Tanzania SGR Bridges vs Kenyan

Tanzania SGR Bridges vs Kenyan

Kuhusu speed ya train, soma vizuri maelezo yangu acha kujifanya hujaelewa, nilisema kwenye train muhimu ni reli yenyewe design yake kama itaweza kuruhusu huo wendo, hata kama locomotives zinauwezo mkubwa wa kukimbia speed kali, ninadhani ulielewa vizuri ila unataka kusumbua akili yangu, hivi Tanzania ikiamua kununua locomotives zenye uwezo wa 300km/hr, na imeandikwa hivyo, utaamini kwamba hiyo ndiyo speed itakayosafiri?

muhimu ni design ya railway, how closer curvatures are, what is average radius of the curves, what is inclinations and slopes, ndivyo vitu vinavyo determine speed ya train, hata gari la kawaida hivi vinaueika sana, sema gari utaongezea mashimo, matope, mchanga, mawe na hali ya tairi za gari
Hio hapo inaandikwa na mkono baada ya reli kufika kenya na kufanywa testing..... it was a speed that was actually achieved.....

Ethiopia curvetures are shorter than that of Kenya and their trains achieve avg 160km/hr.......

Sijakataa ulivyosema, nilichokataa ni design speed ya reli ya Kenya
 
Hebu tutofautishe hapa

Tanzania 60s-70s
View attachment 602671

Kenya 2017
View attachment 602672

Alafu kuna nyinyi washamba ninaojaribu kuelimisha, hebu sasa tuangalie

Hii hapa dashboard ya reli ya Kenya, angalia vizuri

CjDO38l.jpg



Kuna wakenya wengine kule uchina wanasomea mambo ya reli, wanafundishwa na model ya train ya kisasa kabisa

YzhsAUF.jpg



Sasa angalia dashboard ya model ya train ya kisasa ya stima alafu ulinganishe na dashboad ya hio treni ya kenya ya diesel
4qUTGyW.jpg





hio locomotive ya Kenya inatumia technology ambayo ni tofauti kabisa na kale ka reli kenu ka tazara
 
Alafu kuna nyinyi washamba ninaojaribu kuelimisha, hebu sasa tuangalie

Hii hapa dashboard ya reli ya Kenya, angalia vizuri

CjDO38l.jpg



Kuna wakenya wengine kule uchina wanasomea mambo ya reli, wanafundishwa na model ya train ya kisasa kabisa

YzhsAUF.jpg



Sasa angalia dashboard ya model ya train ya kisasa ya stima alafu ulinganishe na dashboad ya hio treni ya kenya ya diesel
4qUTGyW.jpg





hio locomotive ya Kenya inatumia technology ambayo ni tofauti kabisa na kale ka reli kenu ka tazara

Kwani ukikubali ukweli utakufa?, Yaani Tazara unaita Karail kenu, kweli Nyang'au ni nyang'au tu
 
Kwani ukikubali ukweli utakufa?, Yaani Tazara unaita Karail kenu, kweli Nyang'au ni nyang'au tu
Ka rail kenu manake mpaka wa leo reli hio haijatengeneza faida ya kutosha kuregesha pesa zilizotumika kufanya ujenzi.... reli yenyewe hamkumaintain ilijengwa 1970 lakini imeharibika na kufanana na reli iliojenya na mkoloni miaka 100 iliyopita huko 1901
 
Ka rail kenu manake mpaka wa leo reli hio haijatengeneza faida ya kutosha kuregesha pesa zilizotumika kufanya ujenzi.... reli yenyewe hamkumaintain ilijengwa 1970 lakini imeharibika na kufanana na reli iliojenya na mkoloni miaka 100 iliyopita huko 1901

Acha basi kulialia, kumbuka kila mwaka kuna train ya Watalii wanaosafiri kutoka SA kuja Tanzania kupitia Botswana, Zimbabwe, Zambia kisha Bongo, utasemaje rail imechoka?, rail yenyewe ni utalii tosha
 
Hahah tender ya third phase is already floated we build concurrently! There is a reason behind Kagame's visit to Tanzania. We don't do guess work in here. Mind u this same year Isaka-Kigali section will start construction!
Hahahahahaha
 
Hehehehehee haya ndo matokeo ya tumbo empty, jua, na bange! 🙂 Mnanivunja mbavu.
 
