Tanzania shows off amphibious warfare capability

Tanzania shows off amphibious warfare capability

kenya....
hv mmakumbuka kufanya zoez la kijeshi km hilo kwel...
te te te...
 
saadeque, hahah i love where u r heading! As a matter of fact SA n the AU disapproved us sending troops! And Comoro army tried n failed to oust the rebel leader. JK was awarded the highest order by Sambi n our soldiers were given wives!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
kenya....
hv mmakumbuka kufanya zoez la kijeshi km hilo kwel...
te te te...
naeza kuenyesha mapicha na ma video ya ma zoezi makuu yaliyofanywa mwezi uliopita ya kuokoa wanajeshi, wiki iliopita ya kuokoa wananchi kwenye vijiji, ndani ya majumba ya kisasa, ndani ya ndege, pia naeza kuonyesha mazoezi yanayo fanyika hii wiki ambayo ni kutafuta na kutegua mabomu........


hayo yote ukiangalia yanaendana na nyakati,,,,,,, huu ni wakati nchi zinapugana na magaidi, na hayo mazoezi yanatayarisha wanajeshi kwa mambo ambayo yanaeza fanyika.... ukilinganisha na nyinyi, lile zoezi mlilolifanya ni full amphibious assault mkitumia vifaru,ndege za kivita na kila nguvu, hilo zoezi kama hilo mkitumia wanageshi wa kawaida hua ni zoezi la kuingilia nchi nyengine kama mko vitani yani conventional warfare, sasa sijui kama ni relevant wakati huu wa historia zetu, unless uniambia mnataka kuingilia malawi kupitia ziwa, kama si hivyo basi hilo zoezi lenu kuu halina wakati kuwatayarisha kwa vita vinavyokumba dunia nyakati hizi, acha nchi kama north na south korea, au china na japan zifanye mazoezi kama hayo kwasasa maanake hao ndo wako on the edge wakitaka kupigananchi kwa nchi
 
naeza kuenyesha mapicha na ma video ya ma zoezi makuu yaliyofanywa mwezi uliopita ya kuokoa wanajeshi, wiki iliopita ya kuokoa wananchi kwenye vijiji, ndani ya majumba ya kisasa, ndani ya ndege, pia naeza kuonyesha mazoezi yanayo fanyika hii wiki ambayo ni kutafuta na kutegua mabomu........


hayo yote ukiangalia yanaendana na nyakati,,,,,,, huu ni wakati nchi zinapugana na magaidi, na hayo mazoezi yanatayarisha wanajeshi kwa mambo ambayo yanaeza fanyika.... ukilinganisha na nyinyi, lile zoezi mlilolifanya ni full amphibious assault mkitumia vifaru,ndege za kivita na kila nguvu, hilo zoezi kama hilo mkitumia wanageshi wa kawaida hua ni zoezi la kuingilia nchi nyengine kama mko vitani yani conventional warfare, sasa sijui kama ni relevant wakati huu wa historia zetu, unless uniambia mnataka kuingilia malawi kupitia ziwa, kama si hivyo basi hilo zoezi lenu kuu halina wakati kuwatayarisha kwa vita vinavyokumba dunia nyakati hizi, acha nchi kama north na south korea, au china na japan zifanye mazoezi kama hayo kwasasa maanake hao ndo wako on the edge wakitaka kupigananchi kwa nchi
Hata Tanzania hufanya mazoezi hayo ya kujihami ya ndani sio kila kitu iwe public
 
Huna akili ww, malawi ni nchi masikini huwezi linganish n Tanzania Top 10 Poorest Countries in Africa 2016 - By GDP per capita
Kwani Kenya ipo ya ngapi na inakula kichapo Somali. Au Ethiopia wangapi katika hio list na wanakula kichapo. Au hujaona kichapo waliopewa Marekani na Vietnam? [emoji15] Sasa wewe mwenye akili peleka hao Sangara Malawi tuone watakavyo kaangwa kuliko kule Uganda. [emoji38] [emoji38] [emoji38]

Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Mnasema nini hapa!!! Mambo ya Kibongo bado limbukeni nakwambia, hizo pale meli ni kama Nyayo ya Kenya iliyonunuliwa 1970's Kiwango cha Jasiri bado hamjafikia!!!!
 



Kaka mmoja hapa alisema nisitumie youtube? Hmm lakini hapo ndipo video hutumwa hata hivyo, mbona msitupe video hata moja kakangu Watanzania ili tuaamini!!!
 
Jamani na nondo zote hizi, alafu Al Shabaab anapenya?
 
Kwani Kenya ipo ya ngapi na inakula kichapo Somali. Au Ethiopia wangapi katika hio list na wanakula kichapo. Au hujaona kichapo waliopewa Marekani na Vietnam? [emoji15] Sasa wewe mwenye akili peleka hao Sangara Malawi tuone watakavyo kaangwa kuliko kule Uganda. [emoji38] [emoji38] [emoji38]

Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sasa Uganda alitupiga km walivyokufnya Wasomali na wnaozidi kukufanya?
[HASHTAG]#CmbMimi[/HASHTAG]
 
Sasa Uganda alitupiga km walivyokufnya Wasomali na wnaozidi kukufanya?
[HASHTAG]#CmbMimi[/HASHTAG]
Jifunze kuandika kwanza kabla kuweka comments. Tanzania isingeshinda vita na Uganda bila ya msaada wa Uingereza na Israel. Hata kampeni iliofanywa kuanzisha vita na kumchafua Idd Amin imefanywa na M15 na Mossad.
 
Back
Top Bottom