luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Mna ndege 3 kwenye ile fleet ya KQ,Yeah! Tukicheka na hawa majirani tutavuna mabua, nimefurahi sana kwa uongozi wa nchi yetu kwa kuwa na msimamo dhabiti, wasikubali kututia rehani kisa mindege yetu ya KQ kwenda Dar.
Mna ndege 3 kwenye ile fleet ya KQ,
Halafu hao viongozi wenu si ndio wameuza Vifaa vya msaada wa Jack Ma? Yaani wamekunywa uji wa Mgonjwa, tofauti iko wapi? [emoji16][emoji16][emoji16]
They don't care about you poor Kenyans.
Sent using Jamii Forums mobile app
hatuna haja ya kufanya hivyo, maana hatuhitaji kuja huko failed state.Mkae huko na njaa zenu hadi siku mttuhkikishia mumeacha kuogelea kwenye corona, ila kwa sasa pambaneni huko huko.
kenya na Tanzania.wapi kuna njaa wewe?? acha kutumia makalio kufikiriMkae huko na njaa zenu hadi siku mttuhkikishia mumeacha kuogelea kwenye corona, ila kwa sasa pambaneni huko huko.
Nani aje kwenye li nchi la jangwa nyie ndo mnalilia kuja hukuHatuna haja ya kujua kama mna corona au la la mking'ang'ania kuja kwetu lazima mpanue midomo tuwapime maana mlishajichokea na kutelekeza watu wenu wahangaike kwa corona wenyewe.
Li nchi la ukabila,rushwa,unafiki,rushwa,upigaji dili,ubeberu wa kiwango cha rami,ulevi,majigambo,ushoga,.....,......Nani aje kwenye li nchi la jangwa nyie ndo mnalilia kuja huku
Umesahau uchawi,wivu,ujinga umaskini umbeaa, majungu uzembe.Mkae tu huko kwenu hatuwataki huku kwetuLi nchi la ukabila,rushwa,unafiki,rushwa,upigaji dili,ubeberu wa kiwango cha rami,ulevi,majigambo,ushoga,.....,......
Na ukujie ndugu zako omba omba tumewachokaLi nchi la ukabila,rushwa,unafiki,rushwa,upigaji dili,ubeberu wa kiwango cha rami,ulevi,majigambo,ushoga,.....,......