Tanzania now catches up with Kenya in infrastructure projects

Majirani kubalini ukweli tu kuwa TZ imeshawazidi ktk projects huo ndio ukweli wenyewe japo ni mchungu.

Hio report imetolewa na one of the most reputable and internationally recognised consulting firm, Deloitte

I don't think Deloitte wana beef na GoK au wamelipwa na GoT ili waonyeshe kuwa hivi sasa mmezidiwa na TZ.

Kubalini yaishe tuanze new thread, life goes on🙂
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha, hapo ndio mtajua kwamba Tanzanworki baba lao ktk ukanda huu. Hamuamini kinachotokea, Bullet train bila mkopo wakati "Old diesel train" mumeshindwa kujenga hata kilometa moja, Failed state at Work
Pole bro, Najua inauma lakini itabidi uzoee
 
Hahahaha, hapo ndio mtajua kwamba Tanzanworki baba lao ktk ukanda huu. Hamuamini kinachotokea, Bullet train bila mkopo wakati "Old diesel train" mumeshindwa kujenga hata kilometa moja, Failed state at Work
First phase is $1.2b loan from Turkey, second phase is $1.4b loan from Standard Chartered Bank. Bado sijaongeza zingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamepanic hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo $60B wewe huoni $30B ni ile white elephant gas project ambayo ilikufa kifo cha mende? Sisi sio wajinga. Halafu kama $160B ni typing error na ulikusudia kuandika $160M basi vipi ulipata jumla ya 8.3 M?
 
Yaani unadhani sisi ni wajinga tukubali eti Bagamoyo bado inaendelea kujengwa au unataka tuamini eti ile white elephant gas project bado inajengwa? Nanii, usidhani unaongea na watoto wadogo humu.
 
3.BRT $160B....... BILLION US$......bilions? which equals to tsh360+ trilions! JPM is a magician aisee
 
Itabidii udanganye watanzania wenzako lakini sio mimi. Your SGR is full loan.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ndio inadhihirisha ni jinsi gani mlivyokata tamaa ya kupambana na Tanzania, ukishindana na mtu kwa utajiri, mwenye kushindwa huanza kutumie misemo ya kujiliwaza kama hiyo "Hizo pesa sio zake". Kenya mlipogundua kwamba mnategemea Tanzania kwa chakula mkaanza kutoa sababu za Kijinga "Nchi yetu ni jangwa". hamtaki kutaja uzembe wenu wa kushindwa kutimiza mradi wa Galana Kulalu. Sasa baada ya kushindwa ktk SGR, mnajiliwaza kwamba hatuwezi kujenga bila mkopo kama ninyi. Kenya donnot have muscles to flight Tanzania.
Tanzania projects $60B
Kenya projects $36B
Aibuuuu
 
Let me tell the value of your projects.
$60b - $30b LPG - $4.5b pipeline -$10b Bagamoyo = $15.5b
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo $60B wewe huoni $30B ni ile white elephant gas project ambayo ilikufa kifo cha mende? Sisi sio wajinga. Halafu kama $160B ni typing error na ulikusudia kuandika $160M basi vipi ulipata jumla ya 8.3 M?
Delloite ni kampuni kubwa la kidunia linajua zaidi kuliko sisi wote hapa. Achana na hayo makosa yangu ya kimaandishi na kihesabu jikite zaidi katika hii report ya Delloite. Hahahaha. Mnaanza kuwakosoa hata Delloite kwasababu ya kuwaambia ukweli?.
 
Hata upige nduru na uruke juu ukweli utabaki kuwa your SGR is full loan. Can you remember how world Bank and IMF exposed you about your economy growth when you used to cheat us here that you are growing at 7% ? That's the same way we are going to expose you.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Let me tell the value of your projects.
$60b - $30b LPG - $4.5b pipeline -$10b Bagamoyo = $15.5b

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hayo mtajuana na Delloite, ila sisi tunajua kwamba
1)Tanzania $60B
2)Kenya $36B
Hadi hapo tutakapopata taarifa tofauti na hii toka katika "Credible soureces" , ila kwasasa Tanzania baba lao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…