Tanzania one million-tonne maize surplus boosts Nairobi supply

Tanzania one million-tonne maize surplus boosts Nairobi supply

haha buda boot imefunguliwa hadi unahara...we have a 40 billion Usd superior economy ata wacha mahindi tunaeza nunua tanzania yote na tuwahamishe muende DRC
Mkeo ameingiza ngapi leo? Nasikia jioni jioni huwa ni fifty fifty shot moja..Unahakika leo utaonja ugali tamu ya Tanzania? Bora ukauze haga angalau za sukuma, mke ataleta za sembe
 
mi nikajua mshalima yenu kumbe ya Mexico. nguo ya kuazima haistiri makalio poor Kenyan. yaani misri kuna jangwa lakini wanazalisha chakula kingi kuliko nyinyi

Mkuu kumbe Egypt wanazalisha chakula kingi kuliko hawa wakina Mwalla, chakula kipi hasa?
 
Mkeo ameingiza ngapi leo? Nasikia jioni jioni huwa ni fifty fifty shot moja..Unahakika leo utaonja ugali tamu ya Tanzania? Bora ukauze haga angalau za sukuma, mke ataleta za sembe
fala kabisa ugali mtamu tena na ulisema ni grade 3..confused Gay
 
Advice Tanzania first dont advice kenya .your economy is expected to grow at 4% ..pole sana..
Loan hauwezi pewa kama hauwezi lipa..debtors are 100% sure that kenya has the capacity to repay.
You need to go to the streets, Kenya is falling apart, hakuna nchi hapo ni sawa na "Life in the jungle".
 
You need to go to the streets, Kenya is falling apart, hakuna nchi hapo ni sawa na "Life in the jungle".
Kenya ambayo inafail ni bora zaidi kushinda T.Z ambayo inafaulu. Mbona tumetinga $100 billion juzi na huu uchumi wetu failed-state na nyie uchumi wenu ambao sio failed-state bado mumebaki kwa $58 billion.
 
Kenya ambayo inafail ni bora zaidi kushinda T.Z ambayo inafaulu. Mbona tumetinga $100 billion juzi na huu uchumi wetu failed-state na nyie uchumi wenu ambao sio failed-state bado mumebaki kwa $58 billion.
Hahahahaha, kichaa peke yake ndio ataamini hiyo $100B. Vipi kuhusu 30% overvalue of your currency?.
1)With $100B, vipi mshindwe kulipa madeni, matokeo yake mnakopa ili kulipa madeni ya nyuma?
2)With $100B, vipi mumeshindwa kuifikisha reli Kisumu baada ya mchina kukataa kutoa pesa?
3)With $100B, vipi mumeshindwa kumalizia mradi wa Galana kulalu, matokeo yake mbadhalilika kusaidiwa chakula toka China na Uarabuni?
4)With $100B, vipi hata kukarabati reli ya RVR mnalazimika kukopa?
5)With $100B, vipi mlilazimika kusimamisha ujenzi wa Greenfield kwa kukosa $600M.
Hahahahaha, zaidi ya $100B ya kwenye makaratasi kujitafutia SIFA, onyesha hiyo pesa inachofanya.
 
Kenyatta alisema,hizo ni too small things.naona Kenyatta,anafaa kuliko magufuli
 
Kenya ambayo inafail ni bora zaidi kushinda T.Z ambayo inafaulu. Mbona tumetinga $100 billion juzi na huu uchumi wetu failed-state na nyie uchumi wenu ambao sio failed-state bado mumebaki kwa $58 billion.

Tony254 utakumbuka kuna siku nilikuambia Macharia hapaswi kuendesha hiyo wizara?
 
Hahaha hahhaahahhaahaha..... Yani hadi Sai mkunduu inakuwasha Sana.. Kula paracetamol iitulize kiasi... 3 some ya icho na kadoda kwa haga yako ilikuumiza...
Hahaha naona mk*ndu umekuwa telezi, una uhakika leo utapata za sukuma wiki? Round zingine kama kumi bado,ugali ya grade 3 sioni ukilamba leo
 
Kwani shida ya ppp ni gani?
Tony254, ina maana discussion nzima hii hujaelewa wanacholalamikia wakenya wenzako?, uzuri ni kwamba wote wamekubaliana wanazungumza na kulalamikia shida ya nchi yenu.

Siamini kwamba wote hawa ni kabila moja, au wametoka sehemu moja, au ni chama kimoja cha siasa, mambo ambayo yanawafanya kuwa "biased" sana wakati mnapozungumza kuhusu changamoto za nchi yenu.

Ni Mara chache sana kuwaona wakenya kutoka makabila tofauti na vyama tofauti kuungana na kuzungumza lugha moja, hasa katika kuikosoa Serikali, ukiona jambo kama hili linaanza kutokea, jua wazi kunakaribia kupambazuka.

Msikilize mzungumzaji wa kwanza, mzungumzaji wa tatu(Mwanamke), na huyo wa mwisho kwa umakini sana, kamwe hawalaumu PPP, ninakushangaa ukitaka kukwepesha na kuharibu maudhui mazima ya huu mjadala na kukimbilia "None issue" ya PPP.
 
Tony254, ina maana discussion nzima hii hujaelewa wanacholalamikia wakenya wenzako?, uzuri ni kwamba wote wamekubaliana wanazungumza na kulalamikia shida ya nchi yenu.

Siamini kwamba wote hawa ni kabila moja, au wametoka sehemu moja, au ni chama kimoja cha siasa, mambo ambayo yanawafanya kuwa "biased" sana wakati mnapozungumza kuhusu changamoto za nchi yenu.

Ni Mara chache sana kuwaona wakenya kutoka makabila tofauti na vyama tofauti kuungana na kuzungumza lugha moja, hasa katika kuikosoa Serikali, ukiona jambo kama hili linaanza kutokea, jua wazi kunakaribia kupambazuka.

Msikilize mzungumzaji wa kwanza, mzungumzaji wa tatu(Mwanamke), na huyo wa mwisho kwa umakini sana, kamwe hawalaumu PPP, ninakushangaa ukitaka kukwepesha na kuharibu maudhui mazima ya huu mjadala na kukimbilia "None issue" ya PPP.
tupia mahojiano kwenye tv kuhusu ripoti ya CAG na madudu ya serikali...bwahahaaa...naona umeanza kujua km wakenya sio mapimbi km nynyi ..swala likienda lazima litaongelewa tu...hatujali ni raisi kafanya au....

sakata la korosho tu mmeshindwa kulijadili...mtajadili nn nyinyi kuhusu nchi yenu...au mnaliogopa lile jiwe..

bwahahahaaa...ukilita majadiliano kuhusu ripoti ya CAG na log off jf
 
Back
Top Bottom