Tanzania, the first Country in the World to win over Coronavirus

Tanzania, the first Country in the World to win over Coronavirus

Give yourself time. Less than 10 people dying in Kenya is also not pandemic level, but we want it to remain in such low numbers until a vaccine or treatment is available.

South Africa is the most advanced country in Africa, and it's just now starting to feel the biggest effects. 572 dead yesterday alone.
Kenya, the most advanced country in East Africa will be the first to feel effects in this region.

Tanzania and your fellow shithole countries, you will not hide the despair for long.
Time is catching up with every country. The poorest last.
South Africa and Kenya share the same unfortunates:

1) Slums
2) Social inequality
3) Insecurity
4) Tribalism
5) Few people to own big share of GDP
6) Political and Social disharmony

Those are main reason for rampant spread of HIV and Corona in both countries

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Poleni majirani, akili finyu ni janga la kitaifa nchini Tz. Kuna mmoja amesema kwamba Tz mmeandikisha historia. [emoji1][emoji1][emoji1] Yaani kwa kifupi huyo ni mtz ambaye anajivunia kuwa zuzu, msukule na kinyangarika, zote kwa pamoja. Elimu, elimu, elimuuu!
 
Poleni majirani, akili finyu ni janga la kitaifa nchini Tz. Kuna mmoja amesema kwamba Tz mmeandikisha historia. [emoji1][emoji1][emoji1] Yaani kwa kifupi huyo ni mtz ambaye anajivunia kuwa zuzu, msukule na kinyangarika, zote kwa pamoja. Elimu, elimu, elimuuu!
Yah ni lazima tujivunie cz we are the only country in the world which is free of covid 19
 
Yah ni lazima tujivunie cz we are the only country in the world which is free of covid 19
Acha uzombie wewe, mlijuaje kwamba corona ilikuwepo nchini Tz? Mbinu hizo hizo ambazo zilitukumika kugundua kwamba corona imeshafika nchini Tz ndio zitatumika kwenye tafiti za kudhibitisha kwamba Tz hakuna corona tena. Sio huo ukinjeketile mnaojivunia.
 
Acha uzombie wewe, mlijuaje kwamba corona ilikuwepo nchini Tz? Mbinu hizo hizo ambazo zilitukumika kugundua kwamba corona imeshafika nchini Tz ndio zitatumika kwenye tafiti za kudhibitisha kwamba Tz hakuna corona tena. Sio huo ukinjeketile mnaojivunia.
Tulijua baada ya kushuhudia wagonjwa wanajazana katika hospitali wakiwa na dalili za Corona, sasa hivi hawapo tena watu wanaokwenda Hospitals na hizo Dalili.
 
waswahili hata condom hawavai mazeee dah! eti wamemliza korona , ukimwi na magonjwa mengine!!!😂
 
and yet Kunyaland records 1000 cases daily!
IMG_20200723_183540.jpg
 
Tulijua baada ya kushuhudia wagonjwa wanajazana katika hospitali wakiwa na dalili za Corona, sasa hivi hawapo tena watu wanaokwenda Hospitals na hizo Dalili
Eti dalili, kwani dalili za corona zipo unique tu kwa COVID-19? Kuna siku umesikia mtu anapewa tembe za HIV kwasababu tu anaoneshana dalili? [emoji1] Naona unajitia hamnazo na upumbavu kisa unaona aibu kutoa tamko ambalo litakinzana na kauli za dikteta wenu mpendwa. [emoji1] Afadhali hata mngetumia ile sayansi yenu ya kiafrika kujiliwaza sio porojo. Nchi zinazojielewa zinafanya test ya 'antibodies' kwenye sampuli 'random' kutoka kwa raia wao ili kudhibitisha kama kasi ya maambukizi imepungua au kufifia kabisa. Germany Starts Broad Antibody Testing to Assess Spread of Coronavirus; Israel Relaxes Restrictions
 
Eti dalili, kwani dalili za corona zipo unique tu kwa COVID-19? Kuna siku umesikia mtu anapewa tembe za HIV kwasababu tu anaoneshana dalili? [emoji1] Naona unajitia hamnazo na upumbavu kisa unaona aibu kutoa tamko ambalo litakinzana na kauli za dikteta wenu mpendwa. [emoji1] Afadhali hata mngetumia ile sayansi yenu ya kiafrika kujiliwaza sio porojo. Nchi zinazojielewa zinafanya test ya 'antibodies' kwenye sampuli 'random' kutoka kwa raia wao ili kudhibitisha kama kasi ya maambukizi imepungua au kufifia kabisa. Germany Starts Broad Antibody Testing to Assess Spread of Coronavirus; Israel Relaxes Restrictions
Kwani final touch za ugonjwa wowote ni zipi mkuu? Maana naona unakosa kazi sasa.
 
I repeat, Tanzanians take the top spot of the dumbest people. I won't allow myself to be dragged into these low IQ arguments, enjoy yourself
Dumbest babako! Ebo!

Na hako kakiingereza kako uchwara mwenyewe unadhani umekuwa mzungu!

Duuhh! Ujinga kipaji!
 
