The Dreamer
JF-Expert Member
- Feb 2, 2009
- 1,282
- 21
Mungu Ibariki Tanzania(except mafisadi)
hawa timu yao inaitwa simba au ? naona jamaa anasema fungeni goli la pili enyi usuud( wakimaanisha simba)
au ndio nnaona watu wamefurahi kuwa simba kashinda
Kama Kikwete yuko uwanjani basi kushinda ni ndoto!