Tanzania, the first Country in the World to win over Coronavirus

Tanzania, the first Country in the World to win over Coronavirus

Eti dalili, kwani dalili za corona zipo unique tu kwa COVID-19? Kuna siku umesikia mtu anapewa tembe za HIV kwasababu tu anaoneshana dalili? [emoji1] Naona unajitia hamnazo na upumbavu kisa unaona aibu kutoa tamko ambalo litakinzana na kauli za dikteta wenu mpendwa. [emoji1] Afadhali hata mngetumia ile sayansi yenu ya kiafrika kujiliwaza sio porojo. Nchi zinazojielewa zinafanya test ya 'antibodies' kwenye sampuli 'random' kutoka kwa raia wao ili kudhibitisha kama kasi ya maambukizi imepungua au kufifia kabisa. Germany Starts Broad Antibody Testing to Assess Spread of Coronavirus; Israel Relaxes Restrictions
Ukimaliza kuongelea mabeberu rudi Afrika na utambue ya kwamba ktk dunia hii tunayoishi ni nchi moja tu mpk ss ambayo ime declare covid-19 free nayo ni Tz, lia utakavyo tukana uwezavyo ila ukweli ndio huo [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sasa matibabu yatatolewa vipi bila kupima na kudhibitisha kile ambacho kinaonekana kwenye dalili? [emoji1] Mmezidisha umbumbumbu kwa kasi ya ajabu. Ndio maana hujui ku'win over', kama ulivoandika kwenye kichwa cha pumba zako, haimaanishi kushinda au kuweza. Ku'win over' ni kama unapomtongoza mwanamke hadi akakubali au unapomshawishi mtu kuhusu jambo flani hadi mkaelewana. [emoji1]
Duh Mzee hizi pumba unazotema humu km umejiunga Jf jana.
 
Sasa matibabu yatatolewa vipi bila kupima na kudhibitisha kile ambacho kinaonekana kwenye dalili? [emoji1] Mmezidisha umbumbumbu kwa kasi ya ajabu. Ndio maana hujui ku'win over', kama ulivoandika kwenye kichwa cha pumba zako, haimaanishi kushinda au kuweza. Ku'win over' ni kama unapomtongoza mwanamke hadi akakubali au unapomshawishi mtu kuhusu jambo flani hadi mkaelewana. [emoji1]
Ninarudia tena kwa msisitizo, magonjwa kama Surua, Ebola, Yellow fever na mengine ambayo hayana dawa, huwa kinachotibiwa ni "Symptoms".

Kama mgonjwa anaonyesha dalili za homa basi atapewa dawa ya kushusha home, kama anakikohozi atapewa dawa ya kuzuia kikohozi, kama atashindwa kupumua atawekewa mitambo ya kumsaidia kupumua, huitaji kujua kama ana Virusi vya Corona au vya Ebola ili kushusha homa au kumsaidia kupumua kwasababu tiba ya kumsaidia kupumua haijalishi ugonjwa gani unaosababisha kushindwa kupumua.

Ninyi wakenya hamna akili ndio sababu nchi yenu mnashindwa kukabiliana na matatizo madogo kama insecurity and Corruption
 
Haha ..so what did the whites tell us to do and when was that?
C&P of what they r doing to combat COVID-19 i.e lockdown, testing. You people these things can't work in Africa even whites have failed. If COVID-19 was deadly then I can assure u no any Tanzanian could be alive.
 
Acha uzombie wewe, mlijuaje kwamba corona ilikuwepo nchini Tz? Mbinu hizo hizo ambazo zilitukumika kugundua kwamba corona imeshafika nchini Tz ndio zitatumika kwenye tafiti za kudhibitisha kwamba Tz hakuna corona tena. Sio huo ukinjeketile mnaojivunia.
Sisi tunachapa kazi upumbavu wenu wakufungiana pelekeni mbele huko mabwana zenu watakuja tu kuwaombea chakula kama walivyofanya cku za nyuma oohhh tuuzieni japo tani million 2 za mahindi na unga, tukijifungia utakunya wewe?
 
