Tanzania Premier League 'TPL' Ruvu Shooting Vs Simba SC, Uwanja wa Taifa

Tanzania Premier League 'TPL' Ruvu Shooting Vs Simba SC, Uwanja wa Taifa

Wanasayansi nguli toka vyuo bora kabisa duniani, katika utafiti wao waliokua wakiufanya nchini wamegundua..

"Tanzania kwa sasa, siku ichezapo Simba SC ndo siku ambazo Watanzania wengi huwa wenye furaha na raha isiyo na mfano."

Hofu yangu ni afya za hawa watani zangu Sibonike Hajar kyata guasa Turnkey Amboni Belo Prince Kunta Beira Boy hazard cfc logframe magnifico Super Don Mgagaa na Upwa libeva n.k ambao wataendelea kua watu wasio na furaha kwa miaka mingi ijayo.
😂😂😂😂😂 Furaha inakosekanaje sasa Mtani.

Angalia tu mwisho wa siku isije kuwa kinyume chake Mtani.
 
Kutoka 'maktaba'..
Tangu msimu wa 2013/14, Mnyama Mkali Simba SC kakutana na Ruvu Shooting mara 8, ambapo Simba imeshinda michezo saba na wamelazimisha sare moja tu (Kwa kumbukumbu zangu, hii sare ilikua na utata mwingi saaana).

Sasa huyu Ndg. Bwire hii jeuri ya 'kusema sema' juu ya Mnyama, anaitoa wapi?? Au kutumwa huyu na wazee wa kutembeza bakuli??

Tulipanga tumpe kipigo kidogo tu, sasa kwa kua anatumika, tunaenda kumuadhibu yeye na aliyemtuma.
Leo El Clasico....tutaangalia kipndi cha pili
 
Naanzaje kupata burudani Hajar mieee. Mie burudani naipata tukitakata wana wa Jangwani. [emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Sasa burudani ya vipi hiyo kuanzia dakika ya kwanza mpaka ya mwisho roho mkononi yani mtu unaangalia mpira huku unajiuliza "tutashinda kweli kwa mpira huu "[emoji4] [emoji4] [emoji23] [emoji23] lakini huku kwa Mnyama unaangalia mpira huku unasema "kama siyo 6 leo basi kuna tano " SIMBAAAA
 
Sasa burudani ya vipi hiyo kuanzia dakika ya kwanza mpaka ya mwisho roho mkononi yani mtu unaangalia mpira huku unajiuliza "tutashinda kweli kwa mpira huu "[emoji4] [emoji4] [emoji23] [emoji23] lakini huku kwa Mnyama unaangalia mpira huku unasema "kama siyo 6 leo basi kuna tano " SIMBAAAA
Hahahaaa. Hivyo leo mnajipa matumaini ya bao sita. Duuuh.

Jipeni moyo tu ila mwisho wa siku msije kutafutana tu maana mpira unachezwa uwanjani na si kwenye maneno.
 
Back
Top Bottom