Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we DO NO GIVE a Crap if you live there or not.....Eti watoto wanasoma huko..Mungu Wangu! Why don't you just be Kenyan!?
Zinaendelea kupungua as days goes on, fanya utafiti mdogo kwenye shelves.Bidhaa za viwandani tumejaza sana kwenye supermarket zetu japo bhakresa,Mo na wenzie wanajitahidi mno kufuta utawala wa kenya anga hizo
Jirani aina ya Kenya kwa sasa anahitaji kujibiwa kwa vitendo tu, amekuwa mjeuri miaka mingi Sana, ukubali akuibie wazi na ukikataa anakutengenezea zengwe, JPM anaenda nae sambamba.Ukweli (japo sipendezwi na huu ugomvi wa majirani) JPM amefanikiwa kutegua mtego mbaya sana aliowekewa na UK. UK alitawangazia wananchi wake kuwa wasijilinganishe na Tanzania inayoficha takwimu kesho yake akatuma wajumbe wake kuja kwenye msiba wa BWM. Hii maana yake baada ya kurudi Kenya wangepimwa na kugundulika wana maambukizi (mtego wa kutaka kuonesha alichokisema kilikuwa na maana) lakini JPM akaugutukia mchezo huo.
Baada ya kuona hila yao imeshtukiwa kaamua (kwa hasira) kuiondoa Tanzania kwenye nchi ambazo raia wake wanatakiwa kuingia Kenya, lakini cha ajabu eti ndege zake (KQ) zingeingia Tanzania! Nadhani JPM kamkumbusha tu kuwa hata KQ zisije.
All in all, sisi ni majirani, tungeweza kutafuta njia nzuri zaidi kutatua mgogoro huu badala ya kutunishia msuli.
Acha upuuzi.Mkuu what would you expect kutoka kwa mtu aliyetoka jalalani?
Kwahiyo ukikaa huko ndio unaona usahihi wa wanachokifanya wakenya kwa Tanzania?Mkuu wewe huna cha kupoteza/kufaidika, wengine tunakaa kwenye nchi zote tatu yaani Kenya, Tanzania na Uganda, tuna watoto wanasoma huko please kuwa makini.
Kwahiyo yanauzwa Kenya tu na hakuna popote yanauzika au ndio ufinyu wa kufikiri na kutafuta masoko mengine? Tunategemeana na tuheshimiane sio kulambana.Hujui tunafaidika nin na EAC? Bila Kenya mazao yetu hayana soko at all mfano mahind, viaz n.k wateja wetu wakuu ni nchi za jirani.
Vinginevyo tunataka tuwatese wakulima. Issue ni kutafuta suluhu maana we are mutual beneficial.
Hajielewi huyo dogo mpotezee tu.Hujitambui au pinga pinga imekukaa mno,kabudi ndio alietangaza watanzania wasiingie Kenya?
Kwa hili wanazi wa chadema tulieni tu,jielekezeni kwenye uchaguzi mnatia sana aibu
Mnatafuta nini Tanzania Kama mnajitosheleza?Hooo, sijui hatuihitaji kenya..sasa rais wetu kuwakataza kuingia kenya inawauma nn..
Tena kinachoshangazq mnapenda kujishuku km wake wajawazito.
Hamjatajwa km nynyi ndio mnaficha data lkn lile povu mlitema haswa[emoji23]
Kama Taifa tunapaswa kujitafakari mtu kama Kabudi sio mwanadiplomasia bali ni mchekeshaji wa mfalme ndiyo maana nchi yetu inaonekaka kituko mbele ya jamii za kimataifa.
Kuwa wewe huyo waziri uwasaidie ndugu zako Wakenya. Endelea na hamu zako za kuhitaji hivyo hivyoPua zimekutanuka kwa jazba hadi unakosa point.
Tunahitaji waziri anayejua diplomasia sio huyu mchekeshaji wa mfalme anayetoa macho tu kwenye migogoro ya kimataifa.
Inamaana hamjui kwanini ndege zetu zimekatazwa kutua Kenya?
Ndipo uwezo wa akili zako ulipofikia?Rais mstaafu Kikwete aombwe kwa hisani kuchukua hatamu za wizara hii.
Tanzania ni zaidi sana ya tunayoyashuhudia sasa.
Baki na hamu zako weweWatanzania=Wachawi wenye umaskini mwingi majungu chuki na wivu
Inashangaza sana, "great thinkers" badala ya kuangalia namna nzuri ya kuzisaidia nchi hizi masikini (japo tunajigamba kuwa tupo uchumi wa kati) tupo hapa kupigana vijembe na kufuata mkumbo wa wanasiasa waliofilisika kisiasa. Ukweli utabaki pale pale, Kenya na Tanzania zinategemeana sana na hakuna East Africa pasipo Tanzania au Kenya, vinginevyo ni kujidanganya...
Ndicho nilicho kisema ttafute suluhu ili tendelee kuheshimiana na kutegemeana, au wewe ukigombana kidogo tu na mume wako unafungasha unaondoka!?Kwahiyo yanauzwa Kenya tu na hakuna popote yanauzika au ndio ufinyu wa kufikiri na kutafuta masoko mengine? Tunategemeana na tuheshimiane sio kulambana
Zinaendelea kupungua as days goes on, fanya utafiti mdogo kwenye shelves.
Tumebakiza bluebands, toothpastes, hizi sijaona kabisa za made in Tanzania, may be work in progress.