Wawekezaji mnakaribishwa, tulisheleweshwa sana ktk miaka sita iliyopita kwa sera ambazo zinasema masikini ambaye hajawahi kula mnofu wa nyama akipata nyama itamuozea mkononi kwa kuishangaa na kutoamini anayo.
Tanzania tuna fukwe za mchanga mweupe ulio safi bila uchafuzi wa mazingira, bahari na maziwa yenye maji ya buluu, mbuga za wanyama, viwanja vya ndege vya kimataifa AAK Zanzibar, JNIA Dar es Salaam, KIA Kilimanjaro, Songwe Mbeya, watu wakarimu, pia kunafikika kwa kutumia masaa machache ni nini tunataka tupewe zaidi ?