Tanzania should be kicked out of EAC

Tanzania should be kicked out of EAC

hii EA community naifananisha na marafiki 5 wameamua kwenda out, ila mwenye hela ni mmoja tu TZ, halafu hao wengine wanaleta ujuaji[emoji3][emoji3]
 
Eneo la Tanzania =Kenya+ Uganda+ Rwanda+ Burundi na chenji inabaki. 3/4 ya eneo Hili linafaa kwa kilimo na limeja mito,maziwa,madini Ya kila aina na ya kipekee. Tanzania ndio East Africa na zaidi kwenye kila eneo. East Africa inaihitaji Tanzania kuliko Tanzania Unavyonihitaji East Africa.
TANZANIA pekeyake inaweza kuwa EAC tena yenye nguvu . kwasababu Rwanda , Burundi Congo Sudan hawatokubali kujiunga upande wa Kenya endapo TANZANIA na Kenya kila mmoja ataunda EAC yake. Kutokana nchi hizi zinaitegemea zaidi TANZANIA kuliko nchi yeyote .na hapo ndio itakuwa mwanzo wa Kenya kugeuka Somalia maana watakuwa mafukara wakutupwa na kwenye umoja huo hawatofanya biasha bure tutawapiga Kodi ndefu mpaka bidhaa zao zicnunulike
 
We have mutual understanding among the EAC nations such as Uganda, Rwanda, Burundi and Tanzania and we would have achieved a lot including even a political federation if it were not for Tanzania.

Don't you think its the time to kick Tanzania out of EAC just like USA and other countries did for Russia out of G8?
Mweeeh ungejua hata founder wa hiyo EAC usinge kuja kubweka hapa....

Kenya wasomi wao ndo wako empty head hivi....Na huyu n PhD holder[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom