Tanzania "Shamba la bibi" hadi lini? Hii Ruby ni yetu. Iweje iko sokoni Dubai na serikali yetu haijui? Nasaidia, mchimbaji huyu, anzieni hapa!

Tanzania "Shamba la bibi" hadi lini? Hii Ruby ni yetu. Iweje iko sokoni Dubai na serikali yetu haijui? Nasaidia, mchimbaji huyu, anzieni hapa!

Magufuli alipojaribu kuwabinya hawa wahuni mkamuita dikteta.

Haya, faidini matunda ya DEMOKRASIA!

Hii ndio DEMOKRASIA NA UTAWALA BORA Chini ya Jemedari Chui Jike.
Kuwadhibiti ni kuweka uhuru wa soko huku serikali ikikusanya Kodi kwa uwazi.
Kujenga ukuta, kuweka urasimu kunaongeza utoroshaji kupitia wachache wenye nafasi.
Uwazi na elimu kwa raia ili wapambane sokoni ndiyo demokrasia na utawala Bora.
 
Nimesema once na ninasema tena, kama hii kitu ni fake na overvalued tungepiga kimya tu..., sababu inatutangaza zaidi hata ya Royal Tour..., Hapa tungepiga mwendo tu wa no comment....

Kwahio naweza kusema shukrani zimuendekee jamaa aliyegushi bei ya hio Ruby
 
Kwani ni sheria gani imevunjwa hapa? Kama ni mtu binafsi amechimba hilo Ruby halafu kaliuza, kavunja sheria? Ina maana mauzo binafsi (private sale) baina ya watu wawili waliokubaliana bei ni kinyume cha sheria? Kama ni kweli basi tuna mfumo mbovu wa kijamaa.
Lazima lilipiwe Kodi, je limelipiwa Kodi? Sheria ya madini hairuhusu madini kusafirishwa nje isipokua Kwa Kibali maalum kutoka kwenye Mamlaka husika je lilikatiwa Kibali?
 
Wanabodi

Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", na Leo ni kuhusu uzalendo wa kujitolea kuisaidia serikali yako na nchi yako, pale unapoona imeshindwa na inahitaji msaada, je tutaendelea kufanywa Shamba la Bibi Hadi Lini?.

Hili ni bandiko la kuisaidia serikali yetu kuhusu hii Ruby, Swali ni Tanzania tutaendelea kufanywa ni "Shamba la Bibi" hadi lini?!. Hii Burj Alhamal Ruby ni Yetu!, Iweje Iko Sokoni Dubai, lakini serikali yetu haijui chochote?!.

Uzalendo ni kuipenda nchi yako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote na kwa nafsi yako yote na kuilinda na kuitetea kwa moyo wako wote, kwa nguvu zako zote, na kwa uwezo wako wote, na ikibidi kuipigania, uwe tayari kuutoa uhai wako kuifia nchi yako!.

Uzalendo wa kweli hukaa ndani ya mtu, hauonekani kwa macho, bali hukaa moyoni, hivyo kuna watu ukiwaangalia kwa juu juu at face value kwa jinsi wanavyo onekana, wanaonekana kama ni wazalendo, lakini in reality sio wazalendo lolote wala uzalendo chochote, bali ni wapigaji, na baadhi yao ndio mafisadi wakubwa!. Wamejivisha ngozi ya kondoo ya uzalendo,Ila kwa ndani ni mbwa mwitu, fisi, Chui. Na kuna watu ni hohe hahe, masikini wa kutupwa, wanaoishi kwenye lindi la umasikini uliotopea, lakini ndio wazalendo wa kweli wa taifa hili, Mimi ni mmoja wa wazalendo hawa.
Ukiona kuna kitu serikali yako imeshindwa na wewe unaweza kusaidia, saidia tuu usingoje uombwe.
Kwenye ulinzi wa Rasilimali zetu, kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na kilio cha kufanywa shamba la bibi kwa manyang'au kutuibia Rasilimali zetu as if hazina mwenyewe!.

