Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli Simba wanabebwa hadi wamezawadiwa kadi nyekunduMagoli Ya Offside Refa Anapeta Tu, Hii Simba Inaharibu Soka La Tanzania
Kadi ya kutuzuga,mbeleko fcNi kweli Simba wanabebwa hadi wamezawadiwa kadi nyekundu
Simba tunaongoza 2 bila..Ngapi Huko??
na dk Ya Ngapi
Bado mechi ngapi tuwe mechi sawa na Vyura?90+4' Naaaaaaam Mpira umekwisha uwanja wa Karume mjini Musoma ambapo Simba wameibuka na ushindi wa mabao mawili bila majibu yakiwekwa kimiani na John Bocco.
Biashara United 0-2 Simba SC
Tupia na msimamo wa ligi mkuu90+4' Naaaaaaam Mpira umekwisha uwanja wa Karume mjini Musoma ambapo Simba wameibuka na ushindi wa mabao mawili bila majibu yakiwekwa kimiani na John Bocco.
Biashara United 0-2 Simba SC
Simba Kafikisha Mechi 27 na Pointi zake 69 dhidi ya Mechi 32 za Yanga na Pointi zake 74. Mnyama bado Viporo vitano anaelekea zake Mbeya kesho Alfajiri kwa mechi 2.Bado mechi ngapi tuwe mechi sawa na Vyura?
Huo msimamo baki nao wewe, sis tunachezaTupia na msimamo wa ligi mkuu
HahahahaaaKadi ya kutuzuga,mbeleko fc