Baba, sema taratibu usimuuzi shemeji, utanyimwa shuka ya kulalia usiku, shari zako. [emoji23]Kenya inafanya elections 2017-2020 kila siku Kampeni za Kisiasa tu na maandamano, sasa hivi wanataka kuanza tena Katiba nyingine wkt hii iliyopo wala hawajaitunia, tutawakuta hawa morons muda siyo mrefu!
Mwambie atembee kenya ndio aje kuongea real estate ....really!!...just pack and come to kenya on a week roadtrip....utarudi Tanzania kama umenyamaza ...Rekebisha title. Sio gpd ni GDP. ....alaf andika if it continues sio if it continue.
Ukiachana na siasa za cooked data ,tz tutakuja kuipita Kenya miaka kama40 ijayo
Buuuuuuurrrrrnn!!nice name
Unamaanisha wewe unajua kuliko taasisi inayofanya uchunguzi dunia nzima. Bisha kwa utafiti sio kwa maneno ya ukora au SenileMwambie atembee kenya ndio aje kuongea real estate ....really!!...just pack and come to kenya on a week roadtrip....utarudi Tanzania kama umenyamaza ...
What is the current situation?so sweet when watanzania wanajipa moyo..😀😀😛😛.lol!! Kenya msahau kabisa kuipita...pengine mng'ang'ane na Ghana...
IMF forecast data shows that by 2022, Kenya’s economy will stand at $113 billion against Tanzania’s $78 billion, hinting that catching up with Kenya will take a longer time, if at all it will.
Sgr, k air plane loss, east africa power house, east africa big exporter, nakummat supermarket loss & liabilities which are not payable and crude pipeline. Many others jf members wii tell u soonHizo white elephants naomba utuambie bigboy blockchain
Na ndivyo alivyo hana akili kama ulivyo wewenice name
Eti mpo kasi, mpo kasi kutushinda sisi wa nne kwa ukuaji uchumi ulimwenguni?Dah! Nilijua hizi taharuki zote za kisiasa mtakua sasa mumetushinda, kumbe bado mnaongea kuhusu miaka ya baadaye, yaani sasa hivi tuko chini maana wanasiasa wametukwamisha ile kasi tuliokua tunaenda nayo, lakini bado hamjanusia hata mikia yetu....hehehe mivivu kweli nyie...
Kwa kweli real estate za mathare na kibera hata mimi huwa zinaninyamazisha.Mwambie atembee kenya ndio aje kuongea real estate ....really!!...just pack and come to kenya on a week roadtrip....utarudi Tanzania kama umenyamaza ...
Hakuna taasisi iliyo sema chochote hii ni article uchwara toka mazense!!Unamaanisha wewe unajua kuliko taasisi inayofanya uchunguzi dunia nzima. Bisha kwa utafiti sio kwa maneno ya ukora au Senile
Tafuta gazeti la theeastfrican, the citizen tz ya jana tarehe24. ingia kwa tovuti ya imf au business daily africa. Acha ukora wewe ni senile soma kwenye hizo sourceHakuna taasisi iliyo sema chochote hii ni article uchwara toka mazense!!
Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
tulia...wacha kupumua pumua joto hapa...Tafuta gazeti la theeastfrican, the citizen tz ya jana tarehe24. ingia kwa tovuti ya imf au business daily africa. Acha ukora wewe ni senile soma kwenye hizo source
unajua maana ya white elephant kweli??Sgr, k air plane loss, east africa power house, east africa big exporter, nakummat supermarket loss & liabilities which are not payable and crude pipeline. Many others jf members wii tell u soon
Kama unajua si uelezee au upinge maswali ya nini tena kwenye maana ya maneno.unajua maana ya white elephant kweli??
Pata mambotulia...wacha kupumua pumua joto hapa...