Hivi ninavyoandika hapa, kuna jiwe la kito cha thamani aina ruby kutoka mgodi wa ruby wa Winza kule Dodoma, lenye uzito wa kilo 2.8, ambalo limechimbwa na Mchimbaji mdogo, serikali haijui, Mchimbaji huyo haijui thamani yake hivyo ameuza bei ya kutupa, serikali haijui. Mnunuzi kaliondoa nchini kinyemela serikali haijui. limeuzwa serikali haijui, mnunuzi kaliuza kwa tajiri wa Kiarabu, serikali haijui. Tajiri wa Kiarabu kalibatiza jina la Burj Alhamal Ruby, serikali haijui.

Sasa Burj Alhamal Ruby liko sokoni Dubai, likisubiria mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan uishe, lipigwe mnada, serikali haijui!.
Mbunge Mhe. Danstan Kitandula, anauliza Bungeni kumuuliza Waziri wa Madini kuhusu jiwe hili, Waziri wa Madini anashanga na yeye kusema serikali haijui Ila na wao wamesikia mitandaoni!.
Serikali sio mtu ni Taasisi, ina jicho kali linaona kila mahali, ina mkono mrefu unafika kila kona, hivyo katika hali ya kawaida, haiwekani haya yote yatokee Tanzania!, tutaendelea kufanywa Shamba la Bibi Hadi Lini?. Kwa vile sasa tunaishi kwenye ulimwengu wa "the world of information world" kila kitu ni kwenye ncha za vidole vyako, kuisaidia serikali yetu ipate PA kuanzia, hizi ni data zote za jiwe hili akiwemo mmiliki.
View attachment 2196654
Huyu dogo ndie Mchimbaji WA jiwe, na huyu jamaa Steve Ulatowski with a miner in Tanzania, ndie mtaalamu wa Madini aliyepima properties za jiwe hili, sasa analisagia kunguni ili mnada usifanyike kwasababu hilo jiwe limepigwa!.

Haya kazi kwenu serikali yetu. Anzieni na Mchimbaji, ila hala hala msi mu harass.
Burj-Alhamal-1024x891.png

Buyer Beware: Closer Examination of the Burj Alhamal Ruby Casts Doubt on its $120 Million Valuation​

by Jeffery Bergman, AGA ASG, BDC-BGC SSEF
April 21, 2022
An astonishing record-breaking rough ruby of 8,400 carats, weighing 2.8 kilograms, from Winza, Tanzania has gone on display at the Waldorf Astoria Dubai International Financial Centre. According to Patrick Pilati, a director of the company that owns the ruby, SJ Gold & Diamonds of Dubai, said it is one of the largest rubies in the world and is valued at approximately $120 million. As the company’s crown jewel, they have named it ‘Burj Alhamal’.

Is the Burj Alhamal really worth $120 million? Photo attribution: The National.
However, a closer examination of the stone casts doubt on its estimated valuation. A closer look at the details reveals the stone may not be what it seems. For example, a 5.00 carat stone weighs about 1.00 gram. Therefore, a 8,400 carat stone would weigh approximately 1.68kg, not 2.8 kilograms. Second, several rough ruby-in-zoisite specimens 5 to 10 times larger have been documented. Third, rubies from Winza are not found in zoisite. The stone is likely from Longido, Tanzania. Finally – and most importantly – current valuations for ruby-in-zoisite specimens do not support the estimated $120 million valuation for the Burj Alhamal.
So, what could the Burj Alhamal really be worth? Steve Ulatowski of New Era Gems is an expert in ruby-in-zoisite specimens. He has sold a substantial amount of this material at the going rate of around US$350 per kilogram, including the approximately 3kg specimen he is holding in the photo below. “Maybe US$1200 if we were lucky…wholesale, most likely [this would sell for] $750.”
Steve Ulatowski with a miner in Tanzania. ©Travis Lejman

