Tanzania(Taifa Stars) yanyolewa bila wembe na Algeria goli 4 kwa 1

Tanzania(Taifa Stars) yanyolewa bila wembe na Algeria goli 4 kwa 1

Kuna wachezaji viwango hewa . Inabidi mtukufu aingilie kati na kuwatumbua
 
Nawapongeza sana taifa staz wamejitahidi, na mpira wetu unakua, mnaolaum kumbuka tunacheza na mtu ambae yuko nafasi ya 47kwenye viwango vya fifa huku sisi tukiwa nafasi ya 167, kufungwa ilikua haikwepeki ukizingatia tulikua kwao.

Pili ni nyie mnaokaa kwenye tv mnamwona mahrez anavosumbua vigogo epl, nabii wanavosumbua vgogo ulaya, afu leo eti ndo anakabwa na gadiel michael, acheni utani kipigo kilikua unkwepabo, ila nashukuru vijana wamejitaidi kucheza defence, ata tumepigwa nne ni jambo la ahueni
 
Nawapongeza sana taifa staz wamejitahidi, na mpira wetu unakua, mnaolaum kumbuka tunacheza na mtu ambae yuko nafasi ya 47kwenye viwango vya fifa huku sisi tukiwa nafasi ya 167, kufungwa ilikua haikwepeki ukizingatia tulikua kwao.

Pili ni nyie mnaokaa kwenye tv mnamwona mahrez anavosumbua vigogo epl, nabii wanavosumbua vgogo ulaya, afu leo eti ndo anakabwa na gadiel michael, acheni utani kipigo kilikua unkwepabo, ila nashukuru vijana wamejitaidi kucheza defence, ata tumepigwa nne ni jambo la ahueni
Dreadful mind from Shameful Man
 
Timu ya Taifa(Taifa Stars) imeambulia kipigo cha mabao 4 kwa 1 kutoka kwa timu ya Taifa ya Algeria katika mchezo wa kirafiki

> Goli pekee la kufutia machozi la Taifa Stars limefungwa na Simon Msuva anayekipiga katika Klabu ya Difaa El Jadid ya nchini Morocco

View attachment 722670
International Friendly Match‬
‪Algeria 4-1 Tanzania ‬
‪⚽️Baghdad‬
‪⚽️Msuva‬
‪⚽️Kapombe (og)‬
‪⚽️Carl‬
⚽️Baghdad
‪84'‬
Masikini Samata anajuta kuzaliwa bongo land
 
Back
Top Bottom