Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tz sec school kuna ordinary level and Advinced levelHigh school
Compulsory subjects
English :
Kuna written English
Kuna Set book i did River between and a norwegian book.
Kiswahili
Written Swahili paper 1
Fasihi na Isimu jamii Paper 2
Setbook: Nlifanya Utengano na Nimesahau hyo ingine jina Paper 3
Mathematics paper 1 and 2 :
cant remember kama ilikuwa section same yote
Chemistry
paper 1
Paper 2
Practicals at the laboratory 30marks in our school it was compulsory identifying chemicals and acids by hiw the react to different substances
Biology
paper 1
Paper 2
Practicals at the laboratory 30marks in our school it was compulsory dissecting plants, how to use a micro scope, identifying plant and animal species
Physics
paper 1
Paper 2
Practicals at the laboratory 30marks in our school it wasn't compulsory
Geography
paper 1
Paper 2
History
paper 1 -about Kenya,government and Africa
Paper 2 about world wars etc
I did history and lengad geog!
Did CRE Nkaachana na phyic
CRE and or Islamic Education
paper 1
Paper 2
in our school it wasnt compulsory
Agriculture
paper 1
Paper 2
Practicals at the laboratory 30marks in our school it wasnt compulsory planting crops and getting marks by stages of growth
Business studies
paper 1
Paper 2
in our school it was compulsory
Computer studies
paper 1
Paper 2 practical at the COMPUTER LAB
in our school it wasnt compulsory
Music
paper 1
Paper 2 singing Practicals or using those instruments
in our school it wasnt compulsory
Home science
paper 1
Paper 2 Cooking pracs
in our school it wasnt compulsory
Power Mechanics
paper 1
Paper 2: Studying a car Engine and Tractor practicals Fixing tractors mostly People who do Engineering in University do this subject!
in our school it wasnt compulsory
Electricity
paper 1
Paper 2 Circuit Practicals on electricity for people who will do engineering
in our school it wasnt compulsory
Woodwork
paper 1
Paper 2 kufanya kazi ya useremala
in our school it wasnt compulsory
I have a feeling nimesahau zingine its been a while since i finishes almost two decades
Anyway pia our school was a co- curriculum power house
The following clubs reached Nationals and some International
Europe or EAC or SA
DRAMA CLUB KAKAMEGA HIGH SCHOOL WON GOLD 2002-2004,2006 2008-2010
MUSIC CLUB WON GOLD 3 TIMES
RUGBY
7s aside Gold Kenya 17 times National
(Kenya National Rugby team 7s and 15s has 38members from Kakamega highschool)
3 times EAC games and 1s Europe games
15s rugby we have won 12 times
Hockey we have participated in all Nationals Never won
Football
Yall know
Green comandoes GC
Won National football since 1992-2012
Participated and won several EAC games and SA games
Tennis and other indoor games provincials
Handball, Volley ball, Basketball all Nationals when i was there
Red cross
St.Johns
Scout
Math club
Phyc club
Comp club
SDA
etc
KAKAMEGA African HIGH SCHOOL WAS FOUNDED IN 1915 by Chapman
Started taking Africans in 1932
Notable Alumni
Kenneth marende speaker National assembly
Najib Balala ministry of tourism
Wycliffe Oparanya Governor kakamega
Dennis Oliech
Also Amina Mohamed CS family lives next to the school She was born in Kakamega
anyway poleni kwa kuweka maneno machache bout katch but ya gatsa know am proud of me school!!
Kafrica, kwanini unapenda kutunga uongo na kulazimisha mambo yasiyowezekana ili ujiliwaze?, kwanza speed ya Ethiopia SGR sio 160km/hr, ni 120km/hr kama ya Kenya, pili unapojenga reli uwezi kusema unajenga reli ya speed ya 120Km/hr, with provision up to 200km/hr, kama inauwezo wa kupitisha kasi ya 200km/hr, hiyo sio tena reli ya 120km/hr, kwa sababu kinachofanya iwe ya speed ndogo, ni centrifuge and centripetal forces, ambazo zinategemea very much diameters za curves na ukaribu wa hizo curves zenyewe, kama reli ya Kenya na Ethiopia ukiziangalia, lazima curves zitakuwa karibu ulilinganisha na Tanzania, haitotokea hii ya Dar-Moro ambayo design yake ni 160km/hr, ikimbie 200km/hr, vivyo hivyo, hiyo iliyofanyiwa design ya 120km/hr, haitokaa ifikie 160/hr, labda mvunje reli mpunguze hizo curves na radius zake, kumbuka hii ni purely science of motion, usiingize maneno mengi ya kutaka kuchanganya watu, watu wa aina yako ni hatari sana kuwa driver wa hizi train, kwa sababu hutofuata maelezo ya kisayansi badala yake utatunga yako.Hayo yote sawa. Swali ni kulingana na wewe design speed ya kenya ni ngapi... ?