New Era Gem’s table at Tucson 2022 selling ruby-in-zoisite specimens from Longido, Tanzania for $350 per kilogram.
Another example that undermines the extraordinary valuation of the Burj Alhamal is the 2 kg ruby-in-zoisite specimen named the “Gem of Tanzania.” It was initially valued at £11m (US$14.35m) and owned by UK Wrekin Construction. The company used the valuation of the stone to help prop up its balance sheet. Forced into bankruptcy, the court-appointed administrators Ernst & Young declared the 2kg stone’s £11m valuation and its accompanying documents as forgery. With 60 offers, it was eventually auctioned for a mere £8,000 (US$10,400), leaving creditors with massive losses exceeding £45m (US$58.7m).
But there’s still more evidence that points to an inflated valuation for the Burj Alhamal. A 228,000 carat (45.6kg) ruby-in-zoisite specimen offered by Bonhams in Los Angeles on 20 May 2014 carried an estimated value of US$100,000-$150,000. This enormous ruby specimen is 16 times larger than the “Burj Alhamal.” It failed to sell at the Bonhams auction. In other words, bidding did not reach the minimum estimated value of US$100,000 (or US$2,200 per kilogram).
Instead, the Bonhams stone, which the listing states was carved from a “single specimen of Tanzanian ruby rough” by a famous Idar-Oberstein carver, had a finished weight of 0.85kg and sold at auction for $13,200 or $15,500/kg. This is another great price/value comparison to the Burj Alhamal which, from its photos, is likely of similar or lesser quality. The National photo of Burj Alhamal shows that the stone may only be about 25% ruby and 75% zoisite. This means the actual ruby content is about 0.7kg – considerably less than the 0.85kg of the Bonhams carved toad.
Several other Bonhams auction records demonstrate that you can purchase ruby-in-zoisite specimens for a few hundred dollars.

New Era Gems website offers a 2.92KGS ruby-in-zoisite specimen for US$700.
The 2.8kg (or 1.68kg?) “Burj Alhamal” is only one of the gems in the SJ Gold & Diamonds Callisto collection, which includes 12 rough rubies that weigh a total of “an astonishing 236,000 carats” according to Tariq Saeed, writing for Dubai’s Periodical Today news website.
SJ Gold & Diamonds should pay closer attention to auction records when publishing any eye-popping valuation of the stones in its collection. Otherwise, experience from the likes of the Gem of Tanzania will dictate the obvious next question: “Why?”
Kwa kuwasaidia wenzangu na mimi ambao hizi lugha ni lugha za watu.

Kwa mujibu wa mtaalamu wa miamba ya madini, anasema japo hili jiwe la hii Ruby limeingizwa soko la kimataifa Kwa makaratasi ya kuonyesha limechimbwa mgodi wa Winza Dodoma, hizo karatasi ni forgery, hili jiwe limechimbwa Longido Arusha, na Mchimbaji mdogo, ambaye hajui thamani ya jiwe hilo, hivyo alishikishwa kidogo dogo cha pesa mbuzi , kwake akaziona nyingi. Jiwe likaondoka Longido.

Ili jiwe liweze kuingia masoko ya kimataifa, ni lazima lisajiliwe na kupatiwa certificate of origin, hivyo ukatafutwa mgodi wa ruby ambao uko tayari ku issue that certificate, and that where mgodi Winza huko Dodoma ulipoingia ukatoa face certification ili mzigo uingie Sokoni. Jamaa wakalipwa chao, wakaingia front kuwa jiwe ni Lao, wakaliandikia certification, na sijui kama kodi za serikali zilipwe ndio maana serikali haijui!.

Hawa mgodi wa Winza, walifanya kosa moja tuu, walipima uzito bila kupima properties na kulisajiji kuwa wamelichimba wao. Hilo jiwe lina properties za kitu kinachoitwa zoisite, ambacho kinapatikana Longido tuu!, iweje ruby ya zoisite ipatikane Dodoma?.

Ni kama jiwe la Tanzanite kinapatikana Mererani pekee, lakini muuzaji mkubwa number 1 wa Tanzanite ni India akifuatiwa na Africa Kusini, Tanzanite inapatikana Mererani pekee nchini Tanzania, hiyo Tanzanite ya India inayoongoza Duniani na Africa Kusini, inatoka wapi?.

Tanzania tunaendelea kufanywa Shamba la Bibi Hadi Lini?.
Wasalaam

Paskali​


Kumevunjwa sheria ipi, si anaruhusiwa kuuza jiwe ? Nadhani tukianzia hapo tutaweza kupata wapi kuelekeza nguvu. Unajua wenzetu kwa mfano wale walio na mafuta, hufanywa kama ni mali ya taifa. Labda concept kama ile ya ardhi mali ya serekali, sababu zake hazitofautiani sana na hizi za madini.
 
