Tanzania now catches up with Kenya in infrastructure projects

Tanzania now catches up with Kenya in infrastructure projects

Majirani kubalini ukweli tu kuwa TZ imeshawazidi ktk projects huo ndio ukweli wenyewe japo ni mchungu.

Hio report imetolewa na one of the most reputable and internationally recognised consulting firm, Deloitte

I don't think Deloitte wana beef na GoK au wamelipwa na GoT ili waonyeshe kuwa hivi sasa mmezidiwa na TZ.

Kubalini yaishe tuanze new thread, life goes on🙂
View attachment 1348707
The Africa Construction Trends Report (2019) by Consultancy firm Deloitte released in January, shows that both Kenya and Tanzania recorded g 51 projects in 2019. Tanzania’s total share of projects by value is 41.2% (US$60.3bn), making it the largest contributor
towards East Africa’s total project value.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha, hapo ndio mtajua kwamba Tanzanworki baba lao ktk ukanda huu. Hamuamini kinachotokea, Bullet train bila mkopo wakati "Old diesel train" mumeshindwa kujenga hata kilometa moja, Failed state at Work
Pole bro, Najua inauma lakini itabidi uzoee
 
Hahahaha, hapo ndio mtajua kwamba Tanzanworki baba lao ktk ukanda huu. Hamuamini kinachotokea, Bullet train bila mkopo wakati "Old diesel train" mumeshindwa kujenga hata kilometa moja, Failed state at Work
First phase is $1.2b loan from Turkey, second phase is $1.4b loan from Standard Chartered Bank. Bado sijaongeza zingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zungumzia total projects za Tanzania kufikia zaidi ya $60B sawa na zaidi ya 40% ya projects zote za East Africa, Wakati Kenya ni $36B, sawa na 29% ya projects zote za East Africa, msijaribu kukimbia huu uzi kwa kuleta mada tofauti ili kuficha hii aibu. Tanzania ni baba lao.
Wamepanic hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua maana ya typing error?, au kutokana na akili zenu fupi zinazowafanya hata chakula mnashindwa kujilisha mnadhani mtaweza kushindana na akili kubwa?.
Rudi katika mada kuu, Tanzania projects zinathamani ya $60B, Kenya $36B, bado mnapata wapi nguvu za kujiita uchumi wa kati wakati hata chakula mnategemea misaada?, Kweli ninyi ni failed State
Kwa hiyo $60B wewe huoni $30B ni ile white elephant gas project ambayo ilikufa kifo cha mende? Sisi sio wajinga. Halafu kama $160B ni typing error na ulikusudia kuandika $160M basi vipi ulipata jumla ya 8.3 M?
 
Majirani kubalini ukweli tu kuwa TZ imeshawazidi ktk projects huo ndio ukweli wenyewe japo ni mchungu.

Hio report imetolewa na one of the most reputable and internationally recognised consulting firm, Deloitte

I don't think Deloitte wana beef na GoK au wamelipwa na GoT ili waonyeshe kuwa hivi sasa mmezidiwa na TZ.

Kubalini yaishe tuanze new thread, life goes on🙂

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani unadhani sisi ni wajinga tukubali eti Bagamoyo bado inaendelea kujengwa au unataka tuamini eti ile white elephant gas project bado inajengwa? Nanii, usidhani unaongea na watoto wadogo humu.
 
1)Hydroelectric dam $3B
2)SGR $3.2B
3)BRT $160B
4)Salender bridge $360M
5)Ujenzi wa Meli na Chelezo $150M
6)Daraja la Busisi $400M
7)Ndege za ATCL $670M
8)Ujenzi wa rada 4 za kuongoza ndege $70M
9)Ubungo interchange $90M
10)Ukarabati wa Airpits 10 $275M
11)Dar-Kibaha Supper high $60M
Total =$8.3M

Leteni projects zenu U/C jumla zinazozidi $2B. Kumbuka kwamba SGR yenu haipo U/C kwasasa, ujenzi umesimama hakuna pesa kwa wakati huu.
3.BRT $160B....... BILLION US$......bilions? which equals to tsh360+ trilions! JPM is a magician aisee
 
