Acha story hakuna hela ya kujenga hiyo reli mchina alishagoma sasa hivi ni kudokoa vipande itakamilika mwaka 2100 labdaKama nilivyokuambia, kabla ya kuchangia uwe angalau unajihoji kama kweli hoja yako in mashiko, sasa wapi ulisikia kuna reli ya Dar- Moro?, reli inayojengwa ni Dar- Isaka-Mwanza-Kigali-Bujumbura, ila imegawanywa kwenye hizo awamu, hivi wewe ukiwa unakwenda Marekani kwa kutumia KLM, na ukaambiwa utapitia Amsterdam, hapo utalala kwa siku moja na Kesho yake utabadilisha ndege kuelekea Marekani, utasema unasafiri kwenda Marekani au Uholanzi?
Hayo ni mawazo yako, wapinga maendeleo kama wewe ni muhimu sana ili kutoa changamono, msipokuwepo watu kama wewe maendeleo yanapatikana kwa taratibu sana, kumbuka "without friction, no motion", mambo yanasonga mbele, kaa pembeni uwe mtazamaji.Acha story hakuna hela ya kujenga hiyo reli mchina alishagoma sasa hivi ni kudokoa vipande itakamilika mwaka 2100 labda
Niko pembeni kweli maana sina maamuzi juu ya hilo mimi natumia zote tu ya Kenya powa ya Tanzania powa ndio raha ya Africa MasharikiHayo ni mawazo yako, wapinga maendeleo kama wewe ni muhimu sana ili kutoa changamono, msipokuwepo watu kama wewe maendeleo yanapatikana kwa taratibu sana, kumbuka "without friction, no motion", mambo yanasonga mbele, kaa pembeni uwe mtazamaji.
Uwelewa wako bado upo katika infancy stage, mpaka sasa hivi nchi zote hizo ulizotaja, Rwanda na Burundi wanapitisha mizigo yao Dar, kwa zaidi ya 80%, Sina data kamili na DRCNitaendelea kujielimisha Nashukuru.
Lakini tujiulize sisi zimeyumba zote Tazara ya kati na hata ya kaskazini inamaana hakuna kinachoendelea Tanzania kuhusu reli.
South Sudan Uganda Rwanda Central Africa Burundi Ethiopia na DRC wataendelea kuitumia bandari ya Mombasa na ya Lamu kila siku haitakoma kwasababu hawawezi kuitumainia Tanzania kibiashara na unajua hilo.
Kenya inasonga mbele ukifika unaona matumaini kabisa.
Wao wamejenga hadi Nairobi sasa wanaelekea Nivasha sisi tunajenga kwenda Morogoro na Dodoma kuna nini?
Unaongelea mizigo ya Serekali au ya BiasharaUwelewa wako bado upo katika infancy stage, mpaka sasa hivi nchi zote hizo ulizotaja, Rwanda na Burundi wanapitisha mizigo yao Dar, kwa zaidi ya 80%, Sina data kamili na DRC
mizigo ya nchi inamaanisha yote, tunaposema mizigo ya Rwanda hiyo ni yote, ya serikali na private sector. Kama utakumbuka Magufuli alimkaribisha Joseph Kabila kuja kufungua jengo la TPA, na akawa anamchombeza kwamba hategemei kuona mfanya biashara wa DRC kutumia bandari nyingine zaidi ya Dar, na akasema, kwa sababu mawaziri wa DRC na viongozi wa wafanya biashara wa DRC wapo hapa, mkawe mabalozi wa kuwaambia wafanya biashara watumie bandari ya Dar.Unaongelea mizigo ya Serekali au ya Biashara
Hiyo ndio shida pekee ya Watanzania sifa za kijinga za uwongo wa makaratasimizigo ya nchi inamaanisha yote, tunaposema mizigo ya Rwanda hiyo ni yote, ya serikali na private sector. Kama utakumbuka Magufuli alimkaribisha Joseph Kabila kuja kufungua jengo la TPA, na akawa anamchombeza kwamba hategemei kuona mfanya biashara wa DRC kutumia bandari nyingine zaidi ya Dar, na akasema, kwa sababu mawaziri wa DRC na viongozi wa wafanya biashara wa DRC wapo hapa, mkawe mabalozi wa kuwaambia wafanya biashara watumie bandari ya Dar.
