kawadanganye DIVISION 5 na hiyo ripoti yako.
 
Du ,Misri yenye mpaka F16 ni ya nne Tanzania ya sita na tule tundege sijui tu-Mig21 -Kafanye utafiti tena!
 
This is a joke, wakati MTU jeshini anaweza kukimbia na laptop yenye siri za jeshi, na wakashindwa kumkamaka. Hapa hakuna kitu.
 
Annael...hizi tetesi umezipata wapi mkuu??! Au wewe ni memba wa jwtz??!

lazima ujipe raha hata kama ungesema ni ya kwanza sawa tu!

ishu nyeti kama hii unaileta chini ya usimamizi wa 'tetesi'????

Na olimpik mlienda kwa tetezi mmerudi na tetesi za medali.

Nimesema jipe raha hata ukisema ni ya kwanza hatutakubishia.

Ndio hivyo.


Jeshi lolote lisilo na vita ni bora hakuna pa kulipima uwezo na silaha zake.Litakapoingia katika vita na kugundua ya kua silaha na vifaa vingi za kivita zimeisha expire hapo ndio tutajua!Milipuko ya mabomu gongo la mboto na mbagala ni mfano.

Tungekuwa mbali zaidi Kama tungekuwa hatuongozwi na mafisadi. Hawa wezi wameviza kasi yetu ya maendeleo.


Katika dunia ya sasa jeshi bora ni lile lenye intelejensia thabiti na siasa zisizo na vigugumizi


kuna mnyarwanda hapo jirani yuko imara sana kijeshi,na ndio maana hapo r.d.c. hapakaliki.basi tu hajaamua kuleta balaa zake tz

Kwa nini hao wanajeshi wasizuie mauaji ya albino hapa tz?

aina maana kua na jeshi bora.alafu wananchi wanalialia tu.ethopian wanaongiza kwa kila nyanja.hawana bahari hawana mbuga wala ges.ila wako poa.cc tungekua wao ingekua vipi

Pasipo kuwa na vifaa vya kisasa na madhubuti hata ungekuwa na wapiganaji hodari vipi huwezi archive kitu katika battlefield firstly vifaa vyetu viko outdated 1960 na 1970s just refurbished piece of equipment so let not cheat one onether

Wenzetu wako katika kuwa na military hardware za 5th generation while we are heavily relied to the mig21 while other country aquare mig35 it's earth and heaven we compered

Wengine wa even stealth fighter jet je twaweza jilinganisha nao

Sina uhakika!! Ndio Wahabeshi wangekuwa wana jipenyeza kilaini tena kwa mamia kisha wana kamatiwa katikati ya nchi?hivi kama wangekuwa ndio alqueda au alshabab inge kuwaje? haya


kupasua tofali na kupiga vijiti mateke mbona ni sarakasi zinazoweza kufanywa pia na Muungano cultural group!


Halijafanikiwa kabisa tunajilinda ss wenyewe wananchi

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app

kawadanganye DIVISION 5 na hiyo ripoti yako.

This is a joke, wakati MTU jeshini anaweza kukimbia na laptop yenye siri za jeshi, na wakashindwa kumkamaka. Hapa hakuna kitu.
Picture this-
1. Waethiopia wanakatiza mipakani mwetu kana kwamba hakuna wakuilinda, jeshi lipo wapi?sipati picha alshabab au Isis wakikatiza. Military intelligence is zero.

2. Mkuu wa majeshi ana escort, Mlinzi analindwa na Mlinzi, hii ni komedi.

3. Jeshi linasadikiwa kumiliki ndege chache na za zamani, miaka ya 1960.

4. Afisa wa jeshi anayeshukiwa kuwa ni shushu wa kagame , anatoroka na laptop yenye taarifa nyeti za kijeshi.

5. Maafisa waandamizi wa jeshi wanakutwa na akaunti za fedha nje ya nchi zenye matrilioni ya shilingi.

6. Mabomu yanalipuka katika maeneo ya gongo la mboto na mbagala, mabomu hayo yanasadikiwa ku-expire.



Itaendelea....
 
mpka lini
 
Mtoa maada kasema kwenye sijui uzalendo, mipango na mfumo. Hajaongelea uwezo kipesa, silaha wala idadi ya wanajeshi. So inaweza kuwa kweli.
Lakini tujiongelea kiteknolojia, silaha, idadi ya wanajeshi na uwezo wa kipesa tupo nje ya 20 bora. Vikosi kama vya Misri, Libya, SA, Sudan, Uganda, Rwanda, Kenya, Uganda, Nigeria, Tunisia nk. Wametuacha mbali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…