Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,176
Kama Kikwete yuko uwanjani basi kushinda ni ndoto!
ha! ha! ha!
Ng'wanangwa aliweka uzi wa kutabiri kushindwa kwa Stars sababu ya kualikwa Kikwete. Ng'wanangwa hakuchukua raundi. Akawa banned.
Unaona sasa! Dakika zinazidi kuyoyoma jamani.
Ngapi - ngapi Mfunyukuzi?