TANZANIA (taifa stars) vs CAMEROON !!!

TANZANIA (taifa stars) vs CAMEROON !!!

sasa itabidi tuhamie kwenye Rugby maana football metushinda!
 
21 Jun 08 CMR 2:1 (0:0) TAN

Team MP W D L GF GA Pts
1 Cameroon 4 3 1 0 7 1 10
2 Cape Verde 3 2 0 1 2 2 6
3 Tanzania 4 0 2 2 2 4 2
4 Mauritius 3 0 1 2 1 5 1

Fixtures and Results14 Jun 08 TAN 0:0 CMR
21 Jun 08 CMR 2:1 (0:0) TAN
06 Sep 08 CPV CMR
11 Oct 08 CMR MRI

More »
Standings Team MP W D L GF GA Pts
1 Cameroon 4 3 1 0 7 1 10
2 Cape Verde Islands 3 2 0 1 2 2 6
3 Tanzania 4 0 2 2 2 4 2
4 Mauritius 3 0 1 2 1 5 1

More »

alafu kwa standing hiyo bado twataka jazana upumbavu eti tujipe moyo i don know tume improve....shenz kabsaaa!
 
sasa itabidi tuhamie kwenye Rugby maana football metushinda!

alafu madada zetu wapewe uwezeshaji zaidi kwenye mdako na marede maana naona hata kwenye basket boli na neti boliii hamna kitu!!

wanaume kwa vile tuna nguvu ndo tu focus zaidi kwenye mchezo wa ujambawazi na ufisadi!!

i bet kungekua na mchezo wa kibaba mama tungekua twaongoza na wabongo kwa masuala hayo ehh......acha tu
 
sasa iliobaki tuendeleze majungu. maana sasa watasema marcio ni bomu mara JK auTaifa stars

na zenji wao wanasema hio si timu ya taifa kabisa
 
alafu kwa standing hiyo bado twataka jazana upumbavu eti tujipe moyo i don know tume improve....shenz kabsaaa!
Hamna kitu kabisa sisi yaani tumechemsha vibaya mno!bora hata ile time ya kina Tenga ilifanikiwa kucheza African Cup miaka hiyo!Mimi kwa kweli sioni haja ya kujipa moyo eti tumefunga kamoja!huu ni uidiot kabisa!bora tukalime tu soka imetushinda tunapoteza pesa mingi kumlipa maximo for nothing!
 
Kama tumeshindwa kupata nafasi ya pili kwenye hili kundi basi hadi muujiza utokee ndo tutakuja kunusa finalili za CAN na FIFA.
Tusiporudisha jina la Taifa stars hakika tutaendelea kuvuna matokeo hayahaya.
Hongera JK boys mmejitahidi sana,mmeonyesha kiwango kizuri ila mmeangushwa na sihasa
 
Hamna kitu kabisa sisi yaani tumechemsha vibaya mno!bora hata ile time ya kina Tenga ilifanikiwa kucheza African Cup miaka hiyo!Mimi kwa kweli sioni haja ya kujipa moyo eti tumefunga kamoja!huu ni uidiot kabisa!bora tukalime tu soka imetushinda tunapoteza pesa mingi kumlipa maximo for nothing!

Baada ya vizahanati binafsi kuzidi kwa wingi. na jambo hili kufanyika hospitalini na si porini tena ,wakuu wa kaya ya TZ watot o wamekua sasa, wao wenyewe wanaomba kupelekwa 'jando' la Taifa.....! (JKT
 
Where is VIPAJI jamani?....soka halikui kwa maneno ya kwenye bao twahitajika tuwe na utamaduni wa kukuza vipaji.....wapi UMISSETA,UMITASHUMITA huko ndio walikotokea akina Kasejana wenzake.....

.......lafu hili soka la Simba na yanga limeua vipaji sana......PAWASA yuko wapi? kuna wakati natamani niwachukue viongozi wa soka bongo NIWAFANYIE FORMATING bongo zao.....
 
Where is VIPAJI jamani?....soka halikui kwa maneno ya kwenye bao twahitajika tuwe na utamaduni wa kukuza vipaji.....wapi UMISSETA,UMITASHUMITA huko ndio walikotokea akina Kasejana wenzake.....

.......lafu hili soka la Simba na yanga limeua vipaji sana......PAWASA yuko wapi? kuna wakati natamani niwachukue viongozi wa soka bongo NIWAFANYIE FORMATING bongo zao.....
UMISSETA NA UMITASHUMITA ZINARUDI SIJUI MWAKANI!Viongozi wasiotakia mema michezo waliifuta kwa kweli basi tu!
Kina nteze john na ediboy si ndo walitoka huko pia!
 
Masikini tanzania nchi ya asali na maziwa.......!!!
 
