Sammuel999
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,481
- 2,347
Full disclosure ....si somangi any Tanzanian reply above 1 paragraph until search a day Tanzania will have more economic power than Kenya ....sitawai soma!!...hakuna haja ya kujikasirisha kusoma upuzi ambayo hautanisaidia .......i just read one sentence alaf naweka Bonge la reply!!!...anywayDuh...ili povu ulilomwaga sijui umetumia sabuni gani, pole sana, badala ya kutuletea mapicha ya majengo marefu ambayo zaidi ya kutaka sifa za kijinga, ungetuletea ni asilimia ngapi ya wakenya ni unemployed(48%)watu wangapi Kenya wanakabiliwa na janga la njaa(4 Million), uchumi unakua kwa asilimia ngapi(4.8%), asilimia ngapi ya wakenya wameunganishwa na stima(64%), watoto wangapi Kenya bado wanakaa sakafuni(?), asilimia ngapi ya wakenya wanapata maji safi na salama(?), usalama wa raia na mali zao ukoje, network ya barabara za lami ukoje, pengo kati ya tajiri na masikini likoje, linaongezeka au linapungua?, huo ndiyo unapitwa inclisive economy, sio kusema mtu mmoja analipwa Shs.Millioni 3, wakati nurses na waalimu wa vyuo vikuu wapo kwenye migomo isiyoisha.
Kuhusu 52% ya bajeti kutumika kulipia mishahara ni kweli na tatizo hilo wameliona tume ya Kenya baada ya kujifunza kwa Magufuli na imeamua kupunguza mishahara hadi kufikia35%, sasa kama wewe unabisha, wenzako wenye akili wameona ni tatizo.
Vipi mgao wa maji Nairobi umepingua?, kama hata maji ya kunywa katika miji mikubwa ni shida, unaona fahari gani kutuonyesha mijumba mirefu?, kama hata ki
ometa moja ya reli imeshindikana kujengwa na pesa ya ndani badala yake mnaenda kukopa na kuongeza serikali madeni yanayosababisha Kenya kuwekwa kwenye kundi la nchi zisizokopesheka(Moody's report), inapataji ujasiri wa kufuraia majumba marefu yanaypjengwa na capitalists?
Kenya GDP is 75bn$
Tanzania is 48bn$ dont @ me
By 2022 Kenya itakuwa 118bn$ Tz itakuwa 61bn$ by 2030
Si mnajua venye turkey ilipanda??
2003 turkey ilikuwa 179bn$
2003 greece ilikuwa 201bn$
2017 turkey iko 871bn$
2017 greece iko 196bn$
My fren sioni mkiwai tufikia so sema unacho sema uende
Hata mueke train gani hapa ....tutakuwa hapa 2030 mkipewa vyuma bandia mueke kwa 40km rail ambayo mliweza kumaliza nyingine ikiwa U/C
Tutakuwa hapa 2020 Nairobi Naivasha iki Launchiwa na bado SGR ya Tanzania haijaanza