Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,621
- 8,411
Timu ya Taifa(Taifa Stars) imeambulia kipigo cha mabao 4 kwa 1 kutoka kwa timu ya Taifa ya Algeria katika mchezo wa kirafiki
> Goli pekee la kufutia machozi la Taifa Stars limefungwa na Simon Msuva anayekipiga katika Klabu ya Difaa El Jadid ya nchini Morocco
International Friendly Match
Algeria 4-1 Tanzania
⚽️Baghdad
⚽️Msuva
⚽️Kapombe (og)
⚽️Carl
⚽️Baghdad
84'
> Goli pekee la kufutia machozi la Taifa Stars limefungwa na Simon Msuva anayekipiga katika Klabu ya Difaa El Jadid ya nchini Morocco
International Friendly Match
Algeria 4-1 Tanzania
⚽️Baghdad
⚽️Msuva
⚽️Kapombe (og)
⚽️Carl
⚽️Baghdad
84'