Tanzania-Rwanda: Silent war in Tanzania. Watanzania tuwe makini tusitumike bila kujijua...

hahahahaahhah hebu jaribu kuunganisha tu malawi na rwanda kijografia hawafikii ht mikoa mi 5 tz hyawafikii afu wajiunge watupige haingii akilinni hata kidogo acha kagame na upumbavu wake tanzania itabaki tanzania tu
Ila ujue Rwanda imewekeza bajeti kubwa kwenye silaha
 
Rwanda hawana ubavu wa kupigana na Tanzania,coz hats kiuzoefu hawajawahi kupigana vita zaidi ya vita vya wenyewe kwa wenyewe.
 
Ni vzuri kuwa na tabia ya kushuku kila kitu kwa sababu njia nzuri ya kumuangamiza afui yako ni kumfanya ajione kuwa anakumudu
 
hahahahaahhah hebu jaribu kuunganisha tu malawi na rwanda kijografia hawafikii ht mikoa mi 5 tz hyawafikii afu wajiunge watupige haingii akilinni hata kidogo acha kagame na upumbavu wake tanzania itabaki tanzania tu

UWEZO wa nchi au Watu kuwa na nguvu kubwa ya kupigana vita hautokani NA ukubwa WA jiografia ya nchi peke yake, Bali unatokana NA kuwepo kwa nyenzo, silaha, mbinu, Teknolojia NA wingi pamoja na ujuzi mahiri WA wapiganaji vita. Tusiidharau Rwanda NA Malawi eti KWA sababu ni vijinchi vidogo vidogo.

Kama huo ndio ukweli, basi wanajeshi WA Kambi ndogo ndogo za jeshi zilizokuwa chini ya Serikali za Majimbo nchini Urusi ya zamani (USSR) wasingekuwa NA UWEZO WA kujitenga NA kuunda nchi zingine mpya ndani ya Urusi yenyewe baada ya kuyapiga vibaya sana majeshi ya Serikali KUU ya Shirikisho ya Urusi enzi hizo za 1990's NA hatimaye yalifanikiwa kujitenga na kuunda nchi zingine mpya nyingi tu kama vile Ukraine, Kygystan, Uzbekistan, etc. Urusi yote ilisambaratika kutokana na kiburi cha kuvidharau vijeshi vidogo vidogo vya Serikali za majimbo/ mikoa vilivyokuwepo ndani ya nchi hiyo.
 
Amka ww urusi hakuvunjika kwa style hiyo[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
hahahahaahhah hebu jaribu kuunganisha tu malawi na rwanda kijografia hawafikii ht mikoa mi 5 tz hyawafikii afu wajiunge watupige haingii akilinni hata kidogo acha kagame na upumbavu wake tanzania itabaki tanzania tu
Mzee unavofikiria uwe unaangalia na mifano hai
Israel ilizipga nchi za Egypt,Lebanon,Syria,palestina ,na Jordan katka siku 6 tu.....
Najua utasema marekan alikua Nyuma yao
Mind you hata hizo nchi za Kiarabu urusi alikua Nyuma yao.....
Sasa unavolinganisha ukubwa na udogo ckuelewi

DRC na ukubwa wake bado hawawezi kukadhibiti kakikundi ka ADF .....Sasa je nchi na nchi je?
 
labda ni kweli Rwanda wanauwezo wa kuipiga Tanzania kijeshi lakini vip maisha baada ya hiyo vita ?

Tz baada ya kuipiga Uganda tuliiteka uganda yote na ikawa koloni letu (siku hizi ni rafiki yetu)
 
Unakosea unavolinganisha hivyo angalia uhalisia kuna vitu vingi vilikua nyuma ya israel google na tafuta historia hata hao waasi huko DRC kuna mataifa yako nyuma yao mi nalikataa hasa kwa nchi za afrika udogo wake ndo umaskini na nguvu ndogo yake
 
labda ni kweli Rwanda wanauwezo wa kuipiga Tanzania kijeshi lakini vip maisha baada ya hiyo vita ?

Tz baada ya kuipiga Uganda tuliiteka uganda yote na ikawa koloni letu (siku hizi ni rafiki yetu)
Ebu mkuu fikiria kuhusu UK....kanchi kadogo kaliko tawala robo tatu ya dunia....so in the same way
 
Unaangalia vitu vingi sio kwa dunia ya sasa wale walistaarabika kitambo na teknolojia yao ilikua juu hivyo wakatawala kirahisi tena kwa nyenzo mbalimbali kama elimu,dini na ideolijia zao zikawafanya wawe na nguvu
 
Nadhani umeshajibiwa

je na kwanini UK alipoteza nguvu
Hamna kilicho chini ya jua kinachodumu MILELE....lakini inawezekana kabisa...haijalishi kua ilipoteza nguvu !!lakin je n baada ya miaka mingap?? Je leo hii influence yake imekufa??c bado ipo
 
nimeshindwa nikujibu nini coz influence hata Tz tunayo sadc na Africa kwa ujumla
Hamna kilicho chini ya jua kinachodumu MILELE....lakini inawezekana kabisa...haijalishi kua ilipoteza nguvu !!lakin je n baada ya miaka mingap?? Je leo hii influence yake imekufa??c bado ipo
 
nimeshindwa nikujibu nini coz influence hata Tz tunayo sadc na Africa kwa ujumla
Actually nimeshindwa Cha kukurudishia ...naongelea globally ebu acha mihemuko mkuu
Ni influence gan tunayo kwa nchi Kama Namibia,Botswana,Angola,South Africa , Mauritius,au madagaska...
Mkuu unaelewa maana ya influence???.....
Yaan hata ushawishi kwa nchi ndogo Kama Malawi ,Mozambique au Zambia cdhan Kama tunayo!!....

UK in influence dunia nzima ....jumuiya ya madola na kwingineko ivi unafikiria makoloni ya uingereza yanaweza yakachomoa kwa UK??
Mkuu nadhan hujui maana ya ushawishi
 
UK anaushawishi gani kwa nchi za africa
kijeshi
kiuchumi na kisiasa zitaje hizo nchi
 

Sasa huu utumbo na ww vp
 
hawa nguchiro walikuwa na mawazo kama haya lakini walidondokea pua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…