Tanzania SGR inajengwa Usiku na Mchana.

Tanzania SGR inajengwa Usiku na Mchana.

Ya kati, pale morogoro (mikese) ruvu na dodoma.
Na hii ya mabwana zako ambayo hata miezi mitano haina?
images
 
Sasa hapo mbona hatuoni zege ikikorogwa, ni mapicha mapicha tu ya jamaa wamevaa mavazi ya kazi usiku ambao hatujui saa ngapi, inawezekana mida ya saa moja usiku.
Tatizo Waswahili maneno mengiii kabla ya kuanza kazi yenyewe.

Sisi wakati tunajenga SGR tuliwajazia huku picha za wanaume wakiwa kazini, sio huu urembo mnatuonyesha hapa. Halafu mkumbuke mambo ya SGR kwetu sio habari tena kwetu, kwenu sawa maana ndio bado mnaanza kushangaa shangaa, naskia hata fly over bado mnashangaa wakati sisi tulishachoka nazo.

SGR+2.jpg
mkuu mbona sijaona point unayoongea hapo inaonyesha jinsi ulivyo na uelewa mdogo yaani wewe mpaka uone zege ndio uamini kazi ipo?
 
Hivi iyo rail imepita vijiji gani na gani... nataka nitafute junctiion niinvest hata ardhi
Anza kutafuta junction za barabara kwanza uinvest ndio uje reli mkuu,za barabara zenyewe hamjaweza kuinvest ndio iwe reli?
 
Haya basi tumeziona picha za usiku mbona msiweke za mchana tuzichambue pia? Hizi picha za gizani zanikumbusha zile za Bagamoyo white elephant alizoweka Geza miaka mingi iliopita na kwa sasa hamna results.
SGR ya Tz uatjengwa usiku za usoni lakini sio sasa hivi na chuo ndio ukweli hata uwe mchungu.
 
Mbona unapitiliza kuweka maelezo bila kusoma yaliyomo, zege itawekwa kwa wakati wake, kinachofanyika sasa ni kusawazisha maeneo yote. Cha msingi ni kazi itafanyika USIKU NA MCHANA kama mkataba ulivyosema na muda utafupishwa. Yani ni usiku na mchana kwa hela nusu ya Kenya SGR, sijuwi kama umeliwaza hilo au lilikupita. [emoji23]
Unajibu upuuzi wa mpuuzi Unapoteza muda
 
Halafu hiyo picha kaweka ni chini ya ardhi ndio maana kuna taa, hapo ni mchana kweupe. Wakati wao wanalala na kukoroma, wazee huku tunatinga kazi.

Ukitaka picha za usiku tunazo pia za shughuli iliyokamilika, sio yenu hiyo ya kuonyesha sura ya watu waliovalia helmets, hehehe nyie kicheko kweli, yaani hayo mapicha ndio mnakuja kututambia humu eti ndio SGR.

Standard-Gauge-Rail-way-exclusive-Image.png


images


40ECE98C00000578-4559154-image-a-100_1496241977167.jpg


nair.jpg
 
Ukitaka picha za usiku tunazo pia za shughuli iliyokamilika, sio yenu hiyo ya kuonyesha sura ya watu waliovalia helmets, hehehe nyie kicheko kweli, yaani hayo mapicha ndio mnakuja kututambia humu eti ndio SGR.

Standard-Gauge-Rail-way-exclusive-Image.png


images


40ECE98C00000578-4559154-image-a-100_1496241977167.jpg


nair.jpg
Hii habari inakutowa jasho, sioni ujenzi unaoedelea hapo. Mgejega usiku na mchana mgetumia 18mth badala ya 3yrs.
 
Hii habari inakutowa jasho, sioni ujenzi unaoedelea hapo. Mgejega usiku na mchana mgetumia 18mth badala ya 3yrs.

Initoe jasho kivipi wakati leo hii tunachana mbuga zetu kwa SGR, nyie hapo wakati mnawashangaa Waturki waliovalia helmets, sisi tunapata raha huku tukisafiri kwa muundo mbinu wa kisasa.
 
Initoe jasho kivipi wakati leo hii tunachana mbuga zetu kwa SGR, nyie hapo wakati mnawashangaa Waturki waliovalia helmets, sisi tunapata raha huku tukisafiri kwa muundo mbinu wa kisasa.
Muda sii mrefu utasikia phase 3. Tega sikio.
 
Kwani mmepew muda gani kumaliza hadi mkimbizane usiku kucha ? Wadanganye wazazi wako sio sisi.
 
Wee bonge la pimbi kweli kweli kumbe... Kenya ina husiana na nini humu kama sio ushabik wako maandazi ni kitu Gani humu ati?
Mwenzetu Uhuru kesha ya maliza hayo kitambo alafu unataka ku competition nawe... Plus na roho
Mbaya uliyo nayo juu ya Uhuru.. Bora upige kimya tu fanya yako Wachana na Uhuru hamuwez hata Kidogo... Is got Golden heart [emoji813] Uhuru.. Is another levels kabisa... Pambana na hali yako wee vp bana... Aibu tupu
 
Hadi mlete picha za zege ikikorogwa, hayo mengine yatabaki kuwa stori, nakumbuka mlituzungusha sana na mapicha ya kihivi ya kuonyesha sura kipindi kile cha bandari ya Bagamoyo.

Halafu SGR yenu gharama yake sio nusu ya Kenya, haya tuliyajadili huku kwa kina na mahesabu yakadadavuliwa balaa, lakini kwa jinsi huwa mlivyo, mkikaririshwa huwa hamuachi.

Weee bana mbona unaleta swaga hapa, uantaka kuona zege kwani kila sehemu kuna daraja au kalavati au handaki. Hapa utaona zile zege ambazo ni pre cast zinatandikwa, zege utaona wakifika Ruvu au kuvuka mito mingine. Siyo kila sehemu ni zege. Terrain ya kwetu haihitaji madaraja mengi.
 
Hii habari inakutowa jasho, sioni ujenzi unaoedelea hapo. Mgejega usiku na mchana mgetumia 18mth badala ya 3yrs.
ya kwetu imebeba kadri watu laki tano na kupanda alafu unaleta uharo wa watu waliovaa vihelmets😀
 
Weee bana mbona unaleta swaga hapa, uantaka kuona zege kwani kila sehemu kuna daraja au kalavati au handaki. Hapa utaona zile zege ambazo ni pre cast zinatandikwa, zege utaona wakifika Ruvu au kuvuka mito mingine. Siyo kila sehemu ni zege. Terrain ya kwetu haihitaji madaraja mengi.

Nimesema muache maneno mengi mlete taarifa za matendo, haya mapicha ya Waturuki na Waswahili waliovalia helmet ni ya kuuza sura za wanaume tu.
Sisi leo hii tunasafiri kwa SGR wakati nyie bado mnashangaa shangaa.

Ni kama ile flyover ya TAZARA ambayo huwa mnaturingishia humu, nilipita hapo juzi wakati naenda JNIA, bado mnajenga na kuchimba chimba wakati sisi flyovers bora kuliko hiyo tulishachoka nazo.
 
Back
Top Bottom