Tanzania pulls out of East Africa Common Visa Plan

Status
Not open for further replies.
This thread is a mess...

This is what mindless nationalism does to you. Carry on Keyboard warriors....
 
"Tanzania pulls out" ndio headlines ambazo huwapa raha Wabongo, pulling out, pulling out, pulling out, siku zote uwoga na kutokujiamini kwa lolote na popote.
Muwekeze kwenye elimu ili umma wa Tanzania uwe na uwezo wa kushindana na kuongoza, sio haya maisha ya mkisikia jina la Kenya mnababaika na kutetereka.

Wakenya tumewekeza kwenye nguvu kazi. Juzi kuna sehemu niliwaskia dada wa Kitanzania wakiongea wenyewe ofisini sehemu, halafu mmoja akasema "Hiyo ripoti imeandaliwa na Mkenya, chezea Wakenya wewe, wanajituma kweli".... Hawakujua mimi Mkenya, aisei nilihisi mzuka, nilihisi nipae kwa mabawa...yaani hadi raha....

Nafikiri hii picha hapa inaelezea kitu cha kujifunza kuhusu Kenya....

 
Yap, that's brainless from your countrymen spokesman.

crazy tanzanians. mpo kote kote kwa huu uzi with verbal diarrhea celebrating non issues. Nyie kufikiria kwenu uwa sawa kweli!!! kenya ikitajwa ni kama nyuki kwa mzinga katiwa moto!!



isiolo moyale rd


 
Kaka brazza, tupe mfano moja tu ya "wakenya kuitangaza Kilimanjaro yao". Nimesikia hii utumbo muda mrefu japo sijaona na macho hata poster 1 .Mnarudia rudia nursery rhymes za chekechea hadi mnadhani lipo. Tuonyeshe kwa njia ya picha nilale vizuri leo
 
'Come to Kenya and see Mt. Kilimanjaro'! You can imagine what would happen when we have a single tourist Visa. I wouldn't be surprised to hear things like come to Kenya so that you can see Africa's big five in Serengeti!
Nothing wrong with the caption 'Come to Kenya and see Mt. Kilimanjaro'!. Couse isn't that just the truth?. Come to kenya, have a better view of Kilimanjaro. Go to Tanzania, climb Mt kilimanjaro. period!...
 
Nothing wrong with the caption 'Come to Kenya and see Mt. Kilimanjaro'!. Couse isn't that just the truth?. Come to kenya, have a better view of Kilimanjaro. Go to Tanzania, climb Mt kilimanjaro. period!...

yep!

views from amboseli kenya













 
Tanzania tunapata pesa nyingi kwenye utalii kuliko Kenya, mnajifanya wajanja kutuingiza kwenye mitego yenu lakini kamwe hatutajiingiza kichwa kichwa.

Kenya's earnings from tourism fall 3 pct in 2015
Kenya's revenue from its tourism sector dropped 2.87 percent last year to 84.6 billion shillings ($837.21 million), its tourism minister said.

Siku ya utalii duniani kuadhimishwa mwezi ujao – Raia Mwema
Takwimu zinaonyesha kwamba Tanzania ni nchi ya tatu barani Afrika kwa kuwa na mapato mengi yatokanayo na sekta ya utalii, kwani kwa mwaka 2015 yalikuwa ni dola za Marekani bilioni 2.2 (shilingi trilioni 5).

Kitu pekee kinachovutia watalii Kenya ni hiki hapa.
 
brainless statements...which blow. kenya wasnt getting anything from nothing. you were never part of it in the first place coz you never joined the coalition of the willing!!! so what are pulling out from!!!!
You can still do better without us,mbona unaongea kwa ukali,..huu mchezo hautaki hasira!
 
crazy tanzanians. mpo kote kote kwa huu uzi with verbal diarrhea celebrating non issues. Nyie kufikiria kwenu uwa sawa kweli!!! kenya ikitajwa ni kama nyuki kwa mzinga katiwa moto!!



isiolo moyale rd


Nikiangaliaga huu mradi wa reli huwa nacheka sana. Jinsi Manyan'gau mlivyolizwa na viongozi wenu.

Reli ya Addis Ababa mpaka Djibouti ina urefu wa Km 756, imecost USD 4 billions, km 150 ni double tracks na reli yote ni electrified, yani hiyo bei ime include na miundombinu ya umeme..

Reli ya Mombasa mpaka Nairobi ina urefu wa km 609 imecost USD 3.8 billions, sio electrified na sehemu kubwa ni single track..

Ukiangalia wazi hapo mmeliwa.. msisingizie madaraja maana hata wao Ethiopia wameyajenga.

Hao viongozi wenu waanze kuwapenda nyie kwanza ndio waje watupende sisi wa Afrika Mashariki.
 
Hapa nilipo imetimia saa10 na robo hivi na inaukubalika ni mapema sana kula viroba. Naomba ukanunue chipsi mayai utakapoua unapitia uzi huu ( Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania ) maanake refu na utashikwa na njaa haraka. Usiitishe chili sauce, itaongeza ukali bure.

ili uepuke kuhesabiwa kati ya robo wanaopambana na kichaa kwenu pitia hapa ( Vipi utafiti kama huu wa vichaa ulifanyika Kenya? ). itakufaidi.
 
Nothing wrong with the caption 'Come to Kenya and see Mt. Kilimanjaro'!. Couse isn't that just the truth?. Come to kenya, have a better view of Kilimanjaro. Go to Tanzania, climb Mt kilimanjaro. period!...
Hahahaah! Yeah, there is also nothing wrong with us pulling out, we are just looking out for our interests. Moreover, if you are benefiting from Mt. Kilimanjaro, then it is time you start paying upkeep fees as the ice on top of the mountain is melting away!

You should be telling us how we will benefit with the Single Visa, don't just pull us with you. Give us numbers, how many tourists go to Kenya and then go to TZ and how many do vice-versa. Otherwise, 'come to Kenya and enjoy beautiful beaches of Zanzibar' is coming soon with single visa!
 
Nice move my Tz... I'm expecting more nice moves under the best president of Africa at this time Dr John Magufuli... Habari wanayo [HASHTAG]#Imooooo[/HASHTAG]
 
Wakenya hamuaminiki na hamtakaa mje kuaminika.
Mshukuru Mungu mmepakana na Tanzania ila hatuwaamini hata kidogo.
 
Wakenya hamuaminiki na hamtakaa mje kuaminika.
Mshukuru Mungu mmepakana na Tanzania ila hatuwaamini hata kidogo.
cha kushukuru kisa tumepakana na bongo ni kipi?hebu ntajie kimoja
 
kwahiyo washangilia wakati tukikumbwa na ugaidi...we ni bure kabisa
 
yep!

views from amboseli kenya













Hao wanaokuja kuangalia mlima kwa mbali ni watalii wa miaka ya 1980s ila watalii Wa sasa wanakuja kuuona mlima kwa ukaribu na kuupanda ili wapige picha nzuri za kuonekana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…