Prince leonny
Senior Member
- Aug 31, 2017
- 102
- 89
Uganda will be building electric rail with the context that they have signed, therefore they wont need additional cost for electrification, by the time the rail reaches kampala, Kenya is also expected to have aready electrified ..i.e by 2020..
Tomorrow I will post some renders of our bridges in phase 2A , phase 2A will have the highest bridge in EA with a height of 120m...
Meanwhile enjoy some of the stations you can expect from the other phases along the kenyan route ...
Phase 2A,B,C, 3A
View attachment 601381
Kisumu
View attachment 601383
Malaba
View attachment 601385
Naamini hili jambo ni jema na tutafanikiwa kuna watu wanataka wakilala wakiamka wakute tayari tren inatembea ilhali yeye yupo kwenye ajira mwaka wa 10 ndo kwanza anamiliki kiwanja cha kujengea nyumba hata mchanga tu hajamwaga wala ramani ya nyumba hana tupende vyakwetu siku zote jiwekee matumaini ya kushinda na kuwa na mafanikio makubwa
Have checked it out, Tibet high altitude railway, really niceKuna documentary sahii KBC ya chinese railways mnaezatazama...hakuna tofauti na sgr ya kenya kWA madaraja
By the time it gets built u will have built exactly 41 kilometers and wondering where the rain started beating youWatch out Malaba-Kampala no funds so availed far. And until u have over around $2 bln is when that electrification will take place so total cost for all ur envisaged SGR network + $2 bln plus. And who to pay that gigantic loan? Kenyans ofcourse. U will be so stupid to not understand what we r arguing overhere..
Upupu ndo umeongea,Tz tuna watu smart wengi sana,yeye atafanya zamu yake watakija wengineMi nadhani tungebadili katiba yetu kwa rais wetu huyu atawale japo miaka 20 nna imani tutakuwa mbali sana.
How did you come up with the +$2B cost? Electrification costs 15% of the rail cost....Watch out Malaba-Kampala no funds availed so far. And until u have over around $2 bln is when that electrification will take place so total cost for all ur envisaged SGR network + $2 bln plus. And who to pay that gigantic loan? Kenyans ofcourse. U will be so stupid to not understand what we r arguing overhere..
Ukiuliza engeneer yeyote atakwambia same design different materials.... Kumbuka hilo daraja lilijengwa 1850!!! sikuchukua zaidi ya sekunde 30 kupata hio picha, nina uhakika ukiruka miaka miamoja baadae yani 1950 utapata walikua wanatumia concrete and it will look very similar to the bridge on your renders, na kama hutapata picha inayofanana hivyo basi ujue mko taabani, as in no self respecting engeneer will want to implement(more like experiment) a civil engineering technology fete that has never been theorised and proven to work for atleast 2 decades.. I mean if they are building a new kind of bridge that they have never built before even back in their country, would you want to be labrats???? I don't think your govt civil engeneers would agree to something like that..Khaa umeanza kwa ubishi tu...yaani umefukunyua picha ili mradi tu upate kulinganisha! Sasa daraja la mbao na steel+concrete wapi na wapi?
Kutoka Mwanza kwenda Uganda reli itapita ziwa Victoria kwenye maji sasa hapo sijui utasema nini, Mungu abariki mipango yetu itimie.Haya sasa mmeongelea hilo daraja lenu moja, nimewaonyesha la NNP vile litakavo kua
Sasa tuangalie madaraja ya phase 2 Nairobi-Naivasha
Madaraja yenye urefu wa 120m mtawezana kweli
View attachment 601780 View attachment 601781 View attachment 601782
Kigamboni port? Never heard of it unless u meant Bagamoyo port that had to be suspended n priority given to the existing ones. As a result we snatched Uganda pipeline n plus a share of Uganda's SGR project as ports at Port Belly n Mwanza r expanded to link the rail across Lake Victoria.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoka Mwanza kwenda Uganda reli itapita ziwa Victoria kwenye maji sasa hapo sijui utasema nini, Mungu abariki mipango yetu itimie.