Hahah tender ya third phase is already floated we build concurrently! There is a reason behind Kagame's visit to Tanzania. We don't do guess work in here. Mind u this same year Isaka-Kigali section will start construction!
Pesa za phase one alone hamjazipata zote mtajengaje concurrently... [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
It is silly to compare my living son with your unborn son and deduce your unborn son is more handsome and smarter.
 
kiukweli, ni uchungu sana kusema ila hongereni watanzania heri nyie mnaletewa treni za kisasa...hata bridges naona ziko poa sana...most importantly, hamjaibiwa kama wananchi...huku kwetu, treni ni za diesel ila zimekuwa ndio bei ghali kabisa kuliko zote...SMH Mr. Magu, I respect you...sisi tunafuata nyayo za Nigeria jinsi corruption inavotutafuna...juzi tu tumeshindwa kujenga stadium zitakazotumika kwa CHAN ilhali Rwanda ili host mchezo huo vizuri kabisa...🙁🙁🙁sasa hivi tuna vuta nikuvute kati ya serikali, opposition, electroral commission na Supreme court, wakenya wanaumia kwa njaa, wengine hawana makao wanaofaa kuishi wanadamu..vijana hawana ajira.🙁🙁🙁 yaani wanasiasa wanatulet down sana...Pengine private sector ndio wanajaribu na kutuletea mijengo na hoteli za kisasa ila ni za kazi gani wakati wanasiasa wanaharibu kila kitu...🙁🙁🙁 kwa utawala wa Magu, Tanzania hii sio ile ya kale...
TBT...

Jay456watt where r u?
 
mkenya atakayeidharau Tanzania ya leo, atakuwa anafanya makosa makubwa...especially baada ya Magu kuingia mamlakani...Tanzania hii si ile ya zamani...ona tu treni mnazoletewa...ona tu zile bridges....na cha kushangaza ni kwamba, bei ya SGR yetu ya zamani na iliyojaa moshi ni ghali kuliko yenu ya stima...duh itakua kama ulaya vile...mimi sijui wakenya watatokomea wapi itakapokamilika...itakua aibu kubwa sana kwetu especially tunavopenda kuwakandamiza wengine wakati mwingine...😀😀SGR TZ nimeipa tick...sasa mjaribu na station pia ziwe zina match hizi picha..
Jay456watt upo?
 
kiukweli, ni uchungu sana kusema ila hongereni watanzania heri nyie mnaletewa treni za kisasa...hata bridges naona ziko poa sana...most importantly, hamjaibiwa kama wananchi...huku kwetu, treni ni za diesel ila zimekuwa ndio bei ghali kabisa kuliko zote...SMH Mr. Magu, I respect you...sisi tunafuata nyayo za Nigeria jinsi corruption inavotutafuna...juzi tu tumeshindwa kujenga stadium zitakazotumika kwa CHAN ilhali Rwanda ili host mchezo huo vizuri kabisa...🙁🙁🙁sasa hivi tuna vuta nikuvute kati ya serikali, opposition, electroral commission na Supreme court, wakenya wanaumia kwa njaa, wengine hawana makao wanaofaa kuishi wanadamu..vijana hawana ajira.🙁🙁🙁 yaani wanasiasa wanatulet down sana...Pengine private sector ndio wanajaribu na kutuletea mijengo na hoteli za kisasa ila ni za kazi gani wakati wanasiasa wanaharibu kila kitu...🙁🙁🙁 kwa utawala wa Magu, Tanzania hii sio ile ya kale...
Aisee 😬😬😬
 
mkenya atakayeidharau Tanzania ya leo, atakuwa anafanya makosa makubwa...especially baada ya Magu kuingia mamlakani...Tanzania hii si ile ya zamani...ona tu treni mnazoletewa...ona tu zile bridges....na cha kushangaza ni kwamba, bei ya SGR yetu ya zamani na iliyojaa moshi ni ghali kuliko yenu ya stima...duh itakua kama ulaya vile...mimi sijui wakenya watatokomea wapi itakapokamilika...itakua aibu kubwa sana kwetu especially tunavopenda kuwakandamiza wengine wakati mwingine...😀😀SGR TZ nimeipa tick...sasa mjaribu na station pia ziwe zina match hizi picha..
Ukweli mtupu ambao wakenya wengi hawaupendi especially hawa washamba wa humu jf 😂😂😂
 
Back
Top Bottom