BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Achana na vigezo vya mwaka 47 weye? Lini umesikia Kenya miili imeokota ufukweni!? Tia akili kichwani
Kidunia Tanzania ipo namba 54, Kenya namba 125, hivi ni vigezo vya kidunia, wewe unatumia vigezo gani?, au unatumia vigezo vya mitaani?. Haya tuambie wewe katika vigezo vya amani na utulivu duniani Tanzania iko katika nafasi ipi?