Mimi ninadhani Kenya mngejiuliza maswali mawili ya msingi na mngewaomba viongozi wa Kenya kutoa majibu ya kisomi sio kishabiki kama wanavyofanya siku zote:Ukiuliza engeneer yeyote atakwambia same design different materials.... Kumbuka hilo daraja lilijengwa 1850!!! sikuchukua zaidi ya sekunde 30 kupata hio picha, nina uhakika ukiruka miaka miamoja baadae yani 1950 utapata walikua wanatumia concrete and it will look very similar to the bridge on your renders, na kama hutapata picha inayofanana hivyo basi ujue mko taabani, as in no self respecting engeneer will want to implement(more like experiment) a civil engineering technology fete that has never been theorised and proven to work for atleast 2 decades.. I mean if they are building a new kind of bridge that they have never built before even back in their country, would you want to be labrats???? I don't think your govt civil engeneers would agree to something like that..
Dah kwa kweli Vivaa Magufuli leo nimeshangaa kumbe mpaka hii phase two ya Moro to Dom financier ni serikali Dah well done president ni kweli tunapaa ila kwa zijazo Nashauri tutafute soft loans.
Nikupe tu taarifa saivi construction ipo in action bandari ya Dar expansion two times, Mtwara rebuild and expansion right now, Tanga rebuild and expansion right now for Uganda pipeline, Nyasa two bigger vessels already in operation for logistics, one for passengers in building right now, lake Tanganyika Kigoma port extension and EPZ building in building right now, Mwanza biggest ship for passengers and logistics to be built next yearGeza kule kwa mada ya 'LAPSSET tracking' ulisema
Well I have news for you, Mbali na reli ya Kenya kufika hadi Kampala, pia sisi tutajenga bandari kubwa kabisa pale kisumu kusafirisha mizigo na mafuta kwa miji yote kando ya L.Victoria .... So dont even waste your time, mnapoteza muda na pesa, Mombasa port is twice as big as Dar port, Kisumu port will be bigger than Mwanza port,
View attachment 601785
Tena isitoshe ukiangalia map, Kisumu iko karibu na Kampala kuliko Mwanza... Mizigo yenu itakua inachukua 72hours kufika kampala kutoka mwanza kubitia maji, yetu itakua inaenda na reli kwa masaa sita kutoka kisumu inafika kampala, tena isitoshe pia tukiipeleka ma meli kutoka bandari ya kisumu itachukua 48hours kufika/////
Sijui utasema nini, Mungu kweli abariki mipango yetu pia
Angalia bonge la bandari litakalojengwa Kisumu
View attachment 601786
Kuna mipango yakuifanya Kisumu iwe the commercial hub ya miji yote ya L.Victoria,,,, mna mipango gani na mwanza??? Kisumu to become EAC commercial capital, Uhuru says | TradeMark East Africa
Mishipa ya nini kujaribu kujenga na pesa zako wakati kuna priority nyengine.... Kwa mfano kenya ni nchi ina population ndogo kushinda Tanzania, Lakini ukiangalia bajeti ya elimu ya Kenya ya elimu pekee ni takriban $2Billion dollars, bajeti ya Tanzania ya elimu ni $600M .... Ukilinganisha bajet ya afya ni hivyo hivyoMimi ninadhani Kenya mngejiuliza maswali mawili ya msingi na mngewaomba viongozi wa Kenya kutoa majibu ya kisomi sio kishabiki kama wanavyofanya siku zote:
1)Kwanini Kenya imeshindwa kulipia japo gharama ya phase moja ya SGR ili kuepuka riba kubwa inayotokana na madeni, hadi sasa deni la taifa linatishia sana uwezekano wa Kenya kukopesheka
2)Kwanini ujenzi wa SGR ya kenya ukikamilika hadi malaba, na kama wataamua kuweka na umeme baadae inaweza kufikia $11B, wakati ile ya Tanzania hadi Mwanza inatarajia kugharimu $6B, wakati ina zaidi ya 200km ndefu zaidi ya Kenya?
