Na kweli Kikwete amevunja kila rekodi ya uongozi Tanzania. Huwezi kumfananisha Kikwete na Mkapa ambaye ameondoka mamlakani akituachia bei ya sukari ikiwa shilingi mia sita kwa kilo. Mkata mbuga, miaka sita baadaye, anatutoza shilingi elfu mbili na ushee kwa kilo. Kwa mtaji huu Kikwete hana mfano wake Tanzania.Ukiona wapo wanaohamaki unampomtaja JMK, ujuwe hao ni kondoo waliopotea. Hakuna zaidi. Jina tu hawalipendi na Kikwete ndio huyo anavunja kila rekodi ya uongozi Tanzania. Hashikiki, MashaAllah, Mwenyezi Mungu amzidishie.
Na kweli Kikwete amevunja kila rekodi ya uongozi Tanzania. Huwezi kumfananisha Kikwete na Mkapa ambaye ameondoka mamlakani akituachia bei ya sukari ikiwa shilingi mia sita kwa kilo. Mkata mbuga, miaka sita baadaye, anatutoza shilingi elfu mbili na ushee kwa kilo. Kwa mtaji huu Kikwete hana mfano wake Tanzania.
Lilikuwa lako wewe, lakini bila yeye kukubali, Maaaweee! Yeye ndio Rais. Na mtaumia sana, kwani kila afanyacho ni record, amma anafanya zaidi ya Rais yeyote aliyekuwepo kabla yake, amma anafanya ambacho hawajawahi kabisa kufanya.
Mtakufa navyo vijiba vya roho, toto la ki-bwagamoyo mtaliona hivi hivi, action tu. Na juisi kwa kashata mtakunywa.
Rweye unajitahidi kweli keep it up!Lilikuwa lako wewe, lakini bila yeye kukubali, Maaaweee! Yeye ndio Rais. Na mtaumia sana, kwani kila afanyacho ni record, amma anafanya zaidi ya Rais yeyote aliyekuwepo kabla yake, amma anafanya ambacho hawajawahi kabisa kufanya.
Mtakufa navyo vijiba vya roho, toto la ki-bwagamoyo mtaliona hivi hivi, action tu. Na juisi kwa kashata mtakunywa.
Nyie hata mkisoma ni bure tu, ndio mmetufikisha hapa. You are a liability to us! This is the worst regime this country has ever had. Ndio chanzo za migomo yote, akili kiduchu!
Na kweli Kikwete amevunja kila rekodi ya uongozi Tanzania. Huwezi kumfananisha Kikwete na Mkapa ambaye ameondoka mamlakani akituachia bei ya sukari ikiwa shilingi mia sita kwa kilo. Mkata mbuga, miaka sita baadaye, anatutoza shilingi elfu mbili na ushee kwa kilo. Kwa mtaji huu Kikwete hana mfano wake Tanzania.
ni wazo zuli kwa nje lakini undani wake ndio siuelewi.
Isije kuishia kuwa miradi dizaini ya 'Machinga Complex' maana ilivyokuwa inanadiwa awali kuwa ingewaondoa vijana/wamachinga kwenye umaskini na tatizo la ajira lakini mpaka sasa wote tunaona kuwa research iliyofanyika haikuwa sahihi.
Lakini zaidi ni juu ya hizi pesa/akiba za wafanyakazi. Hivi kweli NSSF ianaona pesa zipo tu na wanatumia watakavyo, au huwa wanashauriana kwanza na wenye hizo pesa (wafanyakazi/wachangiaji)!!?? Mimi ni mwanachama na bado sijadai mafao yangu lakini nasikia wanaodai wanalipwa kiasi kilekile walichochangia, hakuna hata ka interest 'ka danganya toto'. Sasa ni kwa nini NSSF wasifikirie kwanza angalau kutoa gawio kwa wachangiaji kabla ya kwenda hata kufanya investment nje ya nchi!?
Kweli kabisa, hatufai huyu, nawashangaa walio mchaguwa. Hana moja analolifanya kazi kucheka cheka tu bila mpango. Wewe umeshaona lipi zuri kafanya? mimi mpaka sijaliona. Na naona atatufikishia mpaka Shillingi 10,000 kilo ya sukari baada ya muda si mrefu. Na hili jumba hili la Nairobi inawezekana wala hakuliidhinisha yeye, maana sidhani kama ana upeo wa kuona mbali.
I hear they are also building a ten storey building in Moshi and wonder who will occupy the offices given the current economical status quo of Moshi?
Secondly why not focus in diversifying towards other projects such electricity, hotels, roads in Tanzania itself??
bongo-live, nitamlaani akifanya hili akajenge Dodoma au Mwanza au Arusha! Yatalipa vizuri uchumi wa bomba la mafuta, gesi, utalii na dhahabu utaleta good returns zaidi ya Nairobi
Kenya is among top 3 biggest investors in Tz.Sammuel999, a reason why FDI in TZ is over $4 bln while in Kenya is hardly $800 mln