Tanzania: The Sleeping Giant

Impressive content but you still need to polish your English language proficiency grammar and vocabulary! It’s like a high school debating language level [emoji4]
Same here 🤣the moment i read his thread ,I remembered those days in secondary school, during debate sessions 🤣🤣
 
Same here 🤣the moment i read his thread ,I remembered those days in secondary school, during debate sessions 🤣🤣
Eenh Bwana eenh, tusichoshane.
Lengo kubwa la lugha yoyote ni mawasiliano..
Tujadili ambacho kimekusudiwa na mwandishi.
Tusimjadili mwandishi na weledi wake wa lugha.
After all English is my fourth language
 
Basi kazaneni kulalamika na kulaumu Serikali
Hatulaumu serikali, tunalaumu viongozi wabinafsi na wezi waliotufikisha hapa tulipo..
Hadi mwaka 1987, Tanzania was the leading country economically in East and central Africa.. But unfortunately, from that year up to now,Tanzania is struggling economically..
Na ikumbukwe huo mwaka tulikuwa bado hatujaanza kuchimba asilimia kubwa ya madini yetu kama tunavyofanya sasa!
Yaani, tulikuwa vizuri zaidi kabla hatujaanza kuchimba madini!!
Inasikitisha sana kwa kweli..
Sijui nani aliyeturoga Watanzania jamani!
 
Impressive content but you still need to polish your English language proficiency grammar and vocabulary! It’s like a high school debating language level [emoji4]
bahati mbaya sana mpo level moja,simplicity is what matter,ni sawa na kuongea kichina na mmasai mwisho wa siku anakuona chizi...
 
Wa kulaumiwa wa kwanza ni Baba yenu wa Taifa na sera yake ya ujamaa iliyodumaza Bongo za watu na kuomba pambio za propaganda.
 
Wa kulaumiwa wa kwanza ni Baba yenu wa Taifa na sera yake ya ujamaa iliyodumaza Bongo za watu na kuomba pambio za propaganda.
Sidhani kama shida ilikuwa ni Ujamaa.
Mbona China, Russia, Cuba n.k zilikuwa na sera za kijamaa na bado ni nchi zilizoendelea kulinganisha na sisi?
Kingine; mbona wakati tuko na sera za Ujamaa, tulikuwa na maendeleo zaidi kuliko tulipoamua kuachana na sera za Kijamaa?
Kimsingi hata baada ya vita ya Kagera, tulikuwa vzr kiuchumi kulinganisha na sasa hivi!
 
Hao ni watu weupe sio Waafrika ni wepesi wa kubadilika.
 
Hao ni watu weupe sio Waafrika ni wepesi wa kubadilika.
Kumbe shida ni rangi yetu!!
Duh!
Mbona wenzetu Nigeria, wanajitahidi kuyatumia mafuta yao vzr kwa usitawi wa nchi yao?
Angalia pia Angola na majirani zetu Kenya.
Mbona hata wao ni weusi, lakini wana maendeleo kutuliko sisi?
 
Nafikiri ni suala la muda tu hata majirani zetu Rwanda na Uganda watakuja kuwa na uchumi mkubwa sana kulinganisha na uchumi wetu.
Hadi sasa thamani ya Shilingi yeti ni ya pili toka mwisho kwa nchi za Afrika Mashariki na kati na kusini mwa Afrika!
 
Sasa kiingereza hicho unamuandikia nani?
 
Kama sijaielewa vizuri point yako Mkuu!
Naomba ufafanuzi kama hutojali.
Serikali haziendishwi na viongozi wala wananchi bali wafanyabiashara wenye viwanda au teknolojia na kwa afrika tunahitaji hilo kundi na liwe la waafrika weusi siyo wahindi au waarabu wakuja ambayo hawawezi hata kuonesha Kijiji chao kilipo hapa Africa.
 
Na mbaya zaidi ni kwamba wengi ya wanaonufaika na hizo raslimali zetu ni wageni kwa kushirikiana na viongozi wazawa wenye ubinafsi ambao pia hupata mgawo kiduchu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…