Eti dalili, kwani dalili za corona zipo unique tu kwa COVID-19? Kuna siku umesikia mtu anapewa tembe za HIV kwasababu tu anaoneshana dalili? [emoji1] Naona unajitia hamnazo na upumbavu kisa unaona aibu kutoa tamko ambalo litakinzana na kauli za dikteta wenu mpendwa. [emoji1] Afadhali hata mngetumia ile sayansi yenu ya kiafrika kujiliwaza sio porojo. Nchi zinazojielewa zinafanya test ya 'antibodies' kwenye sampuli 'random' kutoka kwa raia wao ili kudhibitisha kama kasi ya maambukizi imepungua au kufifia kabisa. Germany Starts Broad Antibody Testing to Assess Spread of Coronavirus; Israel Relaxes Restrictions
Hamna akili ninyi ndio sababu nchi yenu inakumbwa na kila aina ya majanga na matatizo, kwani Corona ina dawa?, HIV kuna ARV ndio sababu ni muhimu kupimwa ili hizo dawa ziweze kutolewa.

Corona haina dawa, kinachotibiwa ni dalili tu, kawa ni kukohoa, homa au kushindwa kupumua, haijalishi kama mtu amepimwa au hajapimwa.

Ninyi wakenya hamna akili wala hamjui nini mnalifanya, mkisikiae Ujerumani au UK wamefanya, ninyi hamjiulizi kama ni "logical" au hapana mnafuata kichwakichwa kama mazuzu, msikilize huyu jamaa kwa makini.
 


MY TAKE: Jambo la kushangaza ni kwamba hakuna hata nchi moja ya Africa yenye kutaka kuja kujifunza badala yake zinaendelea kuiga nchi ambazo maambukizi na vifo vinaongezeka kila siku. Nani ameondoka na akili za Waafrika?

Ukiona hivyo ujue wamewekeza kwenye biashara ya kuuza majeneza ndio maaana hawaji kujifunza.......
 
Hamna akili ninyi ndio sababu nchi yenu inakumbwa na kila aina ya majanga na matatizo, kwani Corona ina dawa?, HIV kuna ARV ndio sababu ni muhimu kupimwa ili hizo dawa ziweze kutolewa.

Corona haina dawa, kinachotibiwa ni dalili tu, kawa ni kukohoa, homa au kushindwa kupumua, haijalishi kama mtu amepimwa au hajapimwa.

Ninyi wakenya hamna akili wala hamjui nini mnalifanya, mkisikiae Ujerumani au UK wamefanya, ninyi hamjiulizi kama ni "logical" au hapana mnafuata kichwakichwa kama mazuzu, msikilize huyu jamaa kwa makini.

Sasa matibabu yatatolewa vipi bila kupima na kudhibitisha kile ambacho kinaonekana kwenye dalili? [emoji1] Mmezidisha umbumbumbu kwa kasi ya ajabu. Ndio maana hujui ku'win over', kama ulivoandika kwenye kichwa cha pumba zako, haimaanishi kushinda au kuweza. Ku'win over' ni kama unapomtongoza mwanamke hadi akakubali au unapomshawishi mtu kuhusu jambo flani hadi mkaelewana. [emoji1]
 
Weka research paper inayoonyesha Tanzania 🇹🇿 imetokomeza Coronavirus COVID-19


Watu wawili wakibishana "humu ndani KUNA nyoka.... humu ndani HAKUNA nyoka,..." anaetakiwa kuthibitisha madai yake ni yule anaesema humu KUNA nyoka.

Kwa sababu you can't prove a negative, hatumwoni nyoka, ni prove nini tena?

Wewe unaesema kuna Corona ndio utuonyeshe maiti na wagonjwa wa Corona.
 


MY TAKE: Jambo la kushangaza ni kwamba hakuna hata nchi moja ya Africa yenye kutaka kuja kujifunza badala yake zinaendelea kuiga nchi ambazo maambukizi na vifo vinaongezeka kila siku. Nani ameondoka na akili za Waafrika?
Utaigaje Hewa.? Mana hakuna Cha Kuiga Maana Hatujafanya Chochote zaidi ya Kuishi Kama Zamani
 
Acha uzombie wewe, mlijuaje kwamba corona ilikuwepo nchini Tz? Mbinu hizo hizo ambazo zilitukumika kugundua kwamba corona imeshafika nchini Tz ndio zitatumika kwenye tafiti za kudhibitisha kwamba Tz hakuna corona tena. Sio huo ukinjeketile mnaojivunia.
Endeleeni kusema Kinjeketile huku mnakwisha, mnapukutika but Wakenya wa humu Jf ndo mnajifanya punguani ila Wakenya wenzenu wengi including ur bogus president washaelewa kwmb wanahitaji usaidizi kutoka kwa baba yao Tz hamna jinc mmeshikwa pabaya [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Tanzania iliyo na akili kubwa, hadi wa leo LDC.
Most resources in Africa after DRC, bado LDC, yet you've been peaceful since Maji Maji rebellion.
95% of your population lives on less than $2 a day.

Hadi leo mwaka wa 2020, you still have to defend the fact that Kilimanjaro is in your country. Kenya imemshika makende hadi kwa marketing.

Very slow, stupid people.
Rudi Jukwaa la siasa ukaendelee kuimba za JPM na Sisiemu huko.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Una hasira na maumivu makali sana,!
Eti LDC?
Umeshawahi sikia japo kwa tv mtz akilalamika njaa.? Bila shaka hakuna ila kwenye linchi lenu unalosema la uchumi mkubwa raia wake wanalia njaa kila siku tena hadharani! Huo uchumi wenu ni upi wa kuongea kingereza?

Nmekupa japo ushauri tu kama kweli mnajitambua chukueni ardhi iliyohodhiwa na ruling class ya Kenyata ili wanachi masikini mpate japo maeneo ya kulima sukuma wiki tu,,

Vinginevyo mtaendelea mushangilia uchumi unaowafaidisha mabepari wa nairobi huku nyie makapuku mkiishia kupiga miayo
 
Back
Top Bottom