TANZANIA (taifa stars) vs CAMEROON !!!

TANZANIA (taifa stars) vs CAMEROON !!!

Mpaka sasa Dakika ya 62 ngoma bado draw........refa anaonekana kuwapendelea cameroun....Mungu yupo tu lakini.......
 
Dakika ya 63 bado hakuna bao kwa timu yoyote.
 
Mpaka sasa Dakika ya 62 ngoma bado draw........refa anaonekana kuwapendelea cameroun....Mungu yupo tu lakini.......[/QUOTE

Huyo refa atakuwa ni wa kutoka Afrika Magharibi tusishangae akiamua kuwapa penalty
 
Msisahau kuwa hilo ndio first 11 letu....
(GK) Ivo MAPUNDA 1
Salum SWED 2
Shaban NDITI 5
Henry JOSEPH 6
Danny MRWANDA 7
Mrisho NGASA 8
Geofrey BONY 9
Nadir HAROUB 13
Shadrack NSAJIGWA 14
Nizar KHALFAN 16
Amir MAFTAH 17
 
Sasa kama hamjui basi leo tunashinda moja,sina maneno wacha nitazame ila kocha kaiva jamaa hawaambiliki !
 
Etoo katuliza dakika ya 69.....Refa anapendelea kudadadeki
 
etoo katufanyizia kudadadekiii looh!!
 
Msiandike Hatujasawazisha Manake Wengine Wasimuliwe Kwanza Ndo Wapost
 
Live Scoreboard 70' CMR Cameroon 1:0 Tanzania TAN
50' NGA Nigeria 1:0 Equatorial Guinea
 
Timu ilikuwa inashinda ilipokuwa bado inaitwa Taifa stars kwa sababu walikuwa wanajituma kwa maslahi ya Taifa.Tangia waibandike jina la JK BOIZ basi timu inacheza ki-JK -JK
 
Last edited:
Timu ilikuwa inashinda ilipokuwa bado inaitwa Taifa stars kwa sababu walikuwa wanajituma kama kwa maslahi ya Taifa.Tangia waibandike jina la JK BOIZ basi kila kitu kimekuwa ki-JK -JK

Bwana wee, akawaite JK boiz hao wana mtandao wenzake waliombeba ili aingie Ikulu, timu yetu waiache na jina tunalolijua na kulizoea miaka nenda miaka rudi whether inafanya vibaya au wanakuwa kichwa cha mwendawazimu.
 
Back
Top Bottom