Tanzania Premier League 'TPL' Biashara United dhidi ya Simba SC, Uwanja wa Karume Musoma

Kagereeee la la..golikipa anatokea na kudaka mpira..!
 
45' za kwanza mchezo zimekamilika ambapo Simba SC wanatoka uwanjani wakiongoza kwa bao mbili kwa bila

Biashara United 0-2 Simba SC.
 
Magoli Ya Offside Refa Anapeta Tu, Hii Simba Inaharibu Soka La Tanzania
 
Simba magoli mepesi haya mmenunua mechi
Hizi sauti zilisikika jangwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…