Tanzania overtake kenya in real estate for $3 billion to overtake kenya in 2021in gpd

Tanzania overtake kenya in real estate for $3 billion to overtake kenya in 2021in gpd

Kenya inafanya elections 2017-2020 kila siku Kampeni za Kisiasa tu na maandamano, sasa hivi wanataka kuanza tena Katiba nyingine wkt hii iliyopo wala hawajaitunia, tutawakuta hawa morons muda siyo mrefu!
Baba, sema taratibu usimuuzi shemeji, utanyimwa shuka ya kulalia usiku, shari zako. [emoji23]
 
Dah! Nilijua hizi taharuki zote za kisiasa mtakua sasa mumetushinda, kumbe bado mnaongea kuhusu miaka ya baadaye, yaani sasa hivi tuko chini maana wanasiasa wametukwamisha ile kasi tuliokua tunaenda nayo, lakini bado hamjanusia hata mikia yetu....hehehe mivivu kweli nyie...
 
I love this articles mara ilikuwa by 2010, 2015, 2017,sasa 2021 ....kuna zingine za 2030
 
Rekebisha title. Sio gpd ni GDP. ....alaf andika if it continues sio if it continue.


Ukiachana na siasa za cooked data ,tz tutakuja kuipita Kenya miaka kama40 ijayo
Mwambie atembee kenya ndio aje kuongea real estate ....really!!...just pack and come to kenya on a week roadtrip....utarudi Tanzania kama umenyamaza ...
 
Mwambie atembee kenya ndio aje kuongea real estate ....really!!...just pack and come to kenya on a week roadtrip....utarudi Tanzania kama umenyamaza ...
Unamaanisha wewe unajua kuliko taasisi inayofanya uchunguzi dunia nzima. Bisha kwa utafiti sio kwa maneno ya ukora au Senile
 
  • Thanks
Reactions: Oii
so sweet when watanzania wanajipa moyo..😀😀😛😛.lol!! Kenya msahau kabisa kuipita...pengine mng'ang'ane na Ghana...
IMF forecast data shows that by 2022, Kenya’s economy will stand at $113 billion against Tanzania’s $78 billion, hinting that catching up with Kenya will take a longer time, if at all it will.
What is the current situation?
 
Haha haha, miradi inayoondelea tz na ulindaji Wa rasilimali za taifa kama madini misitu na ziwani pamoja na miundombinu + bomba LA mafuta kutoka Uganda +gesi inayochimbwa mtwara ,Kenya angalieni lisemwalo lipo laja, huku kwetu rushwa imezibitiwa kwa kiwango kikubwa pesa zote za serikali zinafanya KAZI ilokusudiwa wakati kwenu ufisadi umekithiri GDP kubwa lakini inaishia kwa watu wachache haya endeleeni kujipa moyo
 
Hii hali tulionayo niyakipindi kifupi tu, mfano sekta ya utalii mlikua mpo juu, lakini sasa mmeshapigwa chini, bombardier zikija zote tuka fly direct China to tz, england to tz, ulaya kote sekta ya utalii itakua Mara dufu zaidi, mahotel yatajengwa uchumi utakua ,viwanda vinavyojengwa saivi wakati hapo Zamani havikuwepo hiyo ni dalili njema
 
Dah! Nilijua hizi taharuki zote za kisiasa mtakua sasa mumetushinda, kumbe bado mnaongea kuhusu miaka ya baadaye, yaani sasa hivi tuko chini maana wanasiasa wametukwamisha ile kasi tuliokua tunaenda nayo, lakini bado hamjanusia hata mikia yetu....hehehe mivivu kweli nyie...
Eti mpo kasi, mpo kasi kutushinda sisi wa nne kwa ukuaji uchumi ulimwenguni?
 
Mwambie atembee kenya ndio aje kuongea real estate ....really!!...just pack and come to kenya on a week roadtrip....utarudi Tanzania kama umenyamaza ...
Kwa kweli real estate za mathare na kibera hata mimi huwa zinaninyamazisha.
 
tulia...wacha kupumua pumua joto hapa...
Pata mambo
IMG_20170925_162223.JPG
 
Back
Top Bottom