Tanzania-Rwanda: Silent war in Tanzania. Watanzania tuwe makini tusitumike bila kujijua...

Tanzania-Rwanda: Silent war in Tanzania. Watanzania tuwe makini tusitumike bila kujijua...

kama hizi habari ni za kweli na hiyo mipango ipo kweli basi mwisho wa Kagame unakaribia ni suala la muda tu.

Hiyo habari ni ya kweli na ndiyo iliyotoa uhai wa Mtikila. Kizuri ni kwamba imeshafanyiwa kazi na jamaa yenu msaliti hataingia ikulu kwa namna yoyote.
 
Hiyo habari ni ya kweli na ndiyo iliyotoa uhai wa Mtikila. Kizuri ni kwamba imeshafanyiwa kazi na jamaa yenu msaliti hataingia ikulu kwa namna yoyote.

nafurahi kuckia hii habari km ishafanyiwa kazi,,ila cjaelewa kuhusu jamaa yetu msaliti,kifo cha mtikila na hii habari uhusiano wake ukoje,nijuze Mzee wa gomz
 
Baada ya kutafuna rasilimali za watanzania kwa ufisadi uliotukuka chini ya mbawa za Rais kikwete na familia yake, Ghalib S Mohamed Mwenyekiti wa kampuni ya Alosco inayomiliki makampuni mengine zaidi ya kumi ikiwemo Supermarket za Home Shopping Centre, sasa ndio ataongoza kamati ya ufundi ya wizi wa kura kuanzia tar 24 oktoba.

Ghalib akiwa pamoja na Faroukh Bagonza wa kampuni za mafuta ya TSN na Supermarket za TSN wame ratibu wizi wa kura kwa kuagiza masanduku yaliyo jaa makaratasi ya kupigia kura kutoka Msumbiji na vifaa vingine haramu vya kupigia kura ambavyo vimehifadhiwa kwenye Godauni (maghala) ya Faroukh Mtaa wa Gerezani, Mnazi moja.

Ghalib na Faroukh wakishirikiana na jangili mwenzao Abdulrahman Kinana wiki iliyopita wamenunua magari manne kutoka kampuni ya Toyota Tanzania Ltd iliyopo barabara ya Pugu. Magari hayo yatatumika kusafirisha makaratasi ya kura batili na kutumika kama magari feki ya wasimamizi wa kimataifa wa SADC. Mpango ni kupeleka gari mbili Zanzibar na mbili zitakuwa Tanzania Bara. Gari hizo aina ya Toyota Landcruiser Hardtop (2) zenye namba za usajili T 471 DFC na T 469 DFC zenye chasis namba TEEB71 – 90 - 7026583 na TEEB71 – 00 – 7026617. Pia wamenunua Toyota Hilux Double Cabin (2) zenye namba za usajili T 468 DFC na T 470 DFC zenye chasis namba AHTFR22G10 – 6105538 na AHTDR22G00 – 6105546.

Ghalib S Mohamed, fisadi na jangili ambae tangu rais Jakaya Kikwete aliposhika hatamu mwaka 2005, alipewa fursa za kufanya biashara bila kulipia ushuru bidhaa alizokuwa akiingiza nchini kwa ubia na familia ya Rais Jakaya Kikwete. Leo hii kupitia mianya hii ya kifisadi na unyonyaji wa jasho la watanzania, Ghalib ni moja kati ya matajiri wa kubwa Tanzania anae miliki Mali nyingi za kifahari, Majengo, Magari na biashara nyingi za nyuma ya pazia.

Ghalib ana miliki jumba lenye gharama ya bilioni 13 za kitanzania iliyo jengwa kwenye eneo la heka 11 huko Kinyerezi. Eneo hilo ambalo lilimefanya familia zaidi 33 kuhamishwa bila kibali maalum kwa ajili ya ujenzi wa jumba moja la mtu mmoja.

Ghalib huyu huyu ana miliki nyumba 4 Masaki na sasa ana malizia jumba lingine la kifahari mtaa wa Lincoln Masaki ambalo lina jengwa na wakandarasi kutoka china.

Ghalib ana miliki magari tofauti ya kifahari ikiwemo Rolls Royce, Bentley, Ferrari magari kadhaa aina ya Range Rover yenye thamani zaidi ya billioni 3 za kitanzania.

Kazi kubwa ya kifisadi ni ile ya usafirishaji bidhaa bila kulipa ushuru kupitia kampuni yake ya usafirishaji ya Silent Ocean inayosimamiwa na mdogo wake anaye itwa Salaah ambayo makao makuu yake yapo China. Salaah ambae kwa sasa amefanywa balozi mdogo wa Tanzania nchini China bila kuzingatia hiztoria yake ya uhalifu wa kutumia silaha na kutishia kuuwa watu kwenye kumbi tofauti za starehe, zaidi ya hapo salaah hana elimu wala historia ya kidiplomasia lakini uswahiba wa familia yao na JK umempa nafasi hii kubwa kabisa katika Taifa letu.

