Chati iliwekwa na wizara ya uchukuzi ya Uganda wakifanya comparison kabla ya kuamua ni reli ghani watatumia kuunganisha na pwani. Rena link ya hiyo chati ililetwa na geza ulole Kyle kwa thread ya cost comparizonNinafahamu taarifa zake nyingi huwa anazitoa sources za Kenya ambazo sio neutral, kwa mfano hiyo hapo ameitoa kwa jamaa fulani mkenya alitoa chati akalinganisha reli za Kenya, Tanzania na ethiopia, ukisoma utacheka hadi ukae chini, ila wakenya ndiyo wanapenda kusifiwa hata kama ni uongo ulio wazi wao wala hawajali,
Lakini sio mganda ambaye aliandika ile chati, hata kama iliwekwa na wizara ya Uganda, kwa jinsi ilivyoandikwa kiushabiki, ni rahisi sana kugundua ni mtu wa nchi gani aliyeandika[emoji1] [emoji1]Chati iliwekwa na wizara ya uchukuzi ya Uganda wakifanya comparison kabla ya kuamua ni reli ghani watatumia kuunganisha na pwani. Rena link ya hiyo chati ililetwa na geza ulole Kyle kwa thread ya cost comparizon
Just cause umeona picha moja haimanishi hivyo ndo itakua... Kama vile mmejaribu kutumia picha ya daraja moja ku compare na madaraja ya kenya Ambato nimewaonyesha yako na designs tofauti kulingana na mazingira kama pale NNP au kuelekea Naivasha ambapo tatamis marefu zaidi na design tofauti...Wanajitekenya na kujichekesha! Picha zimewekwa humu lakini mpumbavu anathubutu kuropoka uongo.
Don't shoot the messenger!Sio kweli, cost/km ni kwa rail line yote.
Iliandikwa na Monitor a sister company to the Nation! Sasa inakula kwao ukweli unajianika polepole...200km/hr kudadeki! Yaani unaenda Mwanza toka Dar na kurudi ndipo garimoshi toka Mombasa linafika Malaba. Mchina kamfanya vibaya Mkenya....Lakini sio mganda ambaye aliandika ile chati, hata kama iliwekwa na wizara ya Uganda, kwa jinsi ilivyoandikwa kiushabiki, ni rahisi sana kugundua ni mtu wa nchi gani aliyeandika[emoji1] [emoji1]
Hapa tunafanya gamu ya average kulingana na bei za dar-moro-dodoma, Rena isitoshe ukipiga hio hesabu utapata dar-moro ni ghali kuliko moro-dodoma... Dar moro hakuna milima inayohitaji madaraja mengi ndio maana hakuna hata render moja ya madaraja yatakayo jengwa dar-moro kwababu badaraja ukichanganya yote ya dar-moro hayafiki hata 5km.... Naona ndo sababu wamekimbilia kutoa picha za daraja za phase 2 wakati hata phase 1 haijaanzwa kuwekwa vyuma na hakuna hata picha moja ya phase 1Kwanini usifanye wewe unataka nikufanyie mimi, ninachojua ni kwamba wastani wa nusu ya reli imegharimu $3.1B, kwa hesabu za haraka nusu iliyobaki itatumia kiasi hicho hicho, kumbuka Dar, reli itapita juu ili ipishane na watu na Magari zaidi ya urefu wa Kilometa moja na nusu, hivyo kipande cha Dar hadi Dodoma kuwa ghali zaidi kuliko Dodoma Mwanza
Nop iliandikwa na min.transport na Sgr uganda, hao monitor walitoa ripoti tu.Iliandikwa na Monitor a sister company to the Nation! Sasa inakula kwao ukweli unajianika polepole...200km/hr kudadeki! Yaani unaenda Mwanza toka Dar na kurudi ndipo garimoshi toka Mombasa linafika Malaba. Mchina kamfanya vibaya Mkenya....
Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
Nilishasema huko nyuma atalizwa mtu na hizi project mbili kinzani yaani Mombasa-Malaba-Kampala vs Dar-Mwanza/Dar-Isaka-Kigoma-Bujumbura/Kigali na naona hilo linaanza kujidhihirisha wazi yetu ikigonga speed 200/h nina uhakika Uganda 90% cargo watapitisha Tanzania. Aisee JUBILEE na Wachina wanawafinya Wakenya vibaya mno...