Manake Ethiopia iko ma minimum curvature ndogo zaidi Kuliko kenya na yao ni average of 160km/hr
CC:
Kafrica, kwanini unapenda kutunga uongo na kulazimisha mambo yasiyowezekana ili ujiliwaze?, kwanza speed ya Ethiopia SGR sio 160km/hr, ni 120km/hr kama ya Kenya, pili unapojenga reli uwezi kusema unajenga reli ya speed ya 120Km/hr, with provision up to 200km/hr, kama inauwezo wa kupitisha kasi ya 200km/hr, hiyo sio tena reli ya 120km/hr, kwa sababu kinachofanya iwe ya speed ndogo, ni centrifuge and centripetal forces, ambazo zinategemea very much diameters za curves na ukaribu wa hizo curves zenyewe, kama reli ya Kenya na Ethiopia ukiziangalia, lazima curves zitakuwa karibu ulilinganisha na Tanzania, haitotokea hii ya Dar-Moro ambayo design yake ni 160km/hr, ikimbie 200km/hr, vivyo hivyo, hiyo iliyofanyiwa design ya 120km/hr, haitokaa ifikie 160/hr, labda mvunje reli mpunguze hizo curves na radius zake, kumbuka hii ni purely science of motion, usiingize maneno mengi ya kutaka kuchanganya watu, watu wa aina yako ni hatari sana kuwa driver wa hizi train, kwa sababu hutofuata maelezo ya kisayansi badala yake utatunga yako.
Wala hakuna kuweka umeme wala nini, unajua serikali ya Kenya iko very poor in planning, hawakuwa kabisa wakifikiria umeme, kwa sababu hakukuwa na sababu yoyote ya kujenga reli ya diesel wakati walikua na uwezo wa kujenga ya umeme moja kwa moja, na kama sababu yao ni kwamba hakuna umeme wa kutosha, jambo ambalo sio kweli, wangejenga lakini wakatumia hizo locomotive za diesel lakini miuondombinu ya umeme tayari ipo, hatahuku Tanzania, tutakuwa na uwezo wa kutumia diesel engine katika reli hiyohiyo ya umeme.mkuu mambo y centripetal and centrifuge forces umenikumbusha mbali Enzi hizo niko shule.
mchina mjanja anaita this CHINA CLASS 1 watu wanaingia mkenge, na inabidi wakiweka stima wanunue na locomotives za stima, au watakuja kusema walizonazo kuna option ya ku-upgrade to electric. dah kenya bwana.
Sasa kama watu wako site na kazi inaendelea unawezaje kuita mradi wa kusadikika.Nadhani hizo 26 km's ni zile initial proposed project layouts. Kusafisha maeneo na kuweka kambi ni vitu kama hivyo pale ambapo rails za SGR zitapita.
Sidhani kama ujenzi kamili wa kulaza, kutandaza na ujenzi wa madaraja effectively umeanza.
I do stand to be corrected.
Hilo lilijulikana Mkuu wao mpango wao ulikuwa wa treni za makaa ya mawe na diesel hiyo umeme ni mihemko baada ya kuona kwetu,nilichokiona ni roho za kichawi kuwajaa kila zuri kutaka na kuiga.Wala hakuna kuweka umeme wala nini, unajua serikali ya Kenya iko very poor in planning, hawakuwa kabisa wakifikiria umeme, kwa sababu hakukuwa na sababu yoyote ya kujenga reli ya diesel wakati walikua na uwezo wa kujenga ya umeme moja kwa moja, na kama sababu yao ni kwamba hakuna umeme wa kutosha, jambo ambalo sio kweli, wangejenga lakini wakatumia hizo locomotive za diesel lakini miuondombinu ya umeme tayari ipo, hatahuku Tanzania, tutakuwa na uwezo wa kutumia diesel engine katika reli hiyohiyo ya umeme.