Itabidii udanganye watanzania wenzako lakini sio mimi. Your SGR is full loan.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ndio inadhihirisha ni jinsi gani mlivyokata tamaa ya kupambana na Tanzania, ukishindana na mtu kwa utajiri, mwenye kushindwa huanza kutumie misemo ya kujiliwaza kama hiyo "Hizo pesa sio zake". Kenya mlipogundua kwamba mnategemea Tanzania kwa chakula mkaanza kutoa sababu za Kijinga "Nchi yetu ni jangwa". hamtaki kutaja uzembe wenu wa kushindwa kutimiza mradi wa Galana Kulalu. Sasa baada ya kushindwa ktk SGR, mnajiliwaza kwamba hatuwezi kujenga bila mkopo kama ninyi. Kenya donnot have muscles to flight Tanzania.
Tanzania projects $60B
Kenya projects $36B
Aibuuuu
 
Let me tell the value of your projects.
$60b - $30b LPG - $4.5b pipeline -$10b Bagamoyo = $15.5b
Hiyo ndio inadhihirisha ni jinsi gani mlivyokata tamaa ya kupambana na Tanzania, ukishindana na mtu kwa utajiri, mwenye kushindwa huanza kutumie misemo ya kujiliwaza kama hiyo "Hizo pesa sio zake". Kenya mlipogundua kwamba mnategemea Tanzania kwa chakula mkaanza kutoa sababu za Kijinga "Nchi yetu ni jangwa". hamtaki kutaja uzembe wenu wa kushindwa kutimiza mradi wa Galana Kulalu. Sasa baada ya kushindwa ktk SGR, mnajiliwaza kwamba hatuwezi kujenga bila mkopo kama ninyi. Kenya donnot have muscles to flight Tanzania.
Tanzania projects $60B
Kenya projects $36B
Aibuuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo $60B wewe huoni $30B ni ile white elephant gas project ambayo ilikufa kifo cha mende? Sisi sio wajinga. Halafu kama $160B ni typing error na ulikusudia kuandika $160M basi vipi ulipata jumla ya 8.3 M?
Delloite ni kampuni kubwa la kidunia linajua zaidi kuliko sisi wote hapa. Achana na hayo makosa yangu ya kimaandishi na kihesabu jikite zaidi katika hii report ya Delloite. Hahahaha. Mnaanza kuwakosoa hata Delloite kwasababu ya kuwaambia ukweli?.
 
Hiyo ndio inadhihirisha ni jinsi gani mlivyokata tamaa ya kupambana na Tanzania, ukishindana na mtu kwa utajiri, mwenye kushindwa huanza kutumie misemo ya kujiliwaza kama hiyo "Hizo pesa sio zake". Kenya mlipogundua kwamba mnategemea Tanzania kwa chakula mkaanza kutoa sababu za Kijinga "Nchi yetu ni jangwa". hamtaki kutaja uzembe wenu wa kushindwa kutimiza mradi wa Galana Kulalu. Sasa baada ya kushindwa ktk SGR, mnajiliwaza kwamba hatuwezi kujenga bila mkopo kama ninyi. Kenya donnot have muscles to flight Tanzania.
Tanzania projects $60B
Kenya projects $36B
Aibuuuu
Hata upige nduru na uruke juu ukweli utabaki kuwa your SGR is full loan. Can you remember how world Bank and IMF exposed you about your economy growth when you used to cheat us here that you are growing at 7% ? That's the same way we are going to expose you.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Let me tell the value of your projects.
$60b - $30b LPG - $4.5b pipeline -$10b Bagamoyo = $15.5b

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hayo mtajuana na Delloite, ila sisi tunajua kwamba
1)Tanzania $60B
2)Kenya $36B
Hadi hapo tutakapopata taarifa tofauti na hii toka katika "Credible soureces" , ila kwasasa Tanzania baba lao.
 
Back
Top Bottom