Tanzania pulls out of East Africa Common Visa Plan

Tanzania pulls out of East Africa Common Visa Plan

Status
Not open for further replies.
uoga uko wapi, si kila siku nyi watz mnajisifia mko na vivutio vingi zaidi kuliko EA yote

Wahenga walisema ukiishi na mtu mjanja usijaribu kumwonyesha ujinga wako. Mwonyeshe kwamba wewe ni mjanja zaidi kuliko yeye ndipo atakuheshimu. Mkishaheshimiana sasa mnaweza kuishi pamoja na kushirikiana. Maana hatajaribu kukugeuka kwa maana anajua utamgundua.
 
Y'all fruits have a false sense of self importance, narcissists who think the world revolves around you, Tanzania is only as good as what lies beneath it's soil, nothing else, no contribution to the world, no notable achievements from it's people, Nothing, just a large mass of blessed land and a lazy, lethargic population still recovering from ujamaa hangover. Kenya is and will always be a giant, we have no notable minerals, a large chunk of our land is arid, but we are known worldwide from our contribution to the world. Get off that high horse and let us develop this continent, am tired of your stupidity. Uhuru should stop wooing this f.uckers, let them be an Island and we see how far they go.

Mchango gani mliotoa hapa duniani zaidi ya
huo hapo:-
VIDEO: Kenyans are EXPERT THIEVES - President Uhuru agrees with Donald Trump and Mugabe

Yani kukimbia riadha ndio mnaona mchango mkubwa sana mliotoa hapa duniani?
Hebu tutajie mifano angalau 5 tu ya mchango mliotoa nyinyi kama kenya,nami nikutajie ya Tz.😀
 
Quickly, if u go to archives u will see i once posted a thread of a former Kenyan minister in Kibaki government doing deceitful marketing in a conference in Nairobi where he stated Mt Kilimanjaro is the leading tourist attraction for Kenya before being issued a protest note by our representative and later retracted his statement.
 
Kwanini kulalamika kujitoa kwa TZ wakati hii itakuwa hasara kwa TZ?
 
Yaani tujiunge tu ilimradi tuonekane hatuna shida na MANYANG'AU?,fanyeni yenu,yetu muyaache,sisi tuna mipango yetu kama taifa
Tanzania tumestuka, mara mlima Kilimanjaro uko Kenya, mara Serengeti iko Kenya. (Funga Gorogonja no entry)
Turuhusu watalii waingie Nrb wazunguke Tanzania kama shamba la bibi??
Kuwe na adabu kama ni kutalii waje TZd wajue ni Tanzania sio Kenya!!
Kenya wamechora hadi ndege KQ mlima Kilimanjaro bila aibu!!
Ulagai na wizi wa hila kwenye utalii kwisha, tuheshimiane wazee!!
 
Tanzania tuko 'busy' na shughuli za kisiasa za ndani zaidi kuliko za kiuchumi. Aidha upo upungufu wa "practical knowledge /skills" za kupambanua masuala mtambuka (integrated & crosscutting) na hata juhudi na maarifa ya kuondokana na tatizo hilo!
 
Dr. Msafiri, tupe faida ya ea common tourism visa basi! Waambie Kenya kwanza wa-improve security situation na tourism numbers. Na si wangoje jitihada zetu za ku-incorporate Wn n Sn circuits na Nn n En circuits kwa kujenga miundombinu ya viwanja vya ndege na kununua ndege mpya kwa ajili ya ATCL zinaanza kuzaa matunda ndo walete at joint marketing! Likibuma hapo Nairobi nasi tuathirike kwa vile Watalii watakuwa wanakuja in packages.

BTW who will pay for the difference ya drop of visa fee to $100 from $150? Maana unaweza ukajiita Dr kumbe maswala ya economics yanakutupa. Hawa hawa walizuia tour vans zetu zisiingie JKIA.
 
Unajua hawa jamaa wamekataa kujiunga na regional pipeline inayojengwa kati ya Hoima na Tanga? Kisa Tanzania imewashinda na wakati mafuta waliyonayo ni madogo? Si commercial viable kujenga bomba peke yao!
 
Unajua hawa jamaa wamekataa kujiunga na regional pipeline inayojengwa kati ya Hoima na Tanga? Kisa Tanzania imewashinda na wakati mafuta waliyonayo ni madogo? Si commercial viable kujenga bomba peke yao!
Geza wenzetu hawa akili zao ni fupi sana. Yaani sasa hivi wanahaha maana TZ tunawapiga kila kona wameanza kuwa na wivu wa kike.
 
Annael, ndo maana namtaka huyo anayejiita Dr. Msafiri ajibu hapa faida ambazo Tanzania itazipata na hiyo EA Tourist common visa na joint marketing.

Unakumbuka swala la kutumia ID cards kuingia nchi za EA Wakenya walilivalia njuga sasa wameona tuna ID wameufyata.
 
Unajua wenzetu hawa wanatumiwa ili kuendeleza ukoloni mambo leo. Hawa wenzetu ni bora kukaa nao kwa umakini wa hali ya juu sana.
Kama baba yake Kenyatta Junior ndivyo hivyo wanataka kurudia. Sisi tupo makini sana.
 
wakulia...umeona nani ametowa comment ya kulialia apa jf ama ata kusikia kiongozi wetu akilialia.mbane tu haitusumbui cz we still the giant of these region and thats something you cant deny
kumbe unajua, Kenya mna strong airline kuliko Tz, so tukiwa wamoja mtatuzidi kwenye utalii ilhali sisi tuna industry kubwa kuliko Kenya, so hatuhitaji hiyo coalition coz we wanna build ours
 
....And Rotten Egg smell brain from you

from a tanganyika guy I expect nothing less than this. zero debate content. akili always ya vijiweni!!! na lugha ya kimombo, ulamavu kama kawaida kwa watanyika!!!
 
Insults, ego, and degrading other people is what you Kenyans do best. Come back to earth, Kenya is just another poor African country with Kibera as a testimony.
Then you shouldn't be complaining how such poor people are drugging you but instead find ways of reciprocating. Eg you can insult back, degrade or whatever that suits you other that whining too much.
 
Unajua Kenyans wanapenda kukompete na Tz. Pia wanajionaga smart sana ss CoW na hili la viza lengo lao lilikuwa kutuingiza king kisha watubeze naamin huko walipo wanatathmin na huyo Balala ajiangalie atakosa kazi next term.

Kwanza ni wakabila na wabaguzi, wanatubagua sana kuna mdada Mtz ni mhasibu ktk kampuni ya chai huko Kenya yaani wakikuyu kilasiku ofisini wanadiskasi kuwa Kenya yote hakuna mhasibu mpk atoke Tz. In short hawa si marafiki wazuri kuna siku watakuja na mkataba wa ulizi na usalama kuwa nchi moja ikishambuliwa tutume majeshi wakijua kuwa wao wanamatatizo ya kigaidi. TUWE NAO MAKINI SANA HAWA JAMAA
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom