Tanzania Tena! Waisrael waja kufanya uwekezaji Mkubwa wa Mahoteli Zanzibar

Chato International Airport umeisahau.
 
Nzuri sana
 
Tatizo lenu Waafrica wa Bongo Mna roho za kiswahili mnoo!! sasa wakisha jikita hamkawii kuwaita Majina ya hovyo! utasikia Mara Mkoloni,

Mara minyonyaji, Bwanyeye!

Mara gabachori wamerudi! wezi tu Hao!

Mara Mibepari hii inatunyonya tu na ukoloni Mambo leo! kwa akili zenu za njaa hizo! mnadhani hawajui??

Si walikuwa wamejaa humu?? kwa nini mliwafukuza nyie??! tena kwa Masimango wakaacha Mali au mmesha sahau mara hii tu!! mpaka wakaacha mali zao tele humu,...

angalia Mijengo ya maana Ikulu tamu ile! UDSM wao, K/koo wao! Hotel 77 wao nk! huyo Mama amesema atawarudishia au!!

Yaani mnataka waje wawainueeee! halafu Muwageuke? Mnadhani wao wajinga?? miafrica hamuaminiki pambaneni na hali yenu tu! hamtaki mtashikwa nyaaa!! wale hawaji ng'ooo! mtasubiri sana!

wakijitahidi saana, watakaa Nairobi asubuhi kazini zanzibar! mchana wanarudi na hela kulala Narobi /MOMBASA!!...mara ngapi Balozi zetu zimeshushuliwa huko Israel??

Mazayoni wanapenda Uganda tuuu hapa EA!..kwa sababu zao za kihitoria baaasi!...Hitoria gani hiyo?? hilo ni somo jingine kwa wakt mwingine!...usikose threads zangu...........
 
Wakenya mkuu nao hawapo mbali,na wamejazana huko fukwe za zenji balaa
Wakenya wanatuzidi kwenye Customer service sisi hatuko serious unamkuta Mhudumu wa Kitanzania anachati kwenye simu yake unakaa anakuangalia kama vile amelazimishwa kufanya kazi.

Tupanbane ndugu zangu Watanzania soko la ajira linataka tupambane kwelikweli.

Nakumbuka ile Migodi ya Barrick Watu walikuwa wakifukuzwa kwa wizi wa Dizeli lita 20.
 
NJAA MBAYA SANA LEO WAVAA KOBAZI WA ZANZIBAR WANAWAKUBALI WAYAHUDI??!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…