Tanzania Prisons 0-1 Simba | Ligi Kuu Bara | Uwanja wa Sokoine | 14/09/2022

Watoto wa mkude na mzamiru watakula nini [emoji23][emoji23][emoji23]hao Kuna siku wataingia na bakora uwanjani
 
Risk ..kumuingiza ONYANGO
Mechi fitness
 
Ngoja kwanza ni log off. Simba ikifunga ntarudi ikifungwa basi nitafute kwanza Malta mbili nije na nguvu za kuwakabili utopwinyo mana uzi utakua wao. Hahahah
Bado hamjakutana na sie Azam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…