Vipi kuhusu gharama kuwa mara mbili ya ile ya Tanzania?, au wakenya hawatokubali gharama za ujenzi ziwe nafuu kama ulivyosema?. Katika mradi huu tu wa ujenzi, Tanzania itaokoa $5B ambazo wakitaka wanaweza kuongeza bajeti za afya na elimu mara mbili ya hiyo ya Kenya, hapo bado sijaweka riba katika hiyo $11B ambayo kenya italipa, kifupi huu mradi peke yake Tanzania itaokoa zaidi ya $7B ambazo zitapelekwa katika mradi wa umeme wa maji utakaozalisha 2000 MW mwaka 2020Mishipa ya nini kujaribu kujenga na pesa zako wakati kuna priority nyengine.... Kwa mfano kenya ni nchi ina population ndogo kushinda Tanzania, Lakini ukiangalia bajeti ya elimu ya Kenya ya elimu pekee ni takriban $2Billion dollars, bajeti ya Tanzania ya elimu ni $600M .... Ukilinganisha bajet ya afya ni hivyo hivyo
Kama tungetakatungejenga SGR yote na pesa zetu lakini ingebidi tupunguze bajeti zengine kama hio ya elimu, jambo ambalo haliwezi fanyika kabisa hapa kenya manake hakuna mkenya atakubali bajeti ya vitu kama elim kupunguzwa, infact watu hua wanataka iongezwe zaidi
Kwa taarifa yako Tanzania budget ya elimu ya primary mpaka ordinary level secondary serikali inatoa billion 40 kila mwezi sasa piga kwa mwaka then jumlisha advance level pamoja na colleges and higher education.Mishipa ya nini kujaribu kujenga na pesa zako wakati kuna priority nyengine.... Kwa mfano kenya ni nchi ina population ndogo kushinda Tanzania, Lakini ukiangalia bajeti ya elimu ya Kenya ya elimu pekee ni takriban $2Billion dollars, bajeti ya Tanzania ya elimu ni $600M .... Ukilinganisha bajet ya afya ni hivyo hivyo
Kama tungetakatungejenga SGR yote na pesa zetu lakini ingebidi tupunguze bajeti zengine kama hio ya elimu, jambo ambalo haliwezi fanyika kabisa hapa kenya manake hakuna mkenya atakubali bajeti ya vitu kama elim kupunguzwa, infact watu hua wanataka iongezwe zaidi
Hata sisi mbali na bujeti tunapanga kuongeza hadi 3000MW by 2020....Vipi kuhusu gharama kuwa mara mbili ya ile ya Tanzania?, au wakenya hawatokubali gharama za ujenzi ziwe nafuu kama ulivyosema?. Katika mradi huu tu wa ujenzi, Tanzania itaokoa $5B ambazo wakitaka wanaweza kuongeza bajeti za afya na elimu mara mbili ya hiyo ya Kenya, hapo bado sijaweka riba katika hiyo $11B ambayo kenya italipa, kifupi huu mradi peke yake Tanzania itaokoa zaidi ya $7B ambazo zitapelekwa katika mradi wa umeme wa maji utakaozalisha 2000 MW mwaka 2020
Wacha kunichanganya nipatie bajeti nzima ya wizara ya elimu Okies na link, hazitapita $600m na ikizidi ya mwaka huu mwisho itakua $800m ...Kwa taarifa yako Tanzania budget ya elimu ya primary mpaka ordinary level secondary serikali inatoa billion 40 kila mwezi sasa piga kwa mwaka then jumlisha advance level pamoja na colleges and higher education.
Kuhusu afya last year ilikua 30 billion for only drugs and medical equipments saivi ni 220 billion sasa nenda convert na bado kwenye Huduma za afya Kenya hamleti pua yenu Tanzania we are way far