Tanzania should be kicked out of EAC

Tanzania should be kicked out of EAC

Kenya wametutafuna sana!!!kwa upumbavu wetu wa kuback off kisa maswala ya kidiplomasia za kinafiki,Mfano mzuri tu ni kwenye madini,mazao ya kilimo,mifugo na kadhalika!!!!!Mwisho wa siku mpaka viongozi wakubwa wa nchi wanajiuliza nini kimetokea!!!!Wacha tupimane nao urefu....wakisimama na sisi tunasimama,wakisimamia vidole na sisi tunasimamia vidole........!!!!!!!!.Ndo namna ya kwenda nao hawa jirani zetu.Mbona Uganda shwari na si wao.Kuna kitu.
 
Pua zimekutanuka kwa jazba hadi unakosa point.

Tunahitaji waziri wa mambo ya nje anayejua diplomasia sio huyu mchekeshaji wa mfalme anayeyoa macho tu kwenye migogoro ya kimataifa.
Inamaana hamjui kwanini ndege zetu zimekatazwa kutua Kenya?
Hatujui,tueleze wewe bwana mchambuzi
 
Watanzania=Wachawi wenye umaskini mwingi majungu chuki na wivu
Kuzidi huu ujuha hapa?
Screenshot_20200801-214129_Twitter.jpg
Screenshot_20200801-213921_Twitter.jpg
Screenshot_20200801-213208_Twitter.jpg
 
Mwenye uwezo wa kuitoa nchi kwenye EAC kwa kura ya Veto ni Tz.

Kimsingi Kenyaland wanafikiri ni kipindi cha ujima. Sisi ndio tutakutoa japo unalialia kila wakati .
Bila kujali ni ndugu zetu.

Kwa taarifa tupo hapo muda mrefu kipindi cha vita baridi, kipindi cha ukombozi nchi za kusini ulionyesha kuwa njia ambayo ujasusi ungepita kwako, tuko hapo hadi system ya ndani tunakujua in and out.

Tunaweza kufanya chichote na ulimwengu ukashangaa Ila ni ndugu zetu basi tu
 
Kama Taifa tunapaswa kujitafakari mtu kama Kabudi sio mwanadiplomasia bali ni mchekeshaji wa mfalme ndiyo maana nchi yetu inaonekaka kituko mbele ya jamii za kimataifa.
Nimtazamo wako siyo tatizo...wala hali haiko usemavyo
 
Inashangaza sana, "great thinkers" badala ya kuangalia namna nzuri ya kuzisaidia nchi hizi masikini (japo tunajigamba kuwa tupo uchumi wa kati) tupo hapa kupigana vijembe na kufuata mkumbo wa wanasiasa waliofilisika kisiasa. Ukweli utabaki pale pale, Kenya na Tanzania zinategemeana sana na hakuna East Africa pasipo Tanzania au Kenya, vinginevyo ni kujidanganya...
Kwa yale yalio kuwa yanafanya na kenya bado unahisi ilikuwa sahihi kuendelea kuwa chekea hawa watu?
 
LangatKipro,

Did you know that EAC used to run very well until kenya messed up.
Tanzania and Uganda we lost a lot,
This time we ain't gonna be sitting down and leaving Kenya do whatever they want.
 
Mimi Kama Raia Wa Banana Republic Naungana Na Hoja Yako, TZ tumejaa husuda, Visebusebu na viroho Papo.

Ebu fkiria wa marekani kumi wamekuja Tanzania kutalii au kibiashara (kwa sababu anga la TZ liko open kwa kila nchi), siku moja wapande KQ au ndege yoyote kutoka TZ kwenda Kenya wakiwa na watanzania kumi wakifika Airport wamarekani wanaruhusiw kuendelea na shughuri nchini kenya kwa sababu niwamarekani lakini watanzania hawarugusiwi kisa ni watanzania wakati wote wametoka TZ na wote kama corona wapo exposed sawa sawa! huoni huo ni upuuzi?
 
Nani ka kwambia tena kipindi hiki cha Corona,WFP wametabiri kutakuwa na janga kubwa la njaa,masoko yapo kibao.
Sio Tanzania, hapa chakula kipo kibao tukiuziana sisi kwa sisi kinabaki kingi na bei itakua chin mkulima haita mlipa.
Soko letu kuu la mazao ni Kenya kama hujajua.
 
Nadhani watz inabidi tuufanyie kazi ushauri wa mdau alopost kwenye jukwaa la hoja mchanganyiko wa kuweka pazia kwenye mlima Kilimanjaro ili usionekane ukiwa kenye maana kuzuia ndege zao tu hazitoshi, hawa mamburura wametuona sisi ni wajinga sana kwa muda mrefu.

Tena naliagiza na Baraza la Kiswahili Tanzania wakati umefika wa kukamata kazi zote za kufundisha Kiswahili fasaha huko nje, Serekali zidisheni juhudi kukomesha upenyo wowote wa Mirungi kulimwa na kuuzwa Kenya, maana hii ndio inaowafanya hawa jamaa Kila siku wakishatafuna hayo mamiralaa wawe watu wa kuweheuka weuka kuhusu Bongo
 
We are the one of the founders of East African community. I think wisdom should be used to resolve this Tz and. Ke tensions
 
Back
Top Bottom