Tanzania (Taifa Stars) vs Morocco

jamani uwanja umecheuka leo ni aibu kwa kweli kutufanyia kitu mbaya mbele ya umma huu ni aibu
 
Idrisa Rajabu anatoka nafasi yake inachukuliwa na Machaku
 
hawa timu yao inaitwa simba au ? naona jamaa anasema fungeni goli la pili enyi usuud( wakimaanisha simba)

au ndio nnaona watu wamefurahi kuwa simba kashinda
 
yeah wanaitwa simba wa atlas (lions of atlas) hao...
 
hawa timu yao inaitwa simba au ? naona jamaa anasema fungeni goli la pili enyi usuud( wakimaanisha simba)

au ndio nnaona watu wamefurahi kuwa simba kashinda

Siyo kwa vile kwa vile wanaitwa simba, ni kwa sababu JK ni mgeni rasmi sasa mashabiki hawamtaki maana anataka kutumia ushindi huo kama kampeni kwake,
Afadhali tufungwe tu ili asipate ujiko wa bure kwenye timu mbovu
 
muniri hamdawi anatoka na kuingia yussuf haji

huyu jamaa sijui vipi dakika kumi zimebaki
 
mzee wetu naona amekubali matokeo ameamua kukaa kwenye benchi (nakusudia kocha ), tusubiri hayo matusi yake kwa wenye kuosha vinywa si haba maximo kapumua

watanzania safari bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…