Tanzania one ametoka shule gani

Tanzania one ametoka shule gani

Seminarini enzi zetu tulikuwaga hatunaga devision vi lakini sasa tunazo nimeona seminari nyingi tulizokuwa tunashindana nazo enzi zile zote zina vi.... hali ni mbaya aisee na devision one average wameanzia point 13 wakati tulikuwaga tunapiga 7,8 kazaa na tisa kibao enzi zetu Uru seminary. Sasa sijui nini kimetokea yani wamebolonga mpaka basi yani unaangalia matokeo kuna A moja tuu kati ya watoto 40 na masomo saba....... Sasa walimu na watoto walikuwa wanafanya nini miaka yote minne hiyo. Sijawahi ona katika kipindi changu cha maisha, au ni utandawazi wa facebooking na googling unatumaliza?

ni dvision vi au iv?
 
ivi aya matokeo ni ya kwel? mbona shule maaruf sana zimefeli? alafu kuhusu kuchaguliwa itakuaje? shule nyingi sizitabaki bila wanafunzi! kwa hiyo wasichana walioelimika kizazi hichi wamepungua! mimi naona necta iludie tena kusahisha iweke kauluma bac
 
haipo mwaka huu, na mh. Waziri amesema imekuwa ngumu mwaka huu kupanga wanafunzi 10 bora eti kwa kuwa wanafunzi wamekaribiana sana, hata hyo list ya best 10 students haijatolewa ni watu ndo wanajitahidi kutafuta kujua kulingana na matokeo yenyewe
 
kwa mara ya kwanza TZ hakuna one ya .7 wala .8 ni .9 tena hazfiki hata nne nafkiri
 
Faida za elimu kwa wote ndo hizo
waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi, dk. Shukuru kawambwa (mb) leo ametangaza rasmi matokeo ya mitihani ya kidato cha nne, maarifa na qt.

Jumla ya watahiniwa waliofaulu kwa mujibu wa matokeo hayo ni 23520 kuanzia daraja la i hadi la iv huku katika mchakato huo wasichana waliofaulu katika mchakato huo ni 7178 na wavulana ni 16342.aidha waziri kawambwa amesema kuwa waliofaulu kwa daraja la kwanza ni 1641, daraja la pili ni 6495 na daraja la tatu ni 15426 na walio feli ni 24903.

Shule bora ni pamoja na st. Francis girl ya mbeya, marian boys ya bagamoyo, feza boys dar es salaam, marian girls bagamoyo na simini,hizo ndizo zilizopo kwenye tano bora huku shule nyingine ni kanosa, jude, st. Mary. Source ni michuzi
 
Seminarini enzi zetu tulikuwaga hatunaga devision vi lakini sasa tunazo nimeona seminari nyingi tulizokuwa tunashindana nazo enzi zile zote zina vi.... hali ni mbaya aisee na devision one average wameanzia point 13 wakati tulikuwaga tunapiga 7,8 kazaa na tisa kibao enzi zetu Uru seminary. Sasa sijui nini kimetokea yani wamebolonga mpaka basi yani unaangalia matokeo kuna A moja tuu kati ya watoto 40 na masomo saba....... Sasa walimu na watoto walikuwa wanafanya nini miaka yote minne hiyo. Sijawahi ona katika kipindi changu cha maisha, au ni utandawazi wa facebooking na googling unatumaliza?

devision vi unamaanisha nini? au ulitaka kumaanisha division iv!!
 
hii balaa! kwa nini? ja.ka.ya ki.kwe.te asitangaze hali ya hatari kwa elimu ya tanzania! au aombe msaada (kwa hisani ya watu wa marekani)! sio anatuleta plastic machandarua tu.
 
Mwaka huu hakuna single ya 7 wala ya 8, vijana wameanzia one ya 9, feza boys 2, na Don Bosco seminary 1. Hadi sasa nimeziona hizo. Maajabu St. Francis Mbeya wamepata one 65, wakwanza kwao kaanza na one ya 11:
 
Mwaka huu hakuna single ya 7 wala ya 8, vijana wameanzia one ya 9, feza boys 2, na Don Bosco seminary 1. Hadi sasa nimeziona hizo. Maajabu St. Francis Mbeya wamepata one 65, wakwanza kwao kaanza na one ya 11:

Yeleuwiiiiiiii.....
 
Daaah ningemaliza mwaka huu na ile one yangu ya nane ningeitwa T.O leo. But ndio hivyo tena. Miaka yetu ukipata one ya Tisa unaonekana wa kawaida sana. Hapo unakutana na watu kama Kumi wamepiga za 7.
 
Seminarini enzi zetu tulikuwaga hatunaga devision vi lakini sasa tunazo nimeona seminari nyingi tulizokuwa tunashindana nazo enzi zile zote zina vi.... hali ni mbaya aisee na devision one average wameanzia point 13 wakati tulikuwaga tunapiga 7,8 kazaa na tisa kibao enzi zetu Uru seminary. Sasa sijui nini kimetokea yani wamebolonga mpaka basi yani unaangalia matokeo kuna A moja tuu kati ya watoto 40 na masomo saba....... Sasa walimu na watoto walikuwa wanafanya nini miaka yote minne hiyo. Sijawahi ona katika kipindi changu cha maisha, au ni utandawazi wa facebooking na googling unatumaliza?
Kwa hizo RED i doubt kama kweli ulisoma seminary, au kama kweli umeenda shule
 
haipo mwaka huu, na mh. Waziri amesema imekuwa ngumu mwaka huu kupanga wanafunzi 10 bora eti kwa kuwa wanafunzi wamekaribiana sana, hata hyo list ya best 10 students haijatolewa ni watu ndo wanajitahidi kutafuta kujua kulingana na matokeo yenyewe
10 bora wote wametoka st. Francis na Marian's so wanaoba noma kuwaweka hadharani coz hakuna wa shule za serikalini. Nyie hamuoni mwaka huu wamekuja na 20 bora badala ya 10 bora kama ilivyozoekeka, ili kupata nafasi ya kuziingiza kibaha na mzumbe?
 
Mwaka huu hakuna single ya 7 wala ya 8, vijana wameanzia one ya 9, feza boys 2, na Don Bosco seminary 1. Hadi sasa nimeziona hizo. Maajabu St. Francis Mbeya wamepata one 65, wakwanza kwao kaanza na one ya 11:
Kawambwa kafanya makusudi ku standardize matokeo ya shule za seminary ili kuleta uwiano kitaifa. We unadhani ingekuaje wa seminary wana 1.7 kama 10 shule moja aghali shule zao za serikalini wameanza na div 2?
 
Back
Top Bottom