Wewe ndiyo mwenye matatizo ya kufikiria, sasa data za biashara ya nchi unazipata wapi?, Wewe tatizo lako unaishi kienyeji sana, hutaki kutumia statistics information zinazopatikana kutoka katika nchi husika badala yake unatumia kichwa na macho yako, ukiona malori yameshikana basi unaona ndiyo kila kitu,Hiyo ndio shida pekee ya Watanzania sifa za kijinga za uwongo wa makaratasi
Ingekuwa wanapitisha kwa kiwango hicho basi mizigo inayopita Dar ingekuwa imeizidi Mombasa kwa mbali sana maana wao wangekuwa wamebaki na 20% tu
Sisi kwa takwimu na matafiti mbona tuko vizuri na ndio maana tuko tulipo tunaridhika na takwimu za kupikwa.Wewe ndiyo mwenye matatizo ya kufikiria, sasa data za biashara ya nchi unazipata wapi?, Wewe tatizo lako unaishi kienyeji sana, hutaki kutumia statistics information zinazopatikana kutoka katika nchi husika badala yake unatumia kichwa na macho yako, ukiona malori yameshikana basi unaona ndiyo kila kitu,
Kwanza uliza hiyo Rwanda na Burundi kwa jumla inaingiza mizigo kiasi gani katika nchi zao, pili uliza Bandari ya Mombasa inapitisha tani ngapi kwa mwaka, na uone wapi inaenda hiyo mizigo.
Zaidi ya nusu ya mizigo yote inayoshushwa Mombasa ni mizigo ya Kenya, na nusu iliyobaki karibu nusu ya hiyo ni Uganda, iliyobaki yaani 25% ndiyo igawanye kwa Rwanda, DRC, Northen Tanzania, SS, na Southern Ethiopia.
Kumbuka Kenya ina import goods worth $12B each year, wakati Tanzania ina import goods of $10B only
Acha genye tulia dawa ikuingie,...phase one hawajamaliza washaanza kuongelea phase 2...😀😀😀
I want to know the progress of the first SGR phase, how is it?No they will be done concurrent as the mode of construction is different from Kenya's. Phase III n IV to be kick started before middle next year. See how biased is the East African. Magufuli set aside over US $1 bln from the two budgets he has so far precided for phase I but yet ur media says no funds for phase I.
Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
Ninamashaka na elimu yako, Ethiopia wameunganisha reli yao ya umeme na Djibouti, hawana pesa wala mpango wa kuunganisha na Kenya, kwanza Southern Ethiopia usalama ni mdogo kuna majimbo yanataka kujitenga, yanapigana na serikali. Kuhusu takwimu mimi sisemi za Tanzania, ninazungumzia za Rwanda, za Kenya na za hizo nchi zote, ingia utafute elimu, acha kufanya hesabu za biashara kwa kuhesabu vidole, takwimu means "Research", no research, no right to comment. Mbona unaishi kizamani sana wewe?, mbona information zote zipo kiganjani siku hizi?.Sisi kwa takwimu na matafiti mbona tuko vizuri na ndio maana tuko tulipo tunaridhika na takwimu za kupikwa.
Kwahiyo kwanza unakubali Kenya ni uchumi mkubwa.
Bado ulikataa SGR yao haitakuwa na mizigo ukasahau Ethiopia wamejenga ikaishia kwao na inawafaa.
Daah nimekuelewa, asante kwa kutuelewesha!!Mara nyingi huwa ninashangaa kama kweli ninyi wakenya mnafuatilia mambo kwa undani au mnafanya kwa ushabiki tu, kama utafuatilia na kuangalia working framework ya ujenzi wa SGR ya Kenya na Tanzania, utaona kwamba, wakati ile ya Kenya ikifika Kisumu, ile ya Tanzania itakua imefika Mwanza, hii ni kwa sababu zifuatazo
1) SGR ya Kenya imepangwa kujengwa hivyo, kwamba awamu moja ikimalizika ndiyo ianze ujenzi wa awamu inayofuata, ile ya Tanzania awamu zote zinaenda pamoja
2)Mkandarasi wa SGR ya Kenya ni huyohuyo mmoja kutoka mwanzo hadi mwisho, Tanzania imeamua kuwa na wakandarasi tofauti tofauti, wote waweze kufanyakazi kwa wakati mmoja
3) Reli ya Kenya ina mahandaki mengi na marefu, na madaraja mengi ambavyo vyote vinachukua muda mrefu sana hadi kukamilika kwake.
