Tanzania overtake kenya in real estate for $3 billion to overtake kenya in 2021in gpd

Tanzania overtake kenya in real estate for $3 billion to overtake kenya in 2021in gpd

**TZ adds 350mn$ To their 28.7bn$ GDP gap with Kenya: IMF**


NEXT DAY
BREAKING NEWS (AZAM)
ALL NEWS PAPERS
HATA MNA DECLARE PUBLIC HOLIDAY!

[emoji23][emoji23][emoji23]


Bado mko mbali pili

Mumeona Beltech an American Company is Begining to construct a 458km 6 lane highway from Mombasa to Nairobi at 6bn$

Mumeona hyo??[emoji23]

Most of that is going to compensate Kenyan citizens who own land near the project, Drill Tar in Turkana, Mine sand and Add 7 more cement factories along Mombasa Nairobi !!...[emoji23][emoji23]

By 2020 kutakuwa na SGR na a Super Mega highway waiting to extend to Kisumu

Kenya is busy implementing vision 2030 wengine wako tu kufwatilia habari za kenya

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Imf said tanzania will overtake kenya in 2021 if it continue to grow in 7 percent. In real estate it has overtake kenya by $3 billion, kenya acheni ukora kujitamba kwa Real estate na kujilinganisha na tanzania
Souce: daily business africa, the citizen magazine and imf
Hizo propaganda zimeganda propa
 
Imf said tanzania will overtake kenya in 2021 if it continue to grow in 7 percent. In real estate it has overtake kenya by $3 billion, kenya acheni ukora kujitamba kwa Real estate na kujilinganisha na tanzania
Souce: daily business africa, the citizen magazine and imf
 
hivi nikuulize, ni kwanini 2017 Kenya ilikosa kuifikia kiwango kilichotarajiwa? tena nikuulize kama uchaguzi Kenya huwa inafanywa kila mwaka ama ni baada ya miaka mitano?

Hivi Niulize jamani uvivu wa Watanzania upo wapi?
 
Hivi Niulize jamani uvivu wa Watanzania upo wapi?
Tanzania sio wavivu sema wengi ni Bongo lala akishapata hela cha kwanza chakula cha pili mavazi cha tatu kujenga nyumba ya familia cha nne maendeleo. Ndo maana wanaumaskini wa kutupwa mpama wafikie stage ya 4 kaishakua mzee. Serikali yenyewe bongo lala pamoja na NHC utasikia wanasema maisha ni nyumba halafu ya mkopo na riba kubwa alafu sio ya biashara wanawajaza wananchi liability ili wawe mtaji wa siasa. Elimu ya secondary na shule ya msingi havina tofauti zaidi ya lugha. Shule ya msingi kiswahili secondary broken english
 
Ukabila utawalaza flat sooner than later
Ukabila hautawaacha kenya salama. Odinga anataka watu wa tume ya uchaguzi wote wawewa jaruo (black dark nigga not black semi dark nigga aka wakikuyu). Mzee anazeeka vibaya kila kitu kupinga atakuja mpaka kujipinga mwenyewe
 
Kenya washaanza wivu wawatoza tanzania kodi kubwa ya wheat flower inayotoka tanzania kuingia kenya.
Kisa riport za imf
 
Back
Top Bottom