Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Mkuu Nkurunzinza mahili sana,anazijua sana mbinu chafu za jirani yake kama ni masuala ya covert au overt operations Nkurunzinza na kundi/comrade wake wanayajua sana,wasijidanganye kwamba naweza kuwachezea kitahisi.Nkurunzinza asingekomaa angetolewa madarakani kwa kile kilichoitwa nguvu ya umma.
Unanidanganya Rwanda wapo vzr kwenye technology kuliko wabongo
Huwezi ukaandika Rwandans hapo hapo ukaandika these, kwa kawaida huwa Rwandans are... bila ya kutumia these au these bila ya Rwandans lkn siyo siyo maneno yote mawili kwa pamoja!
Nitakuwa wa kwanza kuisaliti Tanzania, lazima nikaoe Rwanda ili nipate uraia wa huko, nitarudi Tanzania kutimiza azma ya Rwanda uwezo wangu wa kutengeneza mifumo na programu za kompyuta nitashiriki na Rwanda kuiangamiza Tz, niliambiwa JKT hufundisha uzalendo na nimepita huko ila sijaona uzalendo wowote, Jeshi kama taasisi muhimu ya nchi
Hii imeacha nchi hii imepoteza raia wenye hali raia wenye uwezo wa kuleta maendeleo kila mtu anachuma bila kujali kizaz kijacho viongozi wamekuwa corrupt hatuogopi miaka ijayo vijana mtaani wanashindana kwa likes kwenye mitandao vijana wanatumia.pesa nyingi ovyo kwa.ajili ya starehe bila kujali.mstakabali wao deni la taifa.linaongezeka umasikini.na ujinga.unakuwa bila.juhud demokrasia inakuwa jeshi.linaangalia kwa nini lisianguke wakati ukifika.?
Jamani Watanzania tufunguke vichwa kidogo; hivi jambo zito na kubwa kama hilo lisijulikane na vyombo mahsusi vya kiintelijensia hadi aandike huyo mwandishi?!!!! Muda wa propaganda mfu umeshapita kitambo; twendeni tukapige kura Jumapili kwa mustakabali wa nchi yetu; hizo article za kutishana zimepitwa na wakati.
wewe sio bure utakuwa mnyarwanda
I'm dreaming of becoming king maker,siku moja hili lengo litamia nisha jivua utanzania kutoka moyoni.
All tanzanians are deadHow the situation is today
Hahahaa say hello to SwaleheAll tanzanians are dead
We are only me and swalehe now
How the situation is today
[/QUOTEi
Is ...! Stigilas inajengwa, reli ndo iyoo ipo moro now, madege ndo usiseme, mabarabara ndo kabisaa yashajengwa, hospulitali, vituo vya afya na zahanati kila kona ya nchi, burigi ndo natonal park, mauwanja ya ndege ndo usipime, mameli ndo yashajengwa huko nyasa na huko viktolia mambo ni mwemwele, shule ndo usiseme njoo muige tuu kwa ujumla mambo ni fayaaaaa..... Lowasa sio habari ya mjini tena, kwa ujunla hapa Kazi tuuu.........Hahaaaaaaaa kama utani vile lakini ndo ukweli wenyewe ko propaganda zilishapita za wanyarwanda huku ni wouuuuuuuuhahaaaaa yaani kicheko tuuu.
RIP mttikila; hiki ndicho kikichoondoa uhai wakena kujially Na Malawi kimyakimya.
Kuna Kitu Mtikila alikuwa anakijua ambacho pengine hatukichukulii serious