Tanzania Tena! Waisrael waja kufanya uwekezaji Mkubwa wa Mahoteli Zanzibar

Tanzania Tena! Waisrael waja kufanya uwekezaji Mkubwa wa Mahoteli Zanzibar

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Haya ndo matokeo ya kufanya kazi kwa akili na sio maguvu!

Jarida maarufu nchini Israel la The Times of Israel limeripoti kuhusu Waisrael kuja kufanya uwekezaji mkubwa Zanzivar ikiwemo kujenga Hoteli kubwa za kisasa katika kukuza soko la utalii

Jarida hili halijaishia hapo bali limekwenda mbali na kuelezea kwa namna gani Tanzania kwa ujumla ina vivutio vizuri kuzidi hadi South Africa ila havijapewa kibaumbele. Limetaja mlima K8limanjaro na mbuga ya Serengeti.

Hii ndo Tanzania tunayoitaka. Hongera Rais Samia kwa maono yako katika kukuza Utalii. Kweli tunaanza kuona Matokeo
Screenshot_20220902-071033_Chrome.jpg

Screenshot_20220902-071047_Chrome.jpg


Lord Denning
Tel Aviv, Israel
 
Wawekezaji mnakaribishwa, tulisheleweshwa sana ktk miaka sita iliyopita kwa sera ambazo zinasema masikini ambaye hajawahi kula mnofu wa nyama akipata nyama itamuozea mkononi kwa kuishangaa na kutoamini anayo.

Tanzania tuna fukwe za mchanga mweupe ulio safi bila uchafuzi wa mazingira, bahari na maziwa yenye maji ya buluu, mbuga za wanyama, viwanja vya ndege vya kimataifa AAK Zanzibar, JNIA Dar es Salaam, KIA Kilimanjaro, Songwe Mbeya, watu wakarimu, pia kunafikika kwa kutumia masaa machache ni nini tunataka tupewe zaidi ?
 
29 August 2022

Jamaa wakishangaa Tanzania nchi yetu ya furaha na ya kupendeza



Mruko wa ndege (flight) Addis Ababa, KIA Kilimanjaro, Abeid Amani Karume ZNZ
Source : airflix
 
Hii ndio sawa,akija mukezaji muarabu,msipige kelele.Kila aliyechangia uzi,ameunga mkono.Ingekuwa muarab(bora awe na jina la kiislamu),kelele zingekuwa nyingi.
Tunaunga mkono,uwekezaji huu,bila kungalia dini,utaifa,rangi,asili nk ya muekezaji.
Tanzania hakuna ukabila, udini wala ukanda! Ukiona mtu anaendekeza huo upuuzi jua huyo sio Mtanzania halisi ni pandikizi
 
Wawekezaji mnakaribishwa, tulisheleweshwa sana ktk miaka sita iliyopita kwa sera ambazo zinasema masikini ambaye hajawahi kula mnofu wa nyama akipata nyama itamuozea mkononi kwa kuishangaa na kutoamini anayo.

Tanzania tuna fukwe za mchanga mweupe ulio safi bila uchafuzi wa mazingira, bahari na maziwa yenye maji ya buluu, mbuga za wanyama, viwanja vya ndege vya kimataifa AAK Zanzibar, JNIA Dar es Salaam, KIA Kilimanjaro, Songwe Mbeya, watu wakarimu, pia kunafikika kwa kutumia masaa machache ni nini tunataka tupewe zaidi ?
Kweli Mkuu bagamoyo! Hii nchi tumecheleweshwa sana na watu waliokosa exposure
 
Mama Samia ananikosha sana hasa kwenye haya mambo ya uchumi na kukuza utalii
Trust me huyu Mama akipata washauri wazuri uchumi wetu utarudi sema amezungukwa na Vultures.

Uongozi sio makelele na kupiga marisasi uongozi ni kipaji mimi kila siki nasemaga Ajira Ajira Ajira.
 
Trust me huyu Mama akipata washauri wazuri uchumi wetu utarudi sema amezungukwa na Vultures.

Uongozi sio makelele na kupiga marisasi uongozi ni kipaji mimi kila siki nasemaga Ajira Ajira Ajira.
Naunga mkono hoja
 
Hii ndio sawa,akija mukezaji muarabu,msipige kelele.Kila aliyechangia uzi,ameunga mkono.Ingekuwa muarab(bora awe na jina la kiislamu),kelele zingekuwa nyingi.
Tunaunga mkono,uwekezaji huu,bila kungalia dini,utaifa,rangi,asili nk ya muekezaji.
... nchi inaenda kuvuna baraka na zaidi ya baraka!
 
Hii ndio sawa,akija mukezaji muarabu,msipige kelele.Kila aliyechangia uzi,ameunga mkono.Ingekuwa muarab(bora awe na jina la kiislamu),kelele zingekuwa nyingi.
Tunaunga mkono,uwekezaji huu,bila kungalia dini,utaifa,rangi,asili nk ya muekezaji.
Shekh, kwani hakuna waisrael waarabu!
 
M
Hii ndio sawa,akija mukezaji muarabu,msipige kelele.Kila aliyechangia uzi,ameunga mkono.Ingekuwa muarab(bora awe na jina la kiislamu),kelele zingekuwa nyingi.
Tunaunga mkono,uwekezaji huu,bila kungalia dini,utaifa,rangi,asili nk ya muekezaji.
Muwekezaji ni Muwekezaji hata awe Shoga sisi tuangalie Ajira na Serikali ipate fungu lake.

Mara nyingine utajikuta unabishana na Vitoto humu.

Samia sera zake ziwe Win Win.
 
Back
Top Bottom