Hilo daraja ni la phase one, mradi ni design and build, saivi ndio wapo kwenye designing ya phase mpya waliyopewaHapa tunafanya gamu ya average kulingana na bei za dar-moro-dodoma, Rena isitoshe ukipiga hio hesabu utapata dar-moro ni ghali kuliko moro-dodoma... Dar moro hakuna milima inayohitaji madaraja mengi ndio maana hakuna hata render moja ya madaraja yatakayo jengwa dar-moro kwababu badaraja ukichanganya yote ya dar-moro hayafiki hata 5km.... Naona ndo sababu wamekimbilia kutoa picha za daraja za phase 2 wakati hata phase 1 haijaanzwa kuwekwa vyuma na hakuna hata picha moja ya phase 1
Kwa sasa abiria 160km/h wakati mizigo 120km/h wakati ule mtambo wa gongo wa Kinyang'au 100km/h abiria 80km/h mizigo. Piga mahesabu mwenyewe uone ninachosema! [emoji23] [emoji115]Sidhani kama train ya Mizigo itakuwa na hiyo speed, hiyo itakuwa kwa Passenger trains,
Kenya ni average ya 120km/hr abiriaKwa sasa abiria 160km/h wakati mizigo 120km/h wakati ule mtambo wa gongo wa Kinyang'au 100km/h abiria 80km/h mizigo. Piga mahesabu mwenyewe uone ninachosema! [emoji23] [emoji115]
Hapo juu umekua ukiongelea dar-makutopora ukasema sijui itakua na culverts 123 na madaraja 243 alafu ukaweka picha za daraja, sasa ilikua unataka tuelewe nini? hatuwezi kusoma akili yako banaHilo daraja ni la phase one, mradi ni design and build, saivi ndio wapo kwenye designing ya phase mpya waliyopewa
Kwanini upo sana interested na madaraja au kujua kipande kipi kipo ghali zaidi ya kipi, reli yote toka Dar-Mwanza ni ya Tanzania, jumla ni 1,200+km na itagharimu $6.3B, hilo ndiyo la msingi, haiwezekani phases zote zikalingana, kwa sababu vinatofautiana sana, ukichukua hiyo pesa gawanya kwa urefu huo utaona kila kilometa mmoja ni kiasi gani, ila kuna sehemu itakuwa ghali zaidi na kwengine kutakuwa cheaper, hilo ndiyo la msingi, sasa kutaka kujua kuna madaraja mangapi Dar-Moro, hiyo unakuhusu nini?Hapa tunafanya gamu ya average kulingana na bei za dar-moro-dodoma, Rena isitoshe ukipiga hio hesabu utapata dar-moro ni ghali kuliko moro-dodoma... Dar moro hakuna milima inayohitaji madaraja mengi ndio maana hakuna hata render moja ya madaraja yatakayo jengwa dar-moro kwababu badaraja ukichanganya yote ya dar-moro hayafiki hata 5km.... Naona ndo sababu wamekimbilia kutoa picha za daraja za phase 2 wakati hata phase 1 haijaanzwa kuwekwa vyuma na hakuna hata picha moja ya phase 1
Kumbuka stima kutoka kampuni ya kusambaza umeme unalipwa kulingana na tariff... Tuseme Tz SGR itatumia 300MW, kampuni ya umeme itaitisha pesa ya hizo 300mw, kwahivyo ni lazima tz-sgr ipate faida ya kutosha kulipia hio stima... Kama hawarakua na faida ya kutosha na wakose kulipa stima, kampuni ya stima itachukua loss hiyo na kuipitisha kwa mwananchi, mtaongezewa kodi ya stima ili mlipie hio loss ya 300mw ...Sidhani kama train ya Mizigo itakuwa na hiyo speed, hiyo itakuwa kwa Passenger trains,
Actually 1960s technology, unajua hawa watu wana ushamba wa kujikweza. Vitu vyote anavyofanya Mchina leo Kenya, alifanya Tanzania 1960s mpk hata tunnels kwa Cape Gauge Railway ambayo ni just fewer inches narrow. Ujinga ni mali yao
And fuel? Even if u produce at home market price dictate the price. Acha kuwa mpumbavu unajiaibisha...Kumbuka stima kutoka kampuni ya kusambaza umeme unalipwa kulingana na tariff... Tuseme Tz SGR itatumia 300MW, kampuni ya umeme itaitisha pesa ya hizo 300mw, kwahivyo ni lazima tz-sgr ipate faida ya kutosha kulipia hio stima... Kama hawarakua na faida ya kutosha na wakose kulipa stima, kampuni ya stima itachukua loss hiyo na kuipitisha kwa mwananchi, mtaongezewa kodi ya stima ili mlipie hio loss ya 300mw ...
Kwanini unapanga wewe vile unavyotska au unavyofikiria?, kama Magufuli alimpatia kitalu Dangote achimbe mwenyewe makaa ya mawe ili gharama iwe chini kuliko kupitia wakala wa serikali, kitu gani kitamshinda Magufuli kuipe umeme wa bure au gharama nafuu SGR ili gharama ziwe cheap?, kumbuka tunajenga bwawa kubwa litakalozalisha umeme wa maji 2100MW, na tutaongeza umeme wa gas, ikifika 2020 ambapo Dar-Moro inategemewa kuanza, Tanzania inategemea kuwa na 5000MW, mwingi ni kutokana na maji ambao is the cheapest source of electricity.Kumbuka stima kutoka kampuni ya kusambaza umeme unalipwa kulingana na tariff... Tuseme Tz SGR itatumia 300MW, kampuni ya umeme itaitisha pesa ya hizo 300mw, kwahivyo ni lazima tz-sgr ipate faida ya kutosha kulipia hio stima... Kama hawarakua na faida ya kutosha na wakose kulipa stima, kampuni ya stima itachukua loss hiyo na kuipitisha kwa mwananchi, mtaongezewa kodi ya stima ili mlipie hio loss ya 300mw ...