Leo hii Ghalib ndio nguzo kuu ya ufadhili wa CCM na familia za viongozi wa CCM. Kwa Lugha nyepesi, ghalib ndio anafanya mipango yote na mikakati ya CCM na Serikali iliyopo madarakani. Mkakati mkubwa alionao sasa ni huu wa kuartibu wizi wa kura ambao Ghalib na maswahiba wake wamemwaga pesa nyingi sana ili kufanikisha wizi mkubwa wa kura katika historia ya Taif hili wakijua dhahiri Magufuli hana asilimia 30 ya kura za Watanzania.
 
Jamani Watanzania tufunguke vichwa kidogo; hivi jambo zito na kubwa kama hilo lisijulikane na vyombo mahsusi vya kiintelijensia hadi aandike huyo mwandishi?!!!! Muda wa propaganda mfu umeshapita kitambo; twendeni tukapige kura Jumapili kwa mustakabali wa nchi yetu; hizo article za kutishana zimepitwa na wakati.

Ufungue kichwa gani wewe? Unajua kilichokuwa nyuma ya uchaguzi wa Burundi?
 
Hiyo habari ni ya kweli na ndiyo iliyotoa uhai wa Mtikila. Kizuri ni kwamba imeshafanyiwa kazi na jamaa yenu msaliti hataingia ikulu kwa namna yoyote.

Nilikuwa sielewi elewi...na kuona ni uzushi...sasa nimeweza ku link matukio...
Na watu wanashadadia..

kweli elimu iwe kipaumbele JPM
 
Last edited by a moderator:
Nilimsikia Mtikila akizungumza mpango wa Rwanda Kuivamia Tanzania kwa kutake advantage ya mgogoro wa Ziwa Nyasa, ambapo vita kati ya Malawi na Tanzania ingeibuka wangepeleka Wanajeshi na kujially Na Malawi kimyakimya.
Kuna Kitu Mtikila alikuwa anakijua ambacho pengine hatukichukulii serious!

Rwanda bado sana kuweza kusimamisha jeshi lake kwenye ardhi ya Tanzania. Nchi ndogo sana hiyo, halafu kumbuka kuna waasi wa kihutu(FDLR) wanaompinga kagame wapo ndani ya rwanda, na wengine wameweka makazi yao nchini DRC, hao muda wowote wakipata chance wanaweza kuingia rwanda na kuanzisha mashambulizi dhidi ya utawala wa kagame.
 
Nkurunzinza asingekomaa angetolewa madarakani kwa kile kilichoitwa nguvu ya umma.

Unakumbuka PK alisema kuwa anashauri kwa nini Rais wa Burundi Nkurunzinza anagombea tena wakati alimkuta madarakani. Yaani PK ni sheeda.

Ki Demokrasia huwezi kulinganisha TZ na Rwanda au UGANDA au Kenya, mpaka sasa Watanzania tumeonyesha kiwango kikubwa cha ukomavu wa demokrasia, kampeni zinaenda vizuri watu wanabishana vijiweni kwa hoja lkn mwisho wanapanda boda boda moja. hukuwa wakiwa labda mmoja mchaga na mwingine msukuma.
 
Unakumbuka PK alisema kuwa anashauri kwa nini Rais wa Burundi Nkurunzinza anagombea tena wakati alimkuta madarakani. Yaani PK ni sheeda.

Ki Demokrasia huwezi kulinganisha TZ na Rwanda au UGANDA au Kenya, mpaka sasa Watanzania tumeonyesha kiwango kikubwa cha ukomavu wa demokrasia, kampeni zinaenda vizuri watu wanabishana vijiweni kwa hoja lkn mwisho wanapanda boda boda moja. hukuwa wakiwa labda mmoja mchaga na mwingine msukuma.

Itathibitika k.kutwa
 
upuuzi mwingine bwana, Rwanda anaweza kuwa cheza game wajinga kama Burundi, Congo, ni lakini sio mziki wa Tanzania kubaki mkatae Tiss ndio the CIA of east Africa wanajua mpaka ratiba ya kuoga ya kagame
"Never under estimate the power of your enemy"
 
Nitakuwa wa kwanza kuisaliti Tanzania, lazima nikaoe Rwanda ili nipate uraia wa huko, nitarudi Tanzania kutimiza azma ya Rwanda uwezo wangu wa kutengeneza mifumo na programu za kompyuta nitashiriki na Rwanda kuiangamiza Tz, niliambiwa JKT hufundisha uzalendo na nimepita huko ila sijaona uzalendo wowote, Jeshi kama taasisi muhimu ya nchi
Hii imeacha nchi hii imepoteza raia wenye hali raia wenye uwezo wa kuleta maendeleo kila mtu anachuma bila kujali kizaz kijacho viongozi wamekuwa corrupt hatuogopi miaka ijayo vijana mtaani wanashindana kwa likes kwenye mitandao vijana wanatumia.pesa nyingi ovyo kwa.ajili ya starehe bila kujali.mstakabali wao deni la taifa.linaongezeka umasikini.na ujinga.unakuwa bila.juhud demokrasia inakuwa jeshi.linaangalia kwa nini lisianguke wakati ukifika.?
 
upuuzi mwingine bwana, Rwanda anaweza kuwa cheza game wajinga kama Burundi, Congo, ni lakini sio mziki wa Tanzania kubaki mkatae Tiss ndio the CIA of east Africa wanajua mpaka ratiba ya kuoga ya kagame
siyo hivyo tu mkuu, wanajua hadi mkewe Kagame yukoje
 
Back
Top Bottom