cotyledon
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 2,260
- 1,629
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana Sababu.. Ni Kama mtoto wa jirani Mwenye kisirani mwenzake akipata. Hawanaga sababu hata wakijua amenunuliwa na Wazazi wake na hakuna wanaweza kufanya kuzuia.Could you please give at least 3 strong reasons as to why Tanzania should be kicked out of EAC rather than being general as if everyone here is politician who knows what is behind the scene
It's too late to do so.Kuna malofa mnaipenda sana Kenya, bora muhamie huko, sisi wamekataza ndege zetu kwenda kwao, na sisi tukizuia za kwao kuna kosa?
Tutaona ni nani ataumiaNjaa pamoja na Corona mmeshindwa kuvitoa nchini mwenu, mtaiweza TZ?
Corona virus ina mambo mengi nyuma ya pazia ambayo watu wengi wenye maono mafupi hawawezi kuyaona. Na hata wewe au mm Hakuna anaejua huu ugonjwa umetoka wapi either China au US. Lakin tukifuatilia kina wa kutengeneza virus kama HIV AIDS, Ebola mpaka CDC kuwa na patent rights yake, na virus nyingine, uwezekano wa 90% kwamba ilitoka US ni mkubwa ikilenga kuangamiza China, ukiongeza na trade war between US and China inaonyesha kuna mtu alikua analengwa. Kingine kuona IMF&World bank wanakazania nchi kuweka lockdown ndipo wapewe msada nayo pia inaleta wasiwasi kuhusu malengo ya huu ugonjwa hata kama viongozi wengine wakiaangalia zaidi faida binafsi bila kuangalia maslahi ya nchi zao na raia wao.We have mutual understanding among the EAC nations such as Uganda, Rwanda, Burundi and Tanzania and we would have achieved a lot including even a political federation if it were not for Tanzania.
Don't you think its the time to kick Tanzania out of EAC just like USA and other countries did for Russia out of G8?
Siungi mkono hoja ya kuitupa Tanzania nje ya EAC, watateseka sana hawa bila ya sisi. Wakifungiwa mipaka na majirani wengine huchukulia poa ila ikifungwa na Kenya wanalipuka sana na kulialia.
Tuwavumilie tu kama unavyomvumilia kaka mkubwa aliyeganda kijijini amekwama hafanyi maendeleo yoyote huku wadogo zake wote kila mmoja kajenga na kuoa na kununua usafiri na kuelimika pia.
Labda sasa hivi naona upinzani wa kwao wamechagua Tundu Lissu Watanzania wanaweza kuwa na kamuamko fulani, ila sidhani kama upinzani Tanzania wana fursa yoyote, wamebanwa.
Siungi mkono hoja ya kuitupa Tanzania nje ya EAC, watateseka sana hawa bila ya sisi. Wakifungiwa mipaka na majirani wengine huchukulia poa ila ikifungwa na Kenya wanalipuka sana na kulialia.
Tuwavumilie tu kama unavyomvumilia kaka mkubwa aliyeganda kijijini amekwama hafanyi maendeleo yoyote huku wadogo zake wote kila mmoja kajenga na kuoa na kununua usafiri na kuelimika pia.
Labda sasa hivi naona upinzani wa kwao wamechagua Tundu Lissu Watanzania wanaweza kuwa na kamuamko fulani, ila sidhani kama upinzani Tanzania wana fursa yoyote, wamebanwa mpaka kwenye mapumbu.
Tanzania kwa sasa ni kichwa cha mwendawazimu!View attachment 1523489
Hakuna mwenye ubavu wa kufanya hivyo hata wewe unalijua hiloSiungi mkono hoja ya kuitupa Tanzania nje ya EAC, watateseka sana hawa bila ya sisi. Wakifungiwa mipaka na majirani wengine huchukulia poa ila ikifungwa na Kenya wanalipuka sana na kulialia.
Tuwavumilie tu kama unavyomvumilia kaka mkubwa aliyeganda kijijini amekwama hafanyi maendeleo yoyote huku wadogo zake wote kila mmoja kajenga na kuoa na kununua usafiri na kuelimika pia.
Labda sasa hivi naona upinzani wa kwao wamechagua Tundu Lissu Watanzania wanaweza kuwa na kamuamko fulani, ila sidhani kama upinzani Tanzania wana fursa yoyote, wamebanwa mpaka kwenye mapumbu.