Kwa sababu hiyo reli ya Tanzania inategewewa kuisha mapema kuliko ile ya Kenya, kama kuna mkenya mwenye ile working plan ya ujenzi wa hiyo reli anaweza kuileta ili tulinganishe na ile ya Tanzania, tuone inayotegemewa kuisha mapema ni ipi?
Sina shida wewe kuwa na mashaka na elimu yangu maana hata mimi namashaka na uwezo wako wa akili hasa nikijua kama mtanzania ulidumaa utotoniNinamashaka na elimu yako, Ethiopia wameunganisha reli yao ya umeme na Djibouti, hawana pesa wala mpango wa kuunganisha na Kenya, kwanza Southern Ethiopia usalama ni mdogo kuna majimbo yanataka kujitenga, yanapigana na serikali. Kuhusu takwimu mimi sisemi za Tanzania, ninazungumzia za Rwanda, za Kenya na za hizo nchi zote, ingia utafute elimu, acha kufanya hesabu za biashara kwa kuhesabu vidole, takwimu means "Research", no research, no right to comment. Mbona unaishi kizamani sana wewe?, mbona information zote zipo kiganjani siku hizi?.
kweli mkuu,ndio maana Magu anawaavoid sana,I know right now all options are open looking for funding but out of the goodness of my heart. Don't get the World bank involved, try as much as possible to avoid that path, those guys will take you round and round with feasibility studies and environmental studies..by the time they release funds it will be forever
Djibouti ni nchi ndogo sana lakini very stable politically and economically, usichanganye kati ya Djibouti na Somali land, au Ethiopia, Djibouti wapo peace sana kisiasa na uchumi wao unafanya vizuri sana, ndiyo sababu wala husikii ikitajwa mara kwa mara, ni kama vile Mauritius, hebu tuambie unaposema Djibouti haiminiki unamaana gani?Sina shida wewe kuwa na mashaka na elimu yangu maana hata mimi namashaka na uwezo wako wa akili hasa nikijua kama mtanzania ulidumaa utotoni
Ethiopia hawezi kukwepa Kenya sababu hawezi kutegemea njia moja tu ya kuingiza mizigo yake Djibouti ambayo ni nchi isiyoeleweka.
Tanzania kuna usalama upi huo labda kuliko kwa wenzetu?
Ninamashaka na elimu yako, Ethiopia wameunganisha reli yao ya umeme na Djibouti, hawana pesa wala mpango wa kuunganisha na Kenya, kwanza Southern Ethiopia usalama ni mdogo kuna majimbo yanataka kujitenga, yanapigana na serikali. Kuhusu takwimu mimi sisemi za Tanzania, ninazungumzia za Rwanda, za Kenya na za hizo nchi zote, ingia utafute elimu, acha kufanya hesabu za biashara kwa kuhesabu vidole, takwimu means "Research", no research, no right to comment. Mbona unaishi kizamani sana wewe?, mbona information zote zipo kiganjani siku hizi?.
Djibouti ni nchi ndogo sana lakini very stable politically and economically, usichanganye kati ya Djibouti na Somali land, au Ethiopia, Djibouti wapo peace sana kisiasa na uchumi wao unafanya vizuri sana, ndiyo sababu wala husikii ikitajwa mara kwa mara, ni kama vile Mauritius, hebu tuambie unaposema Djibouti haiminiki unamaana gani?
Kuhusu Ethiopia kuwa na reli kuunganisha nchi mbili yaani Djibouti na Kenya, hakuna nchi hapa Africa yenye uwezo wa kujenga SGR mbili tofauti, hata Egypt, au South Africa hawana uwezo huo, hiyo moja tu ikikamilika ni mafanikio makubwa sana, sembuse eti wajenge ya pili, unaota mchana kweupe, sababu kubwa iliyomfanya Kagame kubadilisha wazo la kuunganisha na Mombasa ambako walishakubaliana na Uganda, Kenya, na South Sugan, ni Uganda kushindwa kuunganisha kipande cha Kampala kwenda mpaka wa Rwanda, ni kilometa hazizidi 300, itakuwa urefu wa Addis hadi Lamu?
Kuhusu usalama wa kupitisha miundombinu, umeuliza hapa Tanzania upo wapi?, jibu analo Total ya ufaransa, wao wanauona kwa sababu watu wenye mtindio wa ubongo huwa wanakosa coordination kati ya macho na ubongo, anaweza macho yakatazama kuku, lakini ubongo ukatafsiri picha ya Simba, ila sijasema kwa wewe upo hivyo