Tanzania opens the largest and most advanced general hospital in East Africa

Tanzania opens the largest and most advanced general hospital in East Africa

Wewe ni kichaa sana, ulikuwa unasisitiza facts nionyeshe ni vipi Tanzania inaizidi Kenya, sikupenda kukupa kwa sababu ninafahamu uwezo wako wa akili ni mdogo sana, ila nikasema ngoja nikupe fact moja, ukiweza kuonyesha kwamba hiyo mashine hata ninyi mnayo katika Hospitali za umma, niweze kuendelea kukuletea facts zaidi, sasa kama hiyo hamna, nikileta more complicated machine, si utakimbia?, hampo katika level yetu ninyi.
Huku kenya hakuna tofauti za hospitali , NHIF ni kwa kila mtu, unachagua ho
 
I wonder how the services are going to be, cause Tz with customer service is like night and day
 
Huku kenya hakuna tofauti za hospitali , NHIF ni kwa kila mtu, unachagua ho
Hata huku ni hivyo hivyo, tunacholinganisha ni ufanisi wa serikali wa hizi nchi mbili, huwezi kulinganisha huduma za Mater Hospital na KNH, au huwezi kupambanisha Gormahia na Harambe stars.

Huduma za Goverment Hospitals zinabidi ziwe cheap lakini ziwe quality, na ziweze kuwahudumia watu wengi, hapo ndipo tunapowazidi sana, Hospitali zetu ni cheap sana, na kama hii ya cancer, au hii ya upasuaji wa moyo, karibu wagonjwa wengi wanatibiwa bure, serikali inatafuta pesa kuwalipia watu wasio na bima ya afya. Huko kwenu ubepari unatengeneza matabaka ya watu
 
Hata huku ni hivyo hivyo, tunacholinganisha ni ufanisi wa serikali wa hizi nchi mbili, huwezi kulinganisha huduma za Mater Hospital na KNH, au huwezi kupambanisha Gormahia na Harambe stars.

Huduma za Goverment Hospitals zinabidi ziwe cheap lakini ziwe quality, na ziweze kuwahudumia watu wengi, hapo ndipo tunapowazidi sana, Hospitali zetu ni cheap sana, na kama hii ya cancer, au hii ya upasuaji wa moyo, karibu wagonjwa wengi wanatibiwa bure, serikali inatafuta pesa kuwalipia watu wasio na bima ya afya. Huko kwenu ubepari unatengeneza matabaka ya watu
Haujaelewa unasema nini, au namaanisha nini, huku kwetu nhif imeongezwa hadi surgery, dialysis, radiotherapy, ukichagua KNH au agha khan au Mater hospital hio ni hiari yako mtu mwenye nhif anaruhusiwa kuchagua hospitali yoyote for inpatient services hata owe brain au heart surgery nhif italipia
Ndio Maana nimesema huku hakuna tofauti ya public au private kwasababu both are accessible to everyone depending on their preference

wp_ss_20171128_0003.png
wp_ss_20171128_0004.png
 
What about the fact that Kenya has bigger GDP but unemployment is 48%' While that of Tanzania is 26%, Kenya population below poverty line is 43%, while Tanzania is 22%, how can it be explained?
Leo ni Inauguration ya Mzito Uhuru Kenyatta na iko Live on Tv fuatilia kwa umakini.
 
Haujaelewa unasema nini, au namaanisha nini, huku kwetu nhif imeongezwa hadi surgery, dialysis, radiotherapy, ukichagua KNH au agha khan au Mater hospital hio ni hiari yako mtu mwenye nhif anaruhusiwa kuchagua hospitali yoyote for inpatient services hata owe brain au heart surgery nhif italipia
Ndio Maana nimesema huku hakuna tofauti ya public au private kwasababu both are accessible to everyone depending on their preference

View attachment 639529 View attachment 639530
Huwa mara nyingi ninauliza kuhusu uwezo wako wa kuelewa mambo, mwanzoni nilidhani kwamba ulikua kidogo upo vizuri ukilinganisha na wakenya wengine, lakini kadri siku zinavyozidi kwenda, ndiyo ninagundua kwamba ni huna tofauti na wakenya wengine.

Tatizo ni kwamba ninyi wakenya hamfikirii nje ya box, unadhani kinachofanyika Kenya ni unique, mfano mzuri ni jinsi mlivyoshangilia pale mlipofanya operation ya kutenganisha wale mapacha, wengi walisema hii ni operation ya kwanza in east and central africa, sisi tulikua tunacheka sana, Tanzania kuanzia 1994 tulianza kuzifanya hizo operations, wala hujasikia kelele kama ninyi washamba.

Turudi kwenye hili la bima ya afya, katika jibu langu nilianza kwa kusema"hata huku ni hivyo hivyo ", nikimaanisha kuhusu bima ya afya, ukiwa na NHIF unaweza kwenda kutibiwa Hospital yoyote ile, wewe uwa unakuja Tanzania, kwanini usijielimishe juu ya mambo haya?. Je ni asilimia ngapi ya wakenya wenye bima ya afya, na wale wasiokuwa na bima.za afya wanatibiwa wapi?, hapo ndiyo tunapowazidi, kwa sababu bado sehemu kubwa ya wananchi hawajajiunga katika mpango wa NHIF, serikali inapaswa kuhakikisha public hospitals zina ubora wa hali ya juu ili kuhakikisha wananchi hao wanafaidika, huko kwenu ni "man eat man society", masikini hana thamani.
 
