Tanzania SGR Bridges vs Kenyan

Yes....nani amekuambia bangi ni mbaya?

Disapprove my facts or go on!!!

Geeet!!
Sijasema kwamba bhangi nimbaya, ila ninataka kujua, kwa sababu kuna wakati nilikua ninavuta, nilikua ninajiona mimi ndiyo kila kitu, hakuna mwengine zaidi yangu.

Turudi kwenye mada, unaposema underground SGR Nairobi Naivasha $1.5B unamaanisha kwamba kutoka Nairobi hadi Naivasha train itapitacha chini ya ardhi, au unazungumzia tunnels kama zile zilizojemgwa na wachina 1970 na wachina katika reli ya TAZARA?
 
Over the last 4yrs Kenya has read a total of 87bn$ budget

Uhurus infrastructure projects countrywide cost a total of 5.5trn kshs = 52bn$ mostly borrowes money from china between now and 2022 Kenyas entire budget will be 126bn$ by 2027 itakuwa 227bn$ total budget read in 10yrs ......

Of this hata tukitoa 7bn$ a year for development projects itakuwa between 40-70bn$ worth of project uki account corruption!!...hamuezi kutufikia !!!!

220bn$ budget in 10yrs to 2027 ukitoa 52% kuenda reccurent kulioa mishahara ya wafanyakazi ya uma .....inamaanisha kutakuwa na 114bn$ in Kenyan people circultion kwa ma benki, retail centres etc!! More money for development!!

Si you are familiar witj gambling and Stock exchange

Mtu ako na mia moja akiweka stake ya 1.08 anapata shillingi nane pekee juu

Mtu ako na 114,000,000,000$ akiweka 1.08 stake anapata 123,120,000,000

That is 9.12bn$ increase that is why Kenyas 75bn$ GDP hata tuki grow na 4% hamtatufikia for atleast 20yrs......
 
Hivi vimiradi vyote ulibyotaja, na vingine vitakavyokuja miaka kumi ijayo, vinaongia kwenye mradi mmoja tu wa LNG plant unaojengwa Mtwara wa kuchakata gas asilia, utakaogharimu $30B, na sio mkopo kama ilivyo miradi yote ya Kenya uliyotaja, maana yake ni pesa inayoingia nchini kama ilivyo, hakuna kuilipa wala hakuna riba,
 
Have you heard of Lappsset project??
Worth 25bn$

Ama SGR ya lappset 13bn$ mpaka addis ababa?
Ama
Titanium mines kule malindi worth 100bn$ ?
Ama 1.2bn barrels of oil already in turkana worth 62bn$
Na unajua galana itakuwainazalisha mpaka 10bn$ of refined goods??

Maaaan Shut up!!!

Unaanza kububujika!!

Tanzania mumekua na minerals toka before independence mko wapi sai??.
 
No one with live brain can fund LAPSET, actually the project is dead from the day go after Uganda decided to use Tanga instead of Lamu, and Ethiopia went through Djibouti way, now is only crazy Kenyan leaders trying to flex muscles just to please their citizens after terrible failure.
 
Eti Titanium and Nickle worth $100B, are you Schizophrenic patient?
 
Kenya is 63bn
Tanzania 55bn
Kenya and Tanzania are both poor countries.
 
1.2B barrel of oil from which country?, it was 600 barrels, with late addition discovery of 200 barrels to make total 800 barrels, always receivable is only 30%, therefore only expected amount of barrels expected is 300barrels, remember Uganda with 6B, they expect to get only 1.6B barrels.
 
Again 800mn barrels is 41bn$
So you are really making own goals hapa
 
I read the first sentence, I remembered few months ago The Israelites (from desert country), waliwapa mahindi ya msaada, Ili kuokoa millions of Kenyans dying of Hunger.
 
I read the first sentence, I remembered few months ago The Israelites (from desert country), waliwapa mahindi ya msaada, Ili kuokoa millions of Kenyans dying of Hunger.
Really dont care about your opinion or any other confused tanzanian that is my whole point you could read the first letter and i wouldnt give two mnyambos!-(shits is too much to give for your opinions) third world!!
 
Are you building coal plant in 21st century?
 
Again 800mn barrels is 41bn$
So you are really making own goals hapa
The problem you are not knowledgeable on the matata, only 30% of discovery can be siphoned from the ground, so for Kenya only expect 300barrels, too little for current price
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…