Itzmusacmb
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 1,531
- 1,134
Hyo mm hainihusu!! Kitu tunataka ni ushindi, maneno ya mfa maji peleka kwnye philosophy classJifunze kuandika kwanza kabla kuweka comments. Tanzania isingeshinda vita na Uganda bila ya msaada wa Uingereza na Israel. Hata kampeni iliofanywa kuanzisha vita na kumchafua Idd Amin imefanywa na M15 na Mossad.