Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hapana Dada.. Nipo Dada ila siku tatu hizi nilibanwa kidogo.Jamani nikajua umetekwa ujue
Mzima lakini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana Dada.. Nipo Dada ila siku tatu hizi nilibanwa kidogo.Jamani nikajua umetekwa ujue
😂😂😂😂😂Sanaaa Dada akee achana na kagere
Nataka kufahamishwa bei ya korosho?Hapana Dada.. Nipo Dada ila siku tatu hizi nilibanwa kidogo.
Mzima lakini?
😀😀😀😀😀😀😀Nataka kufahamishwa bei ya korosho?
We Mtani wewe lol.Kwanza..Kuna waliouza kwa bei ya 3001
Pili..kuna waliogoma mpaka sasa kuunza
Kwa mukhutadha huo hawa ambao wamegoma watakuwa wametoka ngoma sare 1-1 na wanunuzi [emoji3][emoji3]
Samahani Mtani..Nilikuwa namfahamisha bei ya korosho Lunyasi oscarsolomonWe Mtani wewe lol.
Mzima mm hofu kwako tu pole mnoo kwa ulivyobanwa dada akeeHapana Dada.. Nipo Dada ila siku tatu hizi nilibanwa kidogo.
Mzima lakini?
Hahahaaaa. Haya bana usijali Mtani.Samahani Mtani..Nilikuwa namfahamisha bei ya korosho Lunyasi oscarsolomon
Ahsante Dada. 🙏🙏🙏Mzima mm hofu kwako tu pole mnoo kwa ulivyobanwa dada akee
Mmejikaza kiume HajarHahahaaa. Tumejikazaje sasa Mtani?