Waliposikia Tanzania inajenga ya umeme kwanza walibisha, baadae walipoona ni kweli, wananchi wengi wa Kenya wakaanza kuisakama serikali yao, ndipo pale ili kuwatuliza wananchi wakawaambia msiwe na wasiwasi tutaweka umeme msijali, sio rahisi kuanza tena kununua locomotives wakati sasa hivi wamenunua locomotive nyingi za diesel, pili wachina wanaendesha reli ya Kenya kwa kipindi cha miaka kadhaa, mchina hawezi kuingia tena gharama ya kuweka umeme wakati lengo lake ni kutengeneza faida haraka
Wala hakuna kuweka umeme wala nini, unajua serikali ya Kenya iko very poor in planning, hawakuwa kabisa wakifikiria umeme, kwa sababu hakukuwa na sababu yoyote ya kujenga reli ya diesel wakati walikua na uwezo wa kujenga ya umeme moja kwa moja, na kama sababu yao ni kwamba hakuna umeme wa kutosha, jambo ambalo sio kweli, wangejenga lakini wakatumia hizo locomotive za diesel lakini miuondombinu ya umeme tayari ipo, hatahuku Tanzania, tutakuwa na uwezo wa kutumia diesel engine katika reli hiyohiyo ya umeme.
Waliposikia Tanzania inajenga ya umeme kwanza walibisha, baadae walipoona ni kweli, wananchi wengi wa Kenya wakaanza kuisakama serikali yao, ndipo pale ili kuwatuliza wananchi wakawaambia msiwe na wasiwasi tutaweka umeme msijali, sio rahisi kuanza tena kununua locomotives wakati sasa hivi wamenunua locomotive nyingi za diesel, pili wachina wanaendesha reli ya Kenya kwa kipindi cha miaka kadhaa, mchina hawezi kuingia tena gharama ya kuweka umeme wakati lengo lake ni kutengeneza faida haraka
Inawezakana ikawa ni kusadikika manaake kufanya clearance ya maeneo sio kwamba ndio kuanza kutandaza rails & its components.Sasa kama watu wako site na kazi inaendelea unawezaje kuita mradi wa kusadikika.
kwa hiyo hata ile ya kenya , Nairobi to naivasha then Kisumu ni ya kusadikika kwa vile hawajaanza kutandaza reli?Inawezakana ikawa ni kusadikika manaake kufanya clearance ya maeneo sio kwamba ndio kuanza kutandaza rails & its components.
What if wafadhili wakizingua mradi unaweza ukaishia hewani tukabaki tume~clear maeneo tu.
Mradi wa mji mpya pale kigamboni umefikia wapi kwa mfano wakati utekelezaji ulikuwa umekwisha anza?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Umenichekesha sana, ninahisi na sisi tungeingia mikataba ya ujenzi chini ya Kikwete, tungeangukia huko huko China class I. Kwa ujumla serikali ya Kenya iko very poor katika kuchagua vipaumbele na planning of projects, kuna Hospital moja pale Nairobi, imetengenezwa kwa $100M, ni hovyo ajabu, sura mbaya, madirisha madogo kama gereza, ukilinganisha na Mloganzila ambayo hata bei hiyo haikufika, ni kama mbingu na ardhi, kuna mwandishi wa Kenya alilalamika sana, yaani kwa kifupi wakenya hawana test nzuri, mfano mzuri ni hizo train za SGRsimlaumu kikwete but nasikitika kwamba na sisi tungepigwa na hii CHINA CLASS 1 ambayo hata kwao china hawatumii, au may be ni AFRICA CHINA CLASS 1. Nafikiri hata wakiweka umeme mchina atawaambia anaweka umeme class 1 ili awapige tena waanze kusema umeme wao ni tofauti kwa sababu ni china class 1.
mkuu treni ni ya umeme na diesel, umeme ukisumbua inapiga diesel nenda uingereza wanatumia hii system sio line zote uingereza zina umeme.Hivi Tanzania tuko tayari kwa train inayotumia umeme kweli au tunataka kulaza watu njiani?!