Huwa mara nyingi ninauliza kuhusu uwezo wako wa kuelewa mambo, mwanzoni nilidhani kwamba ulikua kidogo upo vizuri ukilinganisha na wakenya wengine, lakini kadri siku zinavyozidi kwenda, ndiyo ninagundua kwamba ni huna tofauti na wakenya wengine.

Tatizo ni kwamba ninyi wakenya hamfikirii nje ya box, unadhani kinachofanyika Kenya ni unique, mfano mzuri ni jinsi mlivyoshangilia pale mlipofanya operation ya kutenganisha wale mapacha, wengi walisema hii ni operation ya kwanza in east and central africa, sisi tulikua tunacheka sana, Tanzania kuanzia 1994 tulianza kuzifanya hizo operations, wala hujasikia kelele kama ninyi washamba.

Turudi kwenye hili la bima ya afya, katika jibu langu nilianza kwa kusema"hata huku ni hivyo hivyo ", nikimaanisha kuhusu bima ya afya, ukiwa na NHIF unaweza kwenda kutibiwa Hospital yoyote ile, wewe uwa unakuja Tanzania, kwanini usijielimishe juu ya mambo haya?. Je ni asilimia ngapi ya wakenya wenye bima ya afya, na wale wasiokuwa na bima.za afya wanatibiwa wapi?, hapo ndiyo tunapowazidi, kwa sababu bado sehemu kubwa ya wananchi hawajajiunga katika mpango wa NHIF, serikali inapaswa kuhakikisha public hospitals zina ubora wa hali ya juu ili kuhakikisha wananchi hao wanafaidika, huko kwenu ni "man eat man society", masikini hana thamani.
tatizo ni kwamba unatafuta escape route lakini hauwipati, kila unapokimbilia unabamwa, nimeshakuonyesha KNH pekee imefanya separation tank kama hizo but this was the first of its kind in sub sahara
 
Onyesha cathlab katika public hospital, acha maneno mengi
Huyooo escape route! Ha! Najua hapo ulipo unapiga dua cathlab isipatikane..

FYI nhif imefikisha 27million kenyans, by 2020 tutakua universal health coverage, kila mtu ako na card.
As for now Mater hospital ndo inaongoza kwa kutoa surgery kwa nhif .

So infact Mater is more acceble to the common man than even KNH


wp_ss_20171128_0005.png
 
Huyooo escape route! Ha! Najua hapo ulipo unapiga dua cathlab isipatikane..

FYI nhif imefikisha 27million kenyans
Ulitaka facts kuonyesha ubora wa Tanzania Hospitals, ninaomba cathlab please, ili niendelee kuonyesha jinsi tulivyowapita kwa mbali, fanya haraka, kama umeshindwa kubali ili tusonge mbele
 
Tatizo hizi Hosp zetu zinashindwa kujitangaza kimataifa walitakiwa kuwa open zaidi kutoa takwimu mbalimbali kama za watu mashuhuri watakao tibiwa ,idadi ya wageni kutoka nchi mbalimbali nk nadhani kuna mapungufu kwenye elimu ya uongozi hapa Tanzania Kwa ujumla mambo mazuri hadi mzungu aje kuyatangaza na kuyafanyia uchambuzi

Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
Wajitangaze ili iweje wakati hawana uwezo wa kuwahudumia watanzania walio wengi
 
Huyooo escape route! Ha! Najua hapo ulipo unapiga dua cathlab isipatikane..

FYI nhif imefikisha 27million kenyans, by 2020 tutakua universal health coverage, kila mtu ako na card.
As for now Mater hospital ndo inaongoza kwa kutoa surgery kwa nhif .

So infact Mater is more acceble to the common man than even KNH


View attachment 639605
Ninyi wakenya kwa uongo na sifa za kijinga mnaongoza Africa, ulisema NHIF inaruhusu mtu kutibiwa hospital yoyote kwa hiyo huduma katika private Hospital ni equally accessible sawa na public, acha uongo wewe, ni baadhi tu ya private Hospital huko Kenya zilizopo katika mpango wa NHIF, na kwenye upasuaji wa moyo, NHIF inalipia Ksh.500,000 pekee, zaidi ya hapo mgonjwa anajilipia, ninyi hamuwezi kutufikia kwa lolote lie katika huduma za afya, na hamtokaa mtufikie kamwe.
[VIDEO] Relief for heart patients as NHIF cardiac programme cuts waiting time
 
Coward like his fellow friend Raila Amollo.
While Uhuru Kenyatta is spending $38M today for unnecessary celebration, Magufuli is busy rooting out corruption and looting at Dar port, they are like daylight and darkness, they never match in any way.
 
While Uhuru Kenyatta is spending $38M today for unnecessary celebration, Magufuli is busy rooting out corruption and looting at Dar port, they are like daylight and darkness, they never match in any way.
You've changed tune in a matter of hours, weren't you yapping a few hours ago ******** was coming to Kenya for inauguration. Where is your famous coward of Tanganyika President amongst other East African Heads of State?
 
Back
Top Bottom