Sasa matibabu yatatolewa vipi bila kupima na kudhibitisha kile ambacho kinaonekana kwenye dalili? [emoji1] Mmezidisha umbumbumbu kwa kasi ya ajabu. Ndio maana hujui ku'win over', kama ulivoandika kwenye kichwa cha pumba zako, haimaanishi kushinda au kuweza. Ku'win over' ni kama unapomtongoza mwanamke hadi akakubali au unapomshawishi mtu kuhusu jambo flani hadi mkaelewana. [emoji1]
Sasa unapata wapi ujasiri wa kumwita mtu mpumbavu wakati ana hali nzur Zaid yako? Maana kinachotakiwa kuwa na hali nzur tu bc wala sio njia gani umetumia au ujasoma mathematics ? Kwenye mathematics swali moja ila wewe unaweza ukafanya njia yako uliofundishwa na mwalimu darasani na Mimi nikafanya Kwa njia tofauti tena ya shortcut haipotezi mda na majibu yakawa sawa sasa usitake kulazimisha kupima kila mtu kama nyinyi huko na wakati unajua huna uwezo wa kupima wakenya wote kuna haja gani yakupima kila mtu hapa ndipo tunapowaona kuna upungufu kichwani. Tz sio kama hatupimi kama unavyomaanisha wewe hapana ,tunapima pale utakapojisikia vibaya una dalili nyingi Kati ya zile zilizotangazwa ndio unaenda kwenye vituo kupima lakini sio kama huko kazi zingine hamna nyie kila kukicha munaipigia promo Corona tu , nahisi sio bure itakua mumelaaniwa
 
At this time I can see despite being alone, you have Sanitizer beside you, you wear mask 24 hrs, you don't go to work, u don't meet your friends and relatives.

Simply you are in jail, you are suffering mentally and financially. Your brain is completely wipedup, you can't reason by yourself.

Whether you hide or not still you ll die so why suffering and try to run from death.

Just cross the border come to TZ I can accommodate you n see the way we live free life. No masks no social distancing, no sanitizer and no deaths from covid.

I, myself have been using daladala for 3 months, yes I admit I contacted flu like 2months ago just like many of us but it was something that could not stop me from working.

I work in academic institution of more than 10,000 students I never heard any death or see student/workmate sick from covid. That's why for me corona is a normal disease.

Why would a sane person walk into a shithole LDC. A country without a working oxygen tank in a time of a pandemic?
 
Nmekupa japo ushauri tu kama kweli mnajitambua chukueni ardhi iliyohodhiwa na ruling class ya Kenyata ili wanachi masikini mpate japo maeneo ya kulima sukuma wiki tu,,

Hii ushamba tuliwachia Tanzania.
Land subdivision inaleta umaskini tu.
Tunataka wakulima walime kwa mashamba makubwa, sio acre moja ama mbili. That's the only way we can achieve mechanization.

0.1% of the population can feed the rest of the country.
 
TV zenu hazina uhuru.
Zimeshikwa makende na Makufuli.
Watu hawana njaa na wana chakula cha kula halafu unataka media zitangaze kuwa raia hawana chakula!

Tatizo lenu mkiwa na njaa mnaona ni kama kila nchi ina njaa au ni lazima iwe na njaa na hapo ndipo mnapokosea,

Wewe ni zero kama hizo zero kwa ID yako.
 
Why would a sane person walk into a shithole LDC. A country without a working oxygen tank in a time of a pandemic?
Hahahaha, Failed state Mentality never change, those who put Kenya in the list of Failed states group was very much correct. Tanzania is a real middle income country, not like Kenya full of slums, hunger which depends on food donations.
 
Hii ushamba tuliwachia Tanzania.
Land subdivision inaleta umaskini tu.
Tunataka wakulima walime kwa mashamba makubwa, sio acre moja ama mbili. That's the only way we can achieve mechanization.

0.1% of the population can feed the rest of the country.
Sasa inakuaje Kenya ni nchi pekee Africa ambapo watu wanakufa kwa njaa mnategemea Chakula cha msaada toka China no UAE?
 
You are waiting until a vaccine and treatment are available from where?

Don't worry. Our Kemri is on top of things. Oxford is working hard too.

Bora ujue hatukunywi hio Konyagi yenu ama ya Madagascar.
 
Back
Top Bottom