Tanzania Programmers ni kweli tunafeli ni kweli hatuna uwezo wapi tunapokwama, nini kifanyike?

Tanzania Programmers ni kweli tunafeli ni kweli hatuna uwezo wapi tunapokwama, nini kifanyike?

mwalimu_wa_IT

Member
Joined
Nov 5, 2024
Posts
93
Reaction score
165
Aisee nimeshaona mijadala Mingi saana ikisema Tanzania hakuna developer mara ujanja ujanja mwingi... hapa nitaelezea sababu kuu tatu ambazo ndo zinapelekea haya mambo.

1.Ufahamu wa Technology (Elimu)
yaani ni zaidi ya 60% ya watanzania wanamiliki simu janja lakini swala la matumizi sahihi ya hizo simu hawazijui kabisa yaani hawana uwelewa wa mambo ya tech.

2.Support ya Serikali
Inashangaza nchi kubwa kama hii ina watu almost 60million ..kwenye maofisi yao bado wanatumia daftari kuhifadhi data inasikitisha saana..

3.Ujuaji wa Developer
Madeveloper wengi ni wajuaji maneno Meengi kazi hakuna project haziishii , hawana ushirikiano hili nalo ni tatizo wana Tama sana na Hela kazi hawamalizi wanaingia mitini.

Nitaendeleaaa...
Mimi ni mwalimu nafundisha coding na pia natengeneza mifumo yoote
App
Desktop
web
pia ni developer nina project zangu ukitaka kuziona ni Pm na github yangu nita share na wewe
 
Aisee nimeshaona mijadala Mingi saana ikisema Tanzania hakuna developer mara ujanja ujanja mwingi... hapa nitaelezea sababu kuu tatu ambazo ndo zinapelekea haya mambo...
Ni combination ya sera, support na developers wenyewe. Developers hawana team, wanataka fast success lakini pia vision

Unlike team za wenzetu, developers wa hapo home hawaji na project ambazo ni rafiki kwa jamii
 
Yeah sahihi kabisa hili nalo ni tatizo tena kubwa tutaendelea kudharaulika
Ifike mahali devs guys wabadilike, wawe wamoja na wawe na forums zao. Ni ajabu mpaka to date hakuna forums inayowakutanisha dev wa bongo

Pile waje na project rafiki zinazogusa jamii, that how akina mark na wenzie walijenga facebook

Kitu kinachogusa jamii direct ni rahisi sana kukubalika na kukua kwa haraka.

Most of all nidham, kinachowaangusha watu ni kutaka kufanikiwa haraka haraka
 
Kuna jamaa alikuwa anajiita developer, nikampa kazi ya kuunda chat app kama hii( simba chat fan) .. Lakini mpaka leo alikimbilia mitini.. 🙂🙂🙂🙂.



Screenshot_20241126_192625.png
 
Ifike mahali devs guys wabadilike, wawe wamoja na wawe na forums zao. Ni ajabu mpaka to date hakuna forums inayowakutanisha dev wa bongo

Pile waje na project rafiki zinazogusa jamii, that how akina mark na wenzie walijenga facebook

Kitu kinachogusa jamii direct ni rahisi sana kukubalika na kukua kwa haraka.

Most of all nidham, kinachowaangusha watu ni kutaka kufanikiwa haraka haraka
Sikupingi kabisa kaka upo sahihi
 
Aisee nimeshaona mijadala Mingi saana ikisema Tanzania hakuna developer mara ujanja ujanja mwingi... hapa nitaelezea sababu kuu tatu ambazo ndo zinapelekea haya mambo.

1.Ufahamu wa Technology (Elimu)
yaani ni zaidi ya 60% ya watanzania wanamiliki simu janja lakini swala la matumizi sahihi ya hizo simu hawazijui kabisa yaani hawana uwelewa wa mambo ya tech.

2.Support ya Serikali
Inashangaza nchi kubwa kama hii ina watu almost 60million ..kwenye maofisi yao bado wanatumia daftari kuhifadhi data inasikitisha saana..

3.Ujuaji wa Developer
Madeveloper wengi ni wajuaji maneno Meengi kazi hakuna project haziishii , hawana ushirikiano hili nalo ni tatizo wana Tama sana na Hela kazi hawamalizi wanaingia mitini.

Nitaendeleaaa...
Mimi ni mwalimu nafundisha coding na pia natengeneza mifumo yoote
App
Desktop
web
pia ni developer nina project zangu ukitaka kuziona ni Pm na github yangu nita share na wewe
Mkuu nafikiri tatizo la Programmer wengi Tanzania ni kama hili la kwako.In short mm ninalo wewe unalo.
 
developers wangekuja na projct moja ya kwenye majiji kwa kuanzia. itayowezesha kujua sehemu gani kuna vyumba vya kupangisha na fremu zilizo wazi. iwe linked na mfumo wa serikali mtaa ili kabla mtu hajaenda kukagua sehemu fulani serikali mtaa wanafahamu fulani leo kaenda kukagua mahali fulani. hii itasaidia kuondoa lawama za madalali na kupangisha watu wasiofahamika.

au watu waingie front kutengeneza mfumo wa serikali mtaa ambao utakua unafunctions mbalimbali za chapchap ikiwemo hiyo ya juu hapo, kwamba hata kama mtu hana access na mtandao akifika serikali mtaa vitu vyake vitakua processed na mtandao. kazi kwenu kuungana kufuma hii
 
developers wangekuja na projct moja ya kwenye majiji kwa kuanzia. itayowezesha kujua sehemu gani kuna vyumba vya kupangisha na fremu zilizo wazi. iwe linked na mfumo wa serikali mtaa ili kabla mtu hajaenda kukagua sehemu fulani serikali mtaa wanafahamu fulani leo kaenda kukagua mahali fulani. hii itasaidia kuondoa lawama za madalali na kupangisha watu wasiofahamika.

au watu waingie front kutengeneza mfumo wa serikali mtaa ambao utakua unafunctions mbalimbali za chapchap ikiwemo hiyo ya juu hapo, kwamba hata kama mtu hana access na mtandao akifika serikali mtaa vitu vyake vitakua processed na mtandao. kazi kwenu kuungana kufuma hii
Huu mfumo ninao tayari.. sema bado haujaisha vizuri
 
Back
Top Bottom