Tz itapata instability kisa galana, bro, Tz is not the same, no country in East Africa can destabilize us, be it economical or warfare, sisi ndio baba yao, regardless uchumi wetu, hukuona tulivo ban mahindi/ kq, mlivopatwa na instability, wewe acha kuchekesha. Nikuache na arrogance yako.[emoji23][emoji23][emoji23] anafaa ajue this year KRA has collected 17.8bn$ in Tax by 2025 itakuwa inachezea 30bn$ in tax and revenue collection budegt itakuwa 45bn$ hao ndio qatakuwa wanaingia sasa 18bn$ mark this space............2025-2035 Kenya will have read a combined 400bn$ budget....wakidhania tuko ligi moja ndio watatii!!...Tutakuwa tuna launch projects mpaka SA inatii
Nuclear
Coal
Airports
Ports
Expressways
Modern Universities
Drainage systems ngoja tu utaona...
The nail to the head itakuwa government iki prioritise the 1.78bn$ galana irrigation scheme ....tanzanian farmers watavuka kenya kubeg kwa barabara mtaona tu!!!....chakula ikijaa kenya mtaina venye instability itaingia Tz...talking facts...mnafkiria alshabaab ni shida ngoja wakenya waache kuwapea pesa muone Wezi kutoka tanzania Warnings kwa newspaper
Mbona wanasema nishati moja hawazisemi zote mbili, wanaficha nini?!mkuu treni ni ya umeme na diesel, umeme ukisumbua inapiga diesel nenda uingereza wanatumia hii system sio line zote uingereza zina umeme.
Hili jambo itabidi serikali ijiandae kisaikolojia hasa kwenye value addition ya mahindi kinyume chake tutakuja liaAnd again let me educate you
Do you know Israel?
Yeah?
So israels total arable land is 1.2mn acres from this land it produces and annual agric sales product worth 36bn$ in foods and agric technology sales
1.2mn acres is 4000km<sup>2</sup>
So Kenyas president Kibaki and PM Raila and Uhuru Kenyatta who was the deputy PM of Kenya went to israel and signed a pact for israel to educate upto 10000 kenyans in 10yrs upto 2023 in agric development the signed a deal to see students from Kenya lifted to Israel from
Egerton
Jkuat
UoN
KU
and various other highee learning instution at the same time Israels ministry of Agric sign a bilateral and Several funding treaties to see transfer of Tech to Kenya...
Kenya is Largely desert Unlike Tz
The Kibaki Government And Rao identified Tana River County to support Kenyas irrigation dreams
Since River Tana the Second largest River in East africa passes largely in the county
They Identifies Galana Kulalu region that spans Kilifi and Tana river county to irrigate
They identified 1.78mn acres of Land to be irrigated and even invites ministers from israel ro come and see
The Projects total coast will be
4.2bn$
It will see Kenya produce more maize than the entire EAC combined
More Sugar, milk,meat and beans and Soy mostly for internal and export consumtion bringing upto potentially 12bn$ worth of goods for sale and export...
They are already constructing infrastructure to House the whole project
Ie:
Dams
Roads
Milling Factory
Irrigation machinery
An Airport and Rail Feasibilty is being done
Also Politechnics and learning institutions and
Electrification
The government did a Test run which yielded 35bags per acre ..the East african yield ler acre of maize is 28 for irrigation and 15 for rainfed so 35 is mind blowing but their target is 45-52bags using Kemri developed seeds...
Well the project is still a Jubilee and NASA flagship...as in who ever wins will see it done!!
Below are pictures from
10,000acre farm that yielded 403,000 90kgs bags of maize in 6months
also Netanyahu came to Kenya to personally say they are with Kenya on this!!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
River Tana that will see upto 6 dams constructed to produce upto 700mw and water for irrigation![]()
![]()
![]()
![]()
Nawaambia tena Tanzania exports yenu kenya ni food stuff and Other Raw materials from shambas When this project comes online in Kenya mtatiiiii
Mtaona venye mtaset up ma viosk Kenya; Nairobi -Namanga highway begging Kenyans to buy Sacks of maize for 100/- instead of 2800/- right now......ngojeni ...
Hivi vimiradi vyote ulibyotaja, na vingine vitakavyokuja miaka kumi ijayo, vinaongia kwenye mradi mmoja tu wa LNG plant unaojengwa Mtwara wa kuchakata gas asilia, utakaogharimu $30B, na sio mkopo kama ilivyo miradi yote ya Kenya uliyotaja, maana yake ni pesa inayoingia nchini kama ilivyo, hakuna kuilipa wala hakuna riba,[/QUO
Waongo tuache ndogo za utotoni,$30bn ni ngumu kumeza,hiyo pesa itatoka kwa mapato yapi ya ndani,hebu tuwe realistic na mradi wenyewe utakamilika lini kama sio 2030,