Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Haya ndo matokeo ya kufanya kazi kwa akili na sio maguvu!
Jarida maarufu nchini Israel la The Times of Israel limeripoti kuhusu Waisrael kuja kufanya uwekezaji mkubwa Zanzivar ikiwemo kujenga Hoteli kubwa za kisasa katika kukuza soko la utalii
Jarida hili halijaishia hapo bali limekwenda mbali na kuelezea kwa namna gani Tanzania kwa ujumla ina vivutio vizuri kuzidi hadi South Africa ila havijapewa kibaumbele. Limetaja mlima K8limanjaro na mbuga ya Serengeti.
Hii ndo Tanzania tunayoitaka. Hongera Rais Samia kwa maono yako katika kukuza Utalii. Kweli tunaanza kuona Matokeo
Lord Denning
Tel Aviv, Israel
Jarida maarufu nchini Israel la The Times of Israel limeripoti kuhusu Waisrael kuja kufanya uwekezaji mkubwa Zanzivar ikiwemo kujenga Hoteli kubwa za kisasa katika kukuza soko la utalii
Jarida hili halijaishia hapo bali limekwenda mbali na kuelezea kwa namna gani Tanzania kwa ujumla ina vivutio vizuri kuzidi hadi South Africa ila havijapewa kibaumbele. Limetaja mlima K8limanjaro na mbuga ya Serengeti.
Hii ndo Tanzania tunayoitaka. Hongera Rais Samia kwa maono yako katika kukuza Utalii. Kweli tunaanza kuona Matokeo
Lord Denning
Tel Aviv, Israel