Tatizo maximo hashauriki.anaona kila kitu anachukua kwa JK. hivyo wapenzi wa mitaani kama sisi hatusikilizwi.

na Tenga anaogopa sana kwa vile Taifa stars ni sera ya CCM na yeye ni Chadema anaogopa kuambiwa anavuruga sera.

Kipa wetu ni tatizo kubwa tutafungwa sana. sijui Maximo ana bifu gani na Kaseja.

Cameroon hivi sasa wameshuka kama Senegal kwa kiasi fulani. ilikuwa wakati muafaka wa kuitangaza nchi yetu lakini Maximo katubania. na sisi tunasifika kwa ukarimu na utulivu hasa kwa wageni wanaochukua rasilimali zetu.
 
Safu yetu ya ushambuliaji ni tatizo sugu. Hata kipa akifungwa mara moja kwa makosa, kwa nini forward wasifunge. Beki leo imecheza vizuri sana lakini ndo hivyo tumetolewa kiaibu. tukishinda mechi zote mwisho wetu ni pointi nane!
 
Hapo hakuna cha safu wala Omo ,hao tuliocheza nao timu yao nzima ni wachezaji wa kulipwa sasa kama huyo alietufunga kwa uhakika unafikiri ni mcheza wa kariakoo ,yaani hapo Camerouni penyewe ndio wanamwona katika mashindano makubwa ambayo Timu yao ya Taifa inacheza yaani mwaka mara mbili au tatu hazizidi ,zaidi wanamtazama kwenye kweny televisheni tu wakichezea timu za wazungu japo hazina wazungu.
Yaani msifanye mchezo tumeenda kucheza na mamluki ,hapa walituachia tu ili kutupa moyo wa uyoga na wao kuondoka kwa salama bila ya kunyunyiziwa unga.
Hapa Sudan na wakenya wanatutoa kamasi ,halafu mnataka kumsukumia kocha ,huyu Kocha amejaribu sana na yumo katika kujaribu lakini anajua fika kuwa Watanzania kwa sasa si watu wa mpira tunahitaji miaka kama kumi hivi tena ya zoezi kali sio kwa timu ya Taifa bali kwa Nchi nzima ,yaani haiwezekani linchi likubwa kama hivi miaka yote kikombe kinachukuliwa na Simba na Yanga ,timu izo izo toka mtu anazaliwa mpaka anakufa halafu mnataka kwenda kuchukua kombe la dunia ,yaani ni sawa na vyama vya upinzani kutaka kuiondoa madarakani CCM.
 
lile Goli La Pili Tulilofungwa ..tungekuwa Na Kipa Imara Kidogo Tu Angeweza Kuokoa...you Know Kipa Lazima Ajue Ni Last Resort....ule Mpira Etoo Kapiga Umempitia Mapunda Just I Ft Kutoka Aliposimaa Na Wala Hakujigusa Zaidi Ya Kuangalia Tu.......hatuna Kipa Wala Forwerders Makini...ule Mpira Alioopewa Gabriel Na Ngasa Ulikuwa Uwe Goli Wazi...

Wamejitahidi Anyway...
 
Tatizo maximo hashauriki.anaona kila kitu anachukua kwa JK. hivyo wapenzi wa mitaani kama sisi hatusikilizwi.

na Tenga anaogopa sana kwa vile Taifa stars ni sera ya CCM na yeye ni Chadema anaogopa kuambiwa anavuruga sera.

Kipa wetu ni tatizo kubwa tutafungwa sana. sijui Maximo ana bifu gani na Kaseja.
Cameroon hivi sasa wameshuka kama Senegal kwa kiasi fulani. ilikuwa wakati muafaka wa kuitangaza nchi yetu lakini Maximo katubania. na sisi tunasifika kwa ukarimu na utulivu hasa kwa wageni wanaochukua rasilimali zetu.
bifu sasa limekwisha si amehamia yanga....... sasa kaseja ataitwa stars...! (joke)
 
Vijana kwa siku ya jana kule Cameroon, walicheza vizuri sana hasa kipindi cha pili ndio walivutia sana,ila siku zote mpira ni mchezo wa makosa sasa Maximo itabidi awe na wachezaji ambao kufanya makosa ya mara kwa mara ni nadra aina hii wachezaji wapo lakini huyu bwana sas hivi ni mwana siasa sio tena kocha wa mpira,kipa ni sehemu nyeti sana sasa inatakiwa awepo kipa ambae hana mistakes za mara kwa mara nasema hivyo kwasababu jana Ivo alikua na hilo tatizo kutema mipira tangu kipindi cha kwanza,halafu safu ya kiungo na ushambuliaji haikua na ushirikiano wa kutosha pamoja na kwamba tuna tatizo ktk ushambuliaji hatuna watu enye kimo kirefu na fiziki nzuri na upeo wa kutosha ktk soka
 
Back
Top Bottom