Kumevunjwa sheria ipi, si anaruhusiwa kuuza jiwe ? Nadhani tukianzia hapo tutaweza kupata wapi kuelekeza nguvu. Unajua wenzetu kwa mfano wale walio na mafuta, hufanywa kama ni mali ya taifa. Labda concept kama ile ya ardhi mali ya serekali, sababu zake hazitofautiani sana na hizi za madini.
Anapaswa Kulipia Kodi, lakini pia Sheria za madini haziruhusu jiwe kutoka nchini bila Kibali maalum Cha Mamlaka
 
Paschal hii si level ya mijadala yetu! Mijadala yetu ni Mama anaupiga mwingi,Vijana wanakosa pesa za kununulia mapenzi,Wanaume wa Rukwa wameshindwa kukata viuno sababu ya bumps, Sukuma Gang vs Msoga Gang!
Hiyo ndo mijadala yetu!
Mawe ya ruby mbona tunayo mengi tu! Yaani Waziri au Serikali yetu ikae kufuatilia Jiwe la kilo 2!?
Hao ni Matapeli wanataka kupiga watu huko ndo maana wanasubiri mwezi mtukufu (Ramadan) upite. Kama ni halali kwa nini wasifanye mnada leo au kesho?
Dola milioni 120 ($ 120 million) si mchezo, kuna harufu ya utapeli hapo!
 
Kuwadhibiti ni kuweka uhuru wa soko huku serikali ikikusanya Kodi kwa uwazi.
Kujenga ukuta, kuweka urasimu kunaongeza utoroshaji kupitia wachache wenye nafasi.
Uwazi na elimu kwa raia ili wapambane sokoni ndiyo demokrasia na utawala Bora.
Ona jizi lingine hili!

Ptuuuuu! Mukundi wambwaa!
 
Uhuni tu hapo hamna jiwe LA thamani hiyo,dhahabu tu 1Kg ni $ 50,000 sasa ruby ndio itauzwa bill hizo 240 kwa 2.8Kg??

ruby iko juu kuliko Gold na upatikanaji wake ni sio kiviile...gold ina promo sana duniani lakini yapo madini yana thamani kuliko gold...

ila kuipata hiyo 1kg ya ruby ni mziki..
 
Naamini kwamba zipo nyingine nyingi sana zinazofanana, kama serikali kweli inayo nia basi ifanyie utafiti kufahamu madini yote yaliyotoroshwa nchini. Kuna wakati India ilikuwa inauza Tanzanite nyingi kuliko Tz including nchi jirani, je wameshayafanyie kazi hayo? Huyu mtu aliyelitangaza hilo jiwe la Ruby waziwazi nadhani ana kusudi la wazi kabisa. Kwani alilazimishwa kuelezea madini yalikotokea?
 
... serikali ilikuwa na mchango gani kumwezesha huyo dogo kufikia malengo aliyofikia? Mjikalie kwenye maviyoyozi; mtutimulie mavumbi na ma-V8 yenu; adha tunazopata kama wachimbaji si kitu kwenu; tunafia kwenye mashimo kila siku halafu tukibahatisha ndio mnataka uzalendo? Be serious Pascal Mayalla.
kyee kyeee kyeee huu Ndio ukweli mchungu ambayo hao wazalendo uchwara wanauimba yaani uteseke wewe Halafu mjinga Mmoja aje akupangie matumizi,yaani hapa nawaza Siku nipate jiwe Halafu kenge Mmoja wa kijani aje
Nyee! nyeee! Nyeee!
Nalichekea na kulichangamkia likiingia kingi nalipa kinywaji chenye slow killer tunagonga grass na cheer nalipa mgao wake then baada ya mwezi tunazika jitu
Pumbafu kabisa hii nchi Ina wachumia tumbo wanaojali mavitambi Yao Kwa deals haramu huku yakiwafukarisha wavuja jasho'.
Kiama chaja